Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama title inavyojieleza nina idea ya kuanzisha kiwanda kidogo cha pombe ila bado sijui costs za kufinance projects na kwa mwenye madini naomba anipatie. Pia, kama kuna mwenye uzoefu na biashara...
0 Reactions
40 Replies
12K Views
Hapa ni orodha ya nchi 20 zilizotajiriwa zaidi katika bara la Asia kutokana na Pato la Taifa la Jumla (GDP) kwa mwaka 2023: 1. China - GDP: $14.72 trillion 2. Japan - GDP: $5.11 trillion 3. India...
3 Reactions
1 Replies
594 Views
Habari wanajamvi.. Kila siku watu wanawaza how to make money through doing businesses or establishing commercial projects. Kuna watu wana mitaji ila wana hofu wajilipue vipi, wanaogopa risks hasa...
0 Reactions
0 Replies
198 Views
Leo asee nimekaa pekeyangu wakati nimejawa na ukimya binafsi na baada ya shughuli ya kila siku nikapatwa na wazo "iv wenzangu kupitia simu zao huwa wanajitengenezea kipato kwa namna gani au wao ni...
1 Reactions
7 Replies
288 Views
Habari wanajukwaa nilikuwa nataka kuuliza kuwekaza utt ni mfuko gani ambao hauna risk yeyote kabisa mm ndio nataka nianze hela kiasi 7M
1 Reactions
3 Replies
709 Views
kwa mwaka 2024 ,Soko la Hisa la Dar lina jumla ya makampuni 25...kutoka 27 kampuni 1 lilifirisika na kuondolewa sokoni....YETU MICROFINANCE Kampuni moja limenunuliwa na kampuni lenzake......TWIGA...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za kwenu wakuu? husika na kichwa cha chapisho hapo juu...Ni kwamba nahitaji body spray au perfume yenye sifa zifuatazo;- 1.Manukato ya chocolate 2.Bei ya kawaida (Affordable Price) 3.Iwe...
5 Reactions
42 Replies
7K Views
TCB YASAINI MOU YA MIKOPO NA ZEEA KWA AJILIYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI KUJIKWAMUA KIUCHUMI Benki ya Biashara Tanzania (TCB) leo imesaini mkataba wa makubaliano (MOU) na Wakala wa serikali wa...
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Natafuta wanapouza Asas na Kilimanjaro prosucts hasa yoghurt, Nahitaji kwa bei ya jumla.
1 Reactions
1 Replies
442 Views
Habarini wakuu,husika na mada tajwa hapo juu.Kama kuna viongozi humu wa UTT amis,tunaomba muangalie namna ambavyo salio linaweza soma haraka kwenye akaunti baada ya kuwekeza at least iwe within...
4 Reactions
12 Replies
936 Views
Nimepambana nimepata mtaji wa million nane nahitaji kufungua duka la nafaka DAR lakini mimi mi mgeni katika biashara, sijui nafaka gani ni za kuanza nazo ambazo zinauzika sana hapa Dar na...
9 Reactions
74 Replies
9K Views
Habari Wana JF naomba wenye ujuzi wa biashara mnifahamishe kuhusu hili: Nataka kufungua duka la dawa za mifugo yaani veterinary drugs, ninahitaji vitu gani na gharama zake zikoje ukiacha mtaji wa...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wakuu Mimi nina kampuni japokua bado ni changa ofisi ipo Africana, nahitaji watu wa marketing sio wa kuwaajiri ila tunawaeza kuarange terms tukalipana kwa kazi. Kampuni ina husika na...
5 Reactions
33 Replies
844 Views
Katika makadirio ya mataifa yenye uchumi mkubwa barani Afrika kwa mwaka 2024,Taifa letu linashika nafasi ya 10. Nimeweka orodha ya hizo nchi 10 na chanzo kikubwa cha uchumi wa nchi husika. Pia...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Mzigo mpya unawasili leo. (Dar es salaam ) Njoo machinga Complex Upande wa Kutoka Ilala uliza GIN INVESTMENT Ghorofa ya Tatu. Upate mifuko kwa bei ya Jumla. Size zilizopo ni Hash 15 Hash 22...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
WAZIRI MAVUNDE: TEMBO NICKEL YAFANIKIWA KUSAFISHA NA KUZALISHA MADINI YA NIKELI, SHABA NA KOBATI KWENYE KIWANDA KILICHOPO KABANGA, NGARA, HII NI HABARI NJEMA Kampuni ya Tembo Nickel ambayo...
1 Reactions
1 Replies
311 Views
Wapendwa Katika bwana, Natamani Sana kujiona nikipiga hatua, Naombeni fursa/ Mchongo wowote ambao naweza kupiga 20k hadi 30k kwa siku.....hapa Dar es salaam Mimi ni binti.
12 Reactions
43 Replies
4K Views
Wadau naomba ushauri, nimedunduliza kama 50 Million Tsh, nataka niwekeze sehemu nipate vijisent kabla yakuingia kwenye biashara. Je, wapi sasa ni pazuri kuwekeza na kwanini? eg Fixed...
4 Reactions
58 Replies
15K Views
Hiyo ni kauli ya Bimkubwa wakati akiwa kwenye uzinduzi wa SGR njia ya Dar kwenda Dodoma mapema leo. Amesema ana taarifa kwamba mzee Abood alishapunguza baadhi ya mabasi kwa njia hiyo ila serikali...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Nimeona tangazo lake mtandaoni na nikaipenda ghafla. Mwenye kufahamu duka naweza pata huu mtambo nipe msaada. Mtambo unaitwa VR Box
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Back
Top Bottom