Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Mimi ni mteja wenu wa muda mrefu hata hivyo baada ya kuhamishiwa huku kilindi nimekuta nmb imepita bila kupingwa na ingawa wanajitahidi kutoa huduma "kama nmb nyingine" bado pengo lenu kama crdb...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SERIKALI YA COUNTY, KATIKA JIJI LANGU YAENDELEA NA UKARABATI.........
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heri ya pasaka wana JF. Na poleni kwa mihangaiko ya maisha!! Jamani nilikua nataka kuingia kwenye real estate business kwa kutengeneza online platform flani ambayo watu,makampuni au madalali...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Who is likely to grow?... The person who is likely to grow is not the one who wants to grow or who needs to grow or who deserves to grow BUT the one who is committed and determined to grow. The...
0 Reactions
0 Replies
505 Views
Top 3 things to do in Kilimanjaro 25th Nov '14 by fastjet Tanzania Lake Chala Lake Chala, located about an hour away from Moshi is a beautiful crater lake set against the dramatic background...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
BAA! ni mtandao maalumu chini ya kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited, Gorofa ya 10, Jengo Jipya la Ushirika Tower,Barabara ya Lumumba, Dar es salaam wenye lengo la kurahisisha mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mmojawapo wa wahanga wa malipo ya ticket za FastJet kwa simu. Kuna wakati unaweza fanya booking ya ticket na kupewa reference number na expiry time ambazo pindi ukilipia booking husika...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipo Tunduma (boda ya Tanzania na zambia) natafuta mtu ambaye tutachangiana mtaji tufanye biashara. If you feel the same plz contact me though saimonsumun@yahoo.com
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wapendwa. Kama una idea ya biashara yeyote, wewe njoo kwangu, nitakupa mtaji usio zidi 2 milions na faida itakayo patikana tutagawana, mimi nnachukua asilimia sabini na wewe utachukua...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Heri ya xmass na mwaka mpay. naomba kujua mazao yatokanayo na muwa i mean ukiacha sukari na pombe ni bidhaa gani nyingine yawezwa kutengenezwa kutokana na miwa? asanteni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Wizara ya viwanda na biashara wamekuwa wagumu sana wa kutoa leseni kwa microfinance mpya zinazoanzishwa hivyoo nimefikiria...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wana Jukwaa Salaam kwenu Nina shida ya dharula na ya haraka sana ya Tsh. Ml. 20. Kuna project yangu moja imekwama na inahitaji pesa ya haraka sana. Nitarudisha ndani ya siku 30 kutoka siku...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina shida na mtu anaejua kuandika business plan ya mikopo midogo midogo kwa wakina mama pamoja na mchanganuo mzima. Mawasiliano piga namba: 0713 164090
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni ya VIP Engineering and Marketing inayoshutumiwa kimakosa kwamba imefanya vitendo vya uvunjifu wa sheria kuhusiana na Akaunti ya Escrow imeibwaga Benki ya Standard Chartered katika shauri...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Habari! Anahotajika mtu mwenye uwezo wa kuandika business proposal. Hii itakuwa ni proposal ya kuombea fund kwa ajili ya agriculture project/business. It's a group project so the writer must have...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu wa kazi, Niana ujuzi wa kutosha kuhusiana na biashara hii ya agricultural exportation hasa katika maswala mazima ya documentation. Export parmits Fumigation procedures...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu, Nimeamua kujiajiri kwa kuandika rasimu za katiba za kampuni, taasisi kama NGO's, vyama vya siasa, michezo nk. Hali ni ngumu naomba kwa wadau na wateja mniunge mkono. kwa kuanzia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wanaJF na natumai muko poa. Naomba kujua ninawezaje kuexport processed food kama cashew, asali n.k Taratibu za kufuata hadi niruhusiwe kuexport zikoje?
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Tunatoa huduma ya kuandaa business plan kwa ajili ya business startups mbalimbali kwa bei ya tsh.100,000/= tu kwa yeyote ambae yupo interested call 0689341445
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom