Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hapa chini ni sehemu ya maelezo ya kingereza juu ya namna Benki ya Dunia(WB) na IMF zinavyofanya kazi...! Ninatarajia wachumi wa Jukwaa hili watafafanulie kama kweli WB na IMF wapokweli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa ,nataka nianzishe ka mradi ka matofali.naombeni mnijuze vifaa vifuatavyo vinapatikana wapi pamoja na bei elekezi. 1.mashine ya kufyatulia tofali(two in one) ya umeme 2.mashine ya...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Natumaini wote hamjambo? Mimi na marafiki zangu tumeamua kuelimisha vijana wenzetu namna ya kuboresha maisha yao kwa mifano pia kutoka kwa watu ambao wamefankiwa. Kwa kuanzia tutaanza kuelimisha...
3 Reactions
48 Replies
8K Views
Wadau mawazo yenu tafadhali nimepewa mil kumi na ndugu yangu aliyepo nje ya nchi baada ya kumsumbua kila siku kuhusu maisha na namna ya kutunza familia aliyoiacha huku amejitahidi amenitumia...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
"Tanzania’s public debt now reaches Sh30 trillion" Dar es Salaam. The government did not borrow much at the start of the current financial year, but that was not enough to stop national...
0 Reactions
0 Replies
804 Views
http://youtu.be/ooiZbXHpATg
1 Reactions
0 Replies
3K Views
na ikiwepo ipewe jina gani east africa currency,.....................
0 Reactions
0 Replies
4K Views
The rollout under the Northern Corridor Infrastructure Framework has been deferred pending the Heads of State Summit scheduled for October 7 to 9 in Uganda. Once implemented, the calling rates are...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Friday, September 19, 2014 Where cows watch TV to produce more milk...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa vikindu jirani na chuo kikuu kipya St. Augustine. Kina ukubwa ekari moja bei 15m. Kamata fursa hii kwani wengi hawafahamu kuwa kuna university inakaribia kufunguliwa Vikindu, na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yamkini mlinunua screpa nyingi za mashine lakini mtuonee huduma wateja wenu tunahangaika sana na ATM za CRDB yani kuna ambazo ukikuta pesa. Sio mbovu kwa siku hiyo tunashukuru sana na mbaya zaidi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna yeyote anayejua kama ramani za hivi viwanja vilivyopimwa katika vitongoji vya Dar es Salaam vipo online? Na kama vipo online naomba address yake tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi jfs.. Mi nina ushauri kidogo kwa wajasiriamali madaktari. Hapa tz mikoa mingi haina mashine za vipimo tofauti tofauti. So jiungeni mchange au mchukue mkopo mnunue mashine then muwe mnatoa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar wakuu. chonde naomben msaada wa mawazo yenu(tafadhali) nina Tsh 50000 nashindwa niwekeze vipi niko mazingira ya town ila sina muda wa kufanya kiinshu kingine kwa mm mwenyewe kulingna na kazi...
2 Reactions
22 Replies
9K Views
Nataka kujua bei za ushuru wa gari aina ya verossa...ya mwaka 2001..2000cc.. naombeni mnitajie gharama yake ya kuitoa bandarini...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa vikindu jirani na chuo kikuu kipya st Augustine Ukubwa ekari moja bei 15m. Wahi fursa hii kwani wengi hawafahamu kuwa kuna university inakaribia kufunguliwa Vikindu, na bei za...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Shamba linauzwa kibaha madafu lina heka mbili kila heka ni milioni saba........lipo karibu na kiwanda cha gypsum.......call 0768647751
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Poleni kwa kazi wanajamvi, Nataka kuingia katika ufugaji wa samaki, nipo katika hatua ya kutengeneza business plan. Moja kati ya vitu ninavyohitaji kuvifahamu ni gharama ya vitu vifuatavyo; 1...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
The commissioning comes after RVR announced that it had secured a Sh1.8 billion asset financing deal with Standard Bank of South Africa and CfC Stanbic Bank towards the acquisition of 20...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KUULIZA SI UJINGA WASWAHILI TUNASEMA natamani kufanya biashara , na fedha nilizonazo jumla kwa ajili ya kufanyia biashara hiyo ni tshs 2,000,000/= tu. katika biashara hii, natamani kupata faida ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom