Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nataka kufuga ngomba wa maziwa wa kisasa katika mkoa wa Tanga . nisaidieni ngombe aina hii nitawapata wapi katika mkoa wa Tanga. Nahisi kuna vituo vyauzalishaji. Natanguliza shukrani
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nimelima kitunguu sasa ni mwezi wa tatu lakn hakina matunda licha ya kuweka urea mara ya pili CAN na mbegu ni bombey red
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za Jpili wadau.Naomba mwenye ujuzi/ufahamu wa namna ya kukausha zabibu.Nahitaji kukausha zabibu
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau kuna hili wazo la biashara ya kununua nguruwe huko Morogoro kuchinja na kuleta hapa Dar, ofcourse itahitaji uwe na order kwenye vituo vya kuuzia nyama ya nguruwe, kwenye mabaa na watu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wana JF kwa muda mrefu sasa, wafanyabiashara wengi wadogo wamekuwa wakilalamika kwamba kanuni lukuki na kodi kubwa zimekuwa zikichangia kudumaa kwa biashara na kuwavunja moyo wajasirimali...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Wakuu, mimi nimesajili jina la biashara yangu, nikapata lesen ya kupeleka bidhaa nje. sasa bidhaa hizo nazichukua kiwandani, wananiuzia na VAT, nikiwaambia mimi na export sitakiwi kulipa VAT...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu uwezekano wa kusafirisha matofali ya kuchoma kutoka Morogoro had Dar na yakafika salama .Natamani kujenga nyumba ya matofali hayo ,Je inalipa?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mimi ni mfanya biashara mdogo nina miliki duka dogo naitaji kupata uzoefu wa kibiashara kutokana na kwamba sio mzoefu sana katka biashara embu wataalamu hapa mnipe mbinu za kukua kibiashara but...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Shamba lina ekali 10,000 na linamilikiwa kisheria(LINA HATI), MWEKEZAJI anahitajika linafaa kwa kilimo: Miundo mbinu 1. Barabala 2. Bwawa la maji. Cont: 0755 074 880 0754 062 750
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu wiki uliyipita kulikua na purukushani Tandika kuhusu leseni nilishangaa sana kuna maduka zaidi ya 200.Kifupi inatia aibu sana kuona uzembe kama huu huku wafanyakazi ndo wakikamuliwa kodi...
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Mimi kama Mteja wa NBC wa siku nyingi nashangazwa na changes zinazotokea NBC sasa hivi hasa tawi la apa Arusha Bondeni. kuna teller 1 tu na mara nyingine wanakua wawili na kuna jamaa ya hatari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nishaurini juu ya water pump nzuri, kubwa, yakisasa, imara, fuel economical etc kwa ajiri ya kilimo cha umwagiliaji wa shamba lenye ekari 8.
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Naombeni ushauri wenu wana JF Mimi nataka nianze uchimbaji wa madini kama mchimbaji mdogo ila bado sijajua ni madini gani yanayolipa na kumtoa mtu, pia nisehemu gani yanapopatikana kwa wingi...
1 Reactions
31 Replies
12K Views
Wakuu naomba kwa mwenye uzoefu na hizi biashara, ipi ina tija zaidi? Changamoto zake kwa maana ya usimamizi ni zipi?!? Natanguliza shukrani!!
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari zenu wadau, Kwanza niwapongeze waliobuni na kuanzisha jukwaa hili ambalo siyo tu ni chanzo cha habari mpya, burudani bali pia kisima cha maarifa. Hapana shaka kuwa kila anayetembelea jukwaa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanzania has signed an agreement with French oil producer Maurel et Prom and Wentworth Resources for the supply of gas aimed at doubling the country's power generation capacity to 3 000...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Habari zenu watafutaji wenzangu! Kama kawaida mimi niko poa sana naendelea na ugunduzi wa mawazo ya biashara ngeni kidogo ila kwenye utekelezaji ndo huwa nateleza kutokana na sababu mbalimbali...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna kiongozi mmoja mkubwa aliwahi kusema kwamba hata yeye hajui kwa nini wananchi ni maskini! Ni masikini kwa sababu wananyonywa! Huwezi kuwa na tax rate kubwa kwenye income tax, kwenye Vat...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
A Honey Care Africa worker. The firm was shortlisted for its project in South Sudan where it is helping locals generate additional income through honey production. The prize is awarded...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mawazo yanaitajika hapa,juu ya hii biashara tajwa hapo juu. Nipo Arusha nina 3.5million,eneo lipo.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom