Waziri wa Fedha, Saada Salum Mkuya akionyesha mkoba uliobeba Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15, mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi
Dodoma. Kilio cha muda mrefu cha...
FHabari za ninyi wanaJF,
Nimekaa nikawaza kutokana na ukweli kuwa watanzania wanapenda sana utamaduni wao mnahisi itapokelewaje biashara hii ya kuandaa kadi zilizo katika lugha ya kiswahili...
Wadau nataka kununua simu kati ya hizi nimezipenda ila sio mtaalamu sana wa hivi smartphone.
Kati ya hizi ipi ni bora na support yake ikoje
1. HTC 1X
2. SAMSUNG NOTE II
3. IPHONE 5C...
Habari za leo wan JF. Nawaombeni msaada wenu. Mtu toka S.Africa ameniandikia kunipa ofa ya kurithi leseni ya marahemu David Rusell aliyefariki kwa ajali. Baada ya mawasiliano marefu amenitumia...
Swala Oil and Gas (Tanzania) plc CEO Dr David Mestres Ridge (3rd-L), executive director Abdullah Mwinyi (2nd-L), co-executive director Selemani Pongoloni (R) display the company's prospectus.
In...
Habari wadau, miaka ya hivi karibuni nyumba nyingi za hapa jijini Dsm zimekuwa zikiwekewa madirisha ya vioo vya ku slide na kuyapa kisogo madirisha ya mbao kwa marembo ya nondo, Je Tukizingingatia...
Nimeona niyaweke wazi yaliyonisibu ili airtel watoe ufafanuzi ili iwe faida kwa wote wanaopita humu. Mimi ni mtumiaji wa laini moja tu airtel. leo nimeweka vocha ya sh. 1000 na nikapiga *148*22#...
Nawasalimu!
Nimesikia CRDB wameanza kutoa mikopo bora zaidi kwa watumishi wa umma kama waalimu, manesi nk. Mimi nahitaji kuchukua mkopo sasa,... Naomba mwenye ufahamu anisaidie kujua hasa vigezo...
wakuu, habari zenu!
Naomba kufahamishwa ni model gani ya gari aina ya Noah imara na madhubuti kwa 'rough road'. maana niko kwenye mchakato wa kununua.
Michango yenu ni muhimu sana kwangu kufanya...
Biashara na uchumi hoyeeee.
Mara nyingi sumu ya panya huweza kusababisha hatari ya watoto kuokota masalia ya chakula cha sumu ya panya usipotoa mapema.
Nyanya mara nyingi hushambuliwa na panya...
Kampuni yetu inayojishughulisha na kuagiza bidhaa toka China, Pakistan & India tunayo furaha kutangaza nafasi za kazi kwa watanzania walio tayari kusafiri kwenda huko kwa ajili ya kuleta mzigo wa...
Habari zenu wadau!
Natamani kufanya biashara ya bodaboda kwa maana ya kununua bodaboda na kutafuta dereva wa kuendesha wateja lakini sina uzoefu nayo. Naomba kwa wenye uzoefu tushauriane hasa...
GOODDAY
We are looking for importers/distributors/agents for retail and industrial confectionary products. Current exporting to more than 15 countries. We would like to expand our network...
Ni aibu kabisa Kwa nchi maskini Kama Tanzania kumruhusu wafanya biashara wa nje Kama Wachina kuja kufanya umachinga Tanzania.
Sheria ya kulinda wafanya biashara wa ndani hapa iko wapi? Unakuta...
United States next
No. of billionaires: 515
Total net worth (2013): $2,064 billion
Land of the free, home of the billionaires? Nearly a quarter of the world's...
Picha: Semina ya ujasirimali iliyohudhuriwa na walimu 150 Kibaya
Mkurugenzi wa shirika la Elimu Kibaha Ndugu, Silipian Mtemba amesema atafanya kila jitihada ili wafanyakazi wote wa shirika hilo...
Kampuni ya Ndege ya Precision Air imesitisha safari za Dar-Mbeya kutokana na route hiyo kuwa ya hasara, na pia kutokana na kutokupatikana mafuta ya ndege katika mji wa mbeya. Hayo yamesemwa Afisa...
Enyi ndugu,nisaidieni kwa ushauli wenu juu ya jambo hili,nina milioni saba kamili na ninatafakali ni biashara gani nawe fanya kwa mtaji huo mdogo na nikasogeza pesa hiyo kutoka M7 na...