Jamani hii gari inanisumbua mbaya, inazima kwenye foleni, inatoa moshi mweusi, inakosa nguvu. Mafundi vimeo kila siku wananilia hela mara plugs mara kusafisha oxygen sensor mwenye ujuzi please
HABAR ZA MUDA HUU, NAOMBA MSAADA WA KUFAHAMISHWA NA WATAALAM WA MASHINE AU YOYOTE AJUAE HILI, SWALI; IVI MASHINE YA KUSAGA MAHINDI INAWEZA KUSAGA MABUNZI (MAGUNZI) YA HAYO MAHINDI NA KUWA CHAKULA...
361,481 new babies born every day! Lucrative FMCG diaper market. You will find our premium baby diaper, ROBUST COMPETITOR IN PRICE & QUALITY, right here!
1. Ultra absorb core for outstanding...
Wanabodi,
Ingetrex Tanzania, ni Maonyesho ya Kimaifa ya Biashara, ambayo yatafanyika kwa siku 3 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, kuanzia Tarehe 15 hadi 17 ya mwezi huu wa May.
Katika maonyesho...
Wakuu nimefungua duka hapa dar es salaam, so kama kuna mtu yeyote anayeuza mchele na maharage ya soya kwa bei ya jumla ambayo ni reasonable tuwasiliane ili awe ananiletea kilo mia kwa brand tatu...
Wanajamvi ni hivi, akaunti ya CRDB iba fedha za kutosha ila kwenye simu yangu nimeishiwa airtime na niko kwenye traffic jam.
Naingia kwenye menu ya CRDB mobile ili ninunue airtime najibiwa "huna...
Naomba msaada wa kujua fursa za biashara china. Naona watu wengi wakienda china but sijui kuna potential gani , mtaji pamoja na faida. Kwa wenye info tupiamo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wakuu salama ?
Nimekua nikisikia kuhusu hisa, watu wananunua na baadhi ya makampuni na mashirika yanakuwa yanauza hisa zao.
Hizi hisa bishara yake inafanywa kwa mtindo upi, yani kampuni...
Nimerudi toka ughaibuni ,vijana wanaita mbele ambako nilikuwa nisoma machenical egr miaka 4 na nimefanya kazi zaidi ya miaka 6 kutafuta uzoefu..
Nimekuja kwaajili ya kuendeleza Taifa letu...
Habari
Ili kuboresha ulinzi hasa kwa matela wa saccos zetu tunaomba kufanya kazi na nyinyi katika kuprovide bank counter, counter hizi zipo kama kounter za bank zinakuwa na cash tray, bullet...
natoa huduma za bima za vyombo vya usafiri kwa bei poa kabisa. tupo ilala boma, mtaa wa mororgoro karibu na msikiti opposite na mahakama ya mwanzo. lakini pia tuntoa huduma ya kukufuata ulipo bila...
USA under very Black* President in the world's History against the Chinese white president
Probable Obama ataweka rekodi nyingine safari hii kwa taifa la marekani.
In any event, it was only a...
Bill Gates sold nearly 8 million shares of Microsoft over the past two days.
NEW YORK (CNNMoney)
For the first time in Microsoft's history, founder Bill Gates is no longer its largest...
Tanzania's Richest Man To Sell Stake in Vodacom
Tanzanias richest man, Rostam Azizi, has agreed to sell off a significant chunk of his stake in mobile telecoms outfit Vodacom Tanzania to Vodacom...
Janvini oyee
Sasa nimekuwa nikisoma oo kila mara watu wanasema tuna hela na hatujui tuzifanyie nini na sisi kama raia wema tunao itakia nchi yetu mema siku zote tutakuwa karibu yenu
Mtu...
Mkurugenzi mkuu wa CRDB Bank Dr. Charles Kimei , ameorodheshwa tena kwenye tuzo ya African Banker of the year award kwa mwaka 2014.
Tuzo hii hutolewa na Benki ya Africa (ADB) kwa viongozi wa...
Wadau nimepoteza doc zangu zilikuwa na TIN number, is there a way of retrieving it hata kwenye web ya tra na leo j2 hawako kazini ningewapigia kuuliza. Msaada plz
-Nina bonde ekari 1
-waterpumb mm 250 -Ardhi yenye rutuba,maji ya uhakika eneo lina ulinz wa uhakika.
-Eneo lipo jiran na barabara kuu(DAR-DOM)
Nahitaji mtu atakayenisaport mbegu,gharama za...
XFT HISTORY.
Xtreme fuel treatment is the product patented and time tested for nearly two decades in industrial market around the world. Extensive testing and performance measurement data prove...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.