Salaam
Unahitajika mtaji wa HARAKA kwa lengo la kufanyia tender ya dharura (Supply) kwenye taasisi fulani.
Mkopo unaotakiwa ni kiasi cha Tzshs. 3,000,000/= ambapo malipo yake yatafanyika ndani ya...
Habari Ndg zangu wanaJf,
Napenda kuuliza maswali yafuatayo kwa wenye uzoefu na biashara hizi.
Ushauri wenu wa kitaalamu ni muhimu sana kwangu...
1.Ni mtaji kiasi gani unatosha kuanzisha...
Naomba msaada nitafanya mradi gani ambao unaweza kuwasaidia watanzania wachache wanaopenda ujasiriamali na biashara na nina sh 30 milioni.
Naomba msaada wa maelezo a kutosha juu ya hilo.
Habari zenu wakuu, nimeamua kufanya business ya tours kwa wale wenye kutaka kutembea Zanzibar. Lengo hasa ni kuwa target wanafunzi wa shule mbali mbali Tanzania na kuwawezesha kuja Zanzibar...
Ukubwa square metre 1516, Kipo karibu na barabara.Kimepimwa na Hati ipo nimechukua wizarani jana(picture attached).Bei ni millioni 19.Mazungumuzo yapo. 0653 967 510 No Dalali pliz
HABAR ZA MUDA HUU, NAOMBA MSAADA WA KUFAHAMISHWA NA WATAALAM WA MASHINE AU YOYOTE AJUAE HILI, SWALI; IVI MASHINE YA KUSAGA MAHINDI INAWEZA KUSAGA MABUNZI (MAGUNZI) YA HAYO MAHINDI NA KUWA CHAKULA...
natanguliza shukuran zangu za dhati kwenu kwani hii ni.sehemu.pekee nayowezaa kuongea kuthubutu kuongea kwa ujasir
hoja:naomba kufahamishwa ni njia gani ni rahisi kutuma pesa brasil kwani kuna...
Habari wana JF nataka kuanza biashara tajwa hapo juu. Yeyote mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba anijuze gharama zake ziko vipi na kodi za watu wa misitu ziko vipi, Na kama ni biashara yenye...
BF SUMA TANZANIA REPRESENTATIVES NEEDED URGENTLY.
10 REASONS TO JOIN BF SUMA'S NETWORK MARKETİNG SYSTEM.
1. 20% discount on any products purchased by you as a registered distibutor. 2...
Natanguliza shukran zangu kwenu wataalam.
Mimi ni mhitimu kutoka Sua,na Mwenyeji wa Mkoa wa Simiyu wilaya mpya ya Itilima.
Nimepata kazi ya kuajiliwa lakini boss wangu kani-inspire sana koz yeye...
Wadau
Mim ni mjasiriamali nna ticket tajwa 2 za watu wazima 1 mtoto mchanga, pia nililipia mizigo ya kwenda safari ya kwenda na kurudi Kilimanjaro Airport
Safari nime cancel, nachohitaji ni...
It may come as no surprise, but in 2014, the worlds
richest people only got richer. In fact, the top 66 richest people in the world now have more wealth than the poorest 3.5 billion people...
Haijalishi una biashara gani ...sisi tunakutangazia biashara yako...tunakusidia kuwafikia wateja wako....jaribi nasi..
Swahilitechologies.co.tz
Au tupigie simu 0719373606...tuje tuzungumze....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.