Salaam wana Jamvi,
Katika hali ya kushangaza, picha hapo chini ni kitasa chamlango wangu nilionunua wiki 2 zilizopita. Kariakoo, risiti ninazo (TZS 100@230,000=2.3million). Cha kushangaza ni...
Habari Wanajamvi,
Tunapenda kuwataarifu wote wenye mahitaji ya uchunguzi hasa kwenye makampuni binafsi kama mabenki, NGO, Logistics,Clearing, na mengineyo ambapo wizi(Fraud) inaweza kutokea kuwa...
Kumekuwepo na ongezeko la bei ya vyumba vya kupangisha kila mara, wamiliki wa majumba wamekuwa wakipandisha kodi kila mwaka jinsi wanavyopenda wao maana hakuna sheria yeyote inayowabana. Mfano...
Wana jamii nataka nijikite kwenye uagizaji wa dawa baridi kutoka nchi mbalimbali je mtu wa kawaida anaruhusiwa kuagiza dawa baridi kutoka nje na kuna process zipi za kuingiza dawa?na vipi kuhusu...
Habari za kazi wakuu. Kumekuwa na mtiririko mkubwa sana wa Watanzania kuelekea Msumbiji, wanasema oportunities ziko nyingi kule, binafsi nimevutiwa sana lakini sijapata kuzungumza na Watanzania...
Kuna gari aina ya VITZ nataka kuinunua kutoka Japan wiki hii.
Engine capacity-1000cc
Year/Month-2001/03
CIF U$1,900
Kwa anayejua gharama za pale bandarini pamoja na registration ya gari na...
mwenye kujua kanuni ya kukokotoa mkopo wa nmb na benk nyingine naomba aitupie hapa
mfano take home ya 950000 anaweza kukopa maximum kiasigani? au akikopa 15m atalipa kiasi gani kwa 5yr
Ni taarifa kwa wanfanya biashara za Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money kuwa kuna vijana wanaotengeza mifumo ya wizi kwa mfano wanakuja kutoa pesa katika simu ya wakala inaingia sms yakuonyesaha...
Habari waungwana ! Ningependa niijue kwa undani biashara hii kwani huku niliko kuna uwezekano wa kuvipata kutoka kongo na wenyeji wa kigoma wa mji wa kihistoria wa ujiji wanavyo vingi...
kiwanja kinauzwa maeneo ya mikwambe jijini dar.kipo mita chache kutoka bara bara ya lami.kipo sehemu nzuri kwa makazi,kinafikika kwa gari yeyote,and huduma zote zipo karibuni,bei yake ni milion...
Ninauza hicho kiwanja kinayo hati original. Kina ukubwa wa sq 1,113, kiko Longido mjini karibu na H/Wilaya ya Longido, kinapakana na eneo itakapojengwa Hospitali ya Wilaya. Process ya mauziano...
Habari wakuu,
Naomba msaada kwa yeyote anayejua gharama za kuanzisha mradi wa kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia maji kutoka kwenye visima vya vina virefu.
Naomba kujuzwa gharama za kuchimba...
nina shamba la ekari moja na robo eneo la Iwambi nataka nizungushie ukuta gharama ya huo ujenzi inaweza cost sh ngapi? najua cement haitoitajika wala mchanga hapo ni mafundi tu. wakazi wa mbeya...
Habari wakuu.
Kuna suala ambalo nimekuwa nikili_experience hivi karibuni, na si peke yangu ila pamoja na baadhi ya wadau/watumiaji wa Courrier agency kama DHL...ofisi nyingi hasa Dar, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.