Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari, Gari zinauzwa, zimetumika Japan tu na ziko kwenye hali nzuri sana. Hazitumiki Tanzania zinangojea mteja. Zimelipiwa kodi halali na gharama zingine zote ila bado hazijasajiriwa. Bei...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau kwa yeyote mwenye uzoefu na ujuzi wa mambo ya Loans, Naomba anijuze nifanyeje ili niweze kupata mkopo wa 1,000,000. Nina biashara yangu ndogo yenye mtaji wa milioni 7. Sina nyumba ya...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Mimi kijana naishi mkoa wa Kagera naomba ushauri nina Mtaji wa Milioni Moja nimeplani kufanya bihashara ya Internet cafe je inawezekana kwa mtaji wangu na kama haiwezakini ni bihashara Gani naweza...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Naombeni ushauri kunabiashara.nimefungua ya kuuzanafaka.kama maharage,mchele,mahindi,karanga.viazimviringo.dagaa,nk.sasahiibiashara naonainaniumiza.sana kichwa.kwaninauza sana ila.sionipesa.wadau...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wakuu habari! kuna ubishi hapa jamaa amejiwekea ndani dola za marekani 17000 zina miaka mitatu sasa anataka kwenda ku-change ametokea jamaa amemwambia kuwa dola ya marekani huwa ikikaa mwaka...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
The richest man in Tanzania gets richer.... http://www.tzbusinessnews.com/rostam-aziz-earns-ths-384-billion-from-vodacom/ Chama Cha Mapinduzi (CCM) party stalwart Rostam Aziz has earned USD...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari za Jumapili . Naomba kuuliza. Je Kuna mtu ameshawahi kutuma kitu kwenda Dar kwa kutumia USPS - United States Postal Services na Kikafika ? Je kama ulifika uliuchukulia mzigo wapi...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
habari zenu wakuu. napenda kuchukua nafasi hii kuwashawishi hasa vijana wenzangu wanao hangaika kung'ang'ania town wakati kuna deal kibao vijijini. 1:ukubaliane na uhalisia wa maisha yenyewe ya...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wengi wanapenda kutangaza biashara zao, matukio yao ya kijamii, jinsi alivyotokelezea siku husika na mengine mengi. Ulimwengu wa digitali huu. Hifadhi kumbukumbu kwa ajili ya vizazi vijavyo...
1 Reactions
2 Replies
965 Views
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikikutana na matangazo mapya mjini yakitangaza ujio wa kinywaji kipa cha MO COLA. Ujio huu umeambatana na vinywaji vingi vya aina hiyo kutoka kampuni ya METL...
0 Reactions
8 Replies
38K Views
Kichwa cha habari kinajieleza...wadau nmekua na wazo la kuuza bia kwa jumla ila sina uzoefu wowote kama kuna mtu yoyote mwenye ufahamu wa jinsi ni vip naweza kupata cret na chupa tupu za bia,pia...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Poleni na hongereni kwa kazi wana jf. Naomba kwa mtu anayefahamu hatua za kuanzisha NGO, Ushauri wa usajili na masuala mengine ya ki uzoefu wa namna ya kuendesha NGO anieleze kupitia jf...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
IKIWA NDIO SIKU YA KWANZA. Umefungua garage yako ya kutengeneza magari!!! ukaipa jina la "BMW garage" ukitengeneza magari ya aina ya BMW tu!! LAKINI MPAKA KUFIKA SAA NANE MCHANA HAKUNA HATA...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hari zenu wanabodi, Nahitaji mwezeshaji/mwekezaji ambae tutashirikiana ku-run project ya ujenzi wa mradi wa maji. Contract na majadiliano ya returns as per capital invested yatafanyika kwa uwazi...
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Niko mpanda naomba mnijuze vilipo viccoba ama saccos nataka kujiunga kwani nimesikia kuliko kuweka pesa benki bora kuizungusha kwenye viccoba.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu,kati ya kufanya biashara ya kuuza nguo vyuoni hapa Dar kwa mtaji wa laki moja,na kufanya kazi kwenye godauni kwa mshahara wa laki moja kipi ni chema hapo jamani? Nishaurini wakuu.nahitaj...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hichi chama chetu cha TUICO mimi binafsi sikisomi kabisaaaa! Michanga mnapata tena kwa kutumia withholding method, inakatwa juu kwa juu lakini kwa nini maendeleo ya chama hatuyaoni ukilinganisha...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habar wanaujasiliamali naomba mwenye ufahamu n.a. hii biashara anijuze sehemu yaan kuchukua mzigo na bei zikoje pia inalipa au nataka fanya hii kitu ..msaada
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ndugu wanajamii. Ninaomba ushauri, nimeanzisha biashara ambayo haijaanza kufanya kazi. Nilikopa SACCOS nikaanza kujenga eneo la ofisi, na mahitaji mengine yanayohitajika katika kuuza bidhaa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
For a long time The East African Tourism Industry has not captured Android and Apple/iOs Phones and Gadgets as a venue for marketing despite (Android and Apple smartphone vendors shipped a total...
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…