Hawa ndio madereva pikipiki/Toyo wazuri kwa uendeshaji tena waaminifu.
Wanapatikana katika wilaya ya Bunda mkoani Mara.
Vijana hawa wanapaki mtaa wa baisikeli nyuma ya soko kuu karibu na duka...
Salaam Wapendwa wangu,,....!!
Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na
pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!
Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye
busara,,....!! Kwa kiufupi...
wakuu, naombeni mwenye soft copy ya katiba ya saccos au vikoba yoyote hapa bongo, kwani nataka tuanzishe vikoba au sacoss. kama mtu anayo naomba anitaarifu hapa janvini, ili mimi ni PM kwake ili...
Tanzania's development blueprint has found a renewed strength as Lake Cement Ltd. is set to commission Tanzania's first fully-integrated greenfield cement plant with an initial capacity of 500,000...
Habari zenu wadau
Nina pesa ya Korea kusini nataka niibadili katika shilingi,duka gani hapa dar naweza kupata chenji,maana nimejaribu airport nimekosa.
Utapeli kwa njia ya mtandao umekuwa ukiongezeka kila kukicha kutokana na ukuaji wa tekinolojia ya utumaji na upokeaji pesa kwa njia ya mtandao, hususani simu. Tanzania ni mojawapo kati ya nchi za...
Hivi hawa TCRA hawana kanuni za kuwadhibiti hawa jamaa wenye kurusha matangazo ya TV, wanatukera saaaaana na kelele kubwa za matangazo yao ya biashara. Nakumbuka nyuma kidogo ama ni Marekani au...
Tunauza viwanja vilivyopimwa maeneo ya Mvuti - kupita Chanika,kwenye barabara ya kuelekea uwanja wa Chamazi mpaka Mbagala.
Viko Mita 60 toka kwenye lami,viko kwenye mtaa na maeneo...
Habari wapendwa, mimi ni muajiriwa hapa dodoma, lakini kama mnavyojua mshahara siku zote huwa hautoshi, sass wapendwa naomben mawazo yenu je kwa mtaji huo naweza fanya biashara gani, nimejaribu...
nauza toyota Rav 4
ni milango mitano
iko katika ali nzuri
bei ni Tshs 8.5m
ni Automatic
engine aina ya 3s cc1998
ya mwaka 2000
kwa mawasiliano zaidi
piga simu number 0753800808
au...
Miguu 28 kwa 24
Umeme upo na maji,kimezungukwa na fensi za waliojenga tayari.
HAKUNA DALALI 33MILIONI
NUNUA UBARIZI HEWA YA MLIMA SUYE
TUWASILIANE O764291222.
Wadu kwema? Naomba muongozo wenu, je ni business gani ya kwenye ICT inalipa sana kwa sasa bongo ambazo unaweza kupata tenda au kazi kwenye makampuni makubwa au hata serikalini? Nilisomea mambo ya...
Wadau salam zangu za dhati kwenu,
Nataka kufanya biashara ya mbao za miti kwa hapa Dar es salaam, lakini sina taarifa za kutosha kuhusu soko lake na bei zake kiujumla, ntafurahi kupata taarifa...
Habari Wanajamvi.
Naomba kujuzwa juu ya gharama za solar power(Full Gadgets i.e Charger Controller,Panel,Battery & Inverter ) ambayo nitaweza kuwasha Tv,King'amuzi pamoja na Taa Sita.Mwenye...
habari wana jf kama title inavyo sema naomba kujua mahali ambapo nitapata elimu ya ufugaji wa kuku iwe wa kienyeji wa kisasa. mn nakaa dar es salaam tumefunga chuo ss mpaka mwezi wa nane sina kazi...
Wadau, hasa vijana wenzangu,
Ushauri kwa vijana wenzangu. Ukiona wewe kwanza ndiyo umepata kazi, ukaanza kwa kununua gari la kutembelea, baada ya hapo ukanunua kiwanja na ukaanza kujenga ujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.