Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari zenu wana jf Nmekua nkipata tenda mbalimbali nje ya dar watu wakihitaj kazi zangu kama vile printed tshirts,lebo za bidhaa ila nmeshindwa kufanya nao kazi kutokana na kutofahamu njia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
simu ni brand new kwenye box...punguzo la asilimia 20 ya bei yake kamili..16GB internal memory, 2GB RAM, 13 MP of the camera, 4.3 android version...na above all ni water resistant...haiingiliwi na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
5th April 14 New era as one-stop-post starts at Tanzania and Kenya border Aisia Rweyemamu One-Stop-Border Post (OSBP) means placing border officials of two adjoining countries at each other’s...
3 Reactions
36 Replies
7K Views
Amani wakuu! sorry, natafuta kitchen/food thermometer ambayo ni digital. Yeyote mwenye clue nitaipata wapi kwa bongo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau ni benki gani inatoa interst kubwa kwnye account za fixed.
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Welcome to Century Laboratory. We lead the industry in cleaning bank stained notes from pink to black dyed currency. Our main line of products and services serve the financial industry as a...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Naomba mnijuze gharama na taratibu zote za kutoa gari bandarini aina ya mazda premacy size yake ni 12.84m3.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salam kwa wote hapa jf!! Naomba msaada wa ushauri wenu ambao mnamiliki Pikipiki za aina tofautitofauti ni ipi nzuri kwa maana ya vipuri na matengenezo yake. Lengo na matumizi ya pikipiki ni...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari!! Kuna ndugu yangu yuko Thailand, anataka kutuma mzigo wa nguo Tanzania. Naulizia ni wakala (kampuni n.k) gani wa usafirishaji wa mizigo kutoka Thailand kuja Tanzania amtumie ili niweze...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mashine unaweza tumia umeme au handle ku pump mafuta.tank yake inauweza wa kuingia lita 12000.ilikua inatumika kuuziamafuta ya taa, inauzwa shilingi milion nane taslimu (8, 000, 000) mtambo huo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Biashara gani ni nzuri kufanya?Na sehemu gani wanatoa mikopo midogo midogo ya biashara na masharti yake ni yapi.naombeni ufafanuzi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naombeni ushauri. Nina kiwanja changu title deed yake ni service industry. nilikipata kwa mbinde sana baada ya afisa ardhi kunitaka nifafanue service industry gani ntaweka,, kusema hospitali...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Couple walipoona hali ngumu ya maisha na kile wanchochuma huishia kwenye makato na rent wakaamua kufanya kitu chao wenyewe kwa mikono yao, hiyo ni nchini Marekani. Hali ya uchumi inazidi kuwa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana JAMIIFORUM,naombeni ushauri wenu wa tija juu ya hili. Nataraji kuwa MWANAHABARI WA MAZINGIRA na kuanzisha gazeti(MAGAZINE) ambalo litalenga zaidi katika suala zima la kuhifadhi Mazingira...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa,, mimi nilikuwa nafanya biashara ya Grocery hapa Dar es salaam maeneo ya Kinondoni ila kwa sasa nahamia mkoa mkoa, nauza vifaa vyangu vyote kama vilivyo kwa ujumla ikiwemo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Zenu wana jf Kama nlivoweka title hapo juu nmesika ya kuwa znz electronics kama laptop,simu,smart tv na hata game consoles zinauzwa bei nafuu kutokana na influx ya bidhaa hizo kutoka nchi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, je ninaweza kupata mashine moja ambayo inaweza ikatoa photocopy, ikaprint na kuscan na inaweza ikatoa black & white pamoja na coloured? na kama inapatikana, aina gani ni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
hope mpo poa naomba msaada kwa mtu anae elewa jinsi ya kupata mashine ya max malipo au pay point,pia na bei zake nawakilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KIMI DEV.CONSULT LTD NI KAMPUNI MPYA SOKONI, IKIJIHUSISHA NA CONSULTANCY SERVICES KTK MIRADI/BIASHARA mf. development project writeups, training, research and feasibility studies! PIA KAMPUNI IPO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
2Million, mawasiliano 0714946071
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom