Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wanajamvi naomba ushauri, nimeandaa kitabu kidogo cha ujasiriamali lakini sina pesa ya kukichapisha na kukisambaza.
1 Reactions
18 Replies
434 Views
Kumekuwa na watu mbalimbali wenye mitaji yao lakini wameshindwa kujua biashara za kuwekeza vijana karibuni tujuzane fursa mbalimbali za kutuinua kimaisha.
2 Reactions
17 Replies
629 Views
Habari wana JF,biashara gani inafaida ya nzuri kwa mtaji wa million moja?
1 Reactions
19 Replies
573 Views
Wakuu Leo nataka niwaiibie hii Lonja kuhusu fursa ya usafirishaji haswa Kwa hili jiji la dar es salaam. Yaani kiufupi ni hivi, kama unataka kuwekeza kwenye biashara ya uhakika na upige pesa hapa...
17 Reactions
39 Replies
3K Views
Wakuu Ina kuaje hapo kama mtu atataka kupata walau Hela ya kula tu kama 100k Tsh. Kwa biashara hii ya uchoraji wa michoro ya kiufundi kama vile ramani za nyumba na etc
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Naulizia kuhusu hii certificate ya clearing and forwarding hii ya kupractise ya East Africa inayotolewa na chuo Cha TRA pale Mwenge. Nahitaji kuisoma kozi hiyo Ili niingie kwenye...
1 Reactions
3 Replies
863 Views
Nimekaa nikafikiri hapa TZ tuna taasisi nyingi za Serikali kuanzia 1. Tanzania Investment Centre (TIC) vs EPZA vs BRELA, 2.Tanzania Tourist Board (TTB) Vs TANTRADE, 3. Tanzania Employment...
25 Reactions
272 Replies
35K Views
Habari za majukumu, Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar. Nahitaji gunia kuanzia...
0 Reactions
5 Replies
674 Views
CRDB EBU WEKENI ACCOUNT WEZESHI NA SIO HUU UPUUZI WENU LA SIVYO KITAWALAMBA Eti hii ndo account ya MWANAFUNZI isiyo na makato khaaaaaaa🙄🙄 Na za wafanyakazi hali ikoje Jamani?.🤣
5 Reactions
28 Replies
853 Views
Mliofika Mafia. Mafia machoni pa watanzania wengi bado ni giza. Hata mtu ukimwambia ataje wilaya za Pwani angalabu sana kutaja Mafia!! Kwa hali hii imenipasa kuuliza kama hata lami ipo...
11 Reactions
215 Replies
48K Views
Hivi karibuni mtaani kumekuwa na uhaba wa pesa za sarafu kwa maana hamsini, mia, mia mbili, na mia tano. Imefikia hatua makonda wa daladala wanapata shida ya kupata chenchi za kuwarudishia wateja...
5 Reactions
30 Replies
836 Views
Naomba kuuliza bei ya hivi vibiscuit vya kupack ice cream na pia ni sehemu gani huwa vinapatikana?
1 Reactions
8 Replies
418 Views
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China. Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako...
22 Reactions
162 Replies
12K Views
Biashara kuuza genge ni biashara moja nzuri sana. Kinachofanya watu wengi wasifanikiwe ni ile kuwekeza mtaji mdogo sana. Imagine mtu anaanzisha biashara ya genge kwa mtaji wa elfu 80 sasa mtu...
5 Reactions
19 Replies
26K Views
Habarini za Asubuhi wakuu humu ndani, bila shaka mmeamka poa na kwa wale ambao wanaumwa basi namuomba Mungu awaponye kwa uwezo wake Aamin ! Leo nimekuja na hii Biashara nzuri ya kuanzisha YouTube...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
BASHUNGWA AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KARAGWE, MIUNDOMBINU YAENDELEA KUBORESHWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inyoongozwa na Rais, Dkt. Samia...
0 Reactions
3 Replies
257 Views
Habari za sasa, Kwa wataalam wa hii biashara nataka niingie hii biashara. Nipeni dondoo.
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Naomba kuuliza nikihitaji package ya namna hiyo kwa ajili ya bidhaa mbalimbali je nitapata vipi naombeni wadau mnisaidie nijue namna ya kupata package za bidhaa zangu.
0 Reactions
7 Replies
327 Views
Hello! Natafuta mkulima au mtu mwenye stock ya Soya beans ile ya njano kuanzia tani 3 anipe na bei elekezi. Nimeweka picha ya Soya.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Hilo hapo chini ni tangazo katika moja ya migahawa hapa mjini DSM, Ameanza kwa mtiririko huu ∙ Supu ya Samaki ∙Choo cha kulipia ∙Chapati ∙maandazi ∙Wali + Pilau ∙Chips Karibuni sana, Katika...
6 Reactions
8 Replies
529 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…