Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Malalamiko ya hali mbaya za kiuchumi na kutoka kwa wafanyabiashara yamekuwa sugu. Njia zote kuleta nafuu zimeshindikana.Sababu ya hali hiyo ni kwa vile njia za uchumi zinazofuatwa si halali...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Naomba wajuzi wa machimbo ya playstation 3 mm nipo mkoani katavi naogopa matapeli
0 Reactions
10 Replies
476 Views
Wakubwa naomba kupata ushauri kati ya kununua pikipiki ya kufanyia boda na kufungua duka la viatu vya kiume kwa ukanda wa dar kipi bora zaidi
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Tokea nizaliwe sijawai kusikia mtu anatoka mjini anaenda kutafuta maisha kigoma, sumbawanga, Gairo, Mara, Ruvuma, Mtwara, Singida n.k. Simaanishi kwamba hakuna watu wenye pesa lakini naona kama...
8 Reactions
50 Replies
5K Views
Wadau naombeni maarifa. Kwamba ni simu ipi ya kiganjani inakaa na chaji (moto) zaidi ya masaa 12 unapoitumia mfululizo? Nahitaji kununua simu yenye sifa hiyo.
5 Reactions
83 Replies
6K Views
Kuna tatizo la usajili "ONLINE" wa kampuni BRELA. Baada ya kutimiza masharti yote ya ONLINE REGISTRATION ikiwa ni pamoja na kuingia gharama za usajili unaambiwa eti jina linafanana na kampuni...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari Wana jf. Naomba kueleweshwa kuhusu makadirio ya Kodi. Nimeanza biashara ya vipuri vya pkpk takribani mwaka mmoja sasa. Mara ya kwanza kwenda t.r.a nilikadiliwa 89000 na mwaka huu nimerudi...
1 Reactions
7 Replies
826 Views
Licha ya kupiga hatua kwenye kuvutia wawekezaji na kuwa kivutio cha FDI sasa hali imeanzakudhoofishwa. Mabalozi wameanza kulalamika kuwa wawekezaji wao wengi wanakumbana na usumbufu mkubwa...
5 Reactions
44 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu, mimi nilikuwa na swali kidogo kuhusu DSE. Hasa kuhusu namna ya kujisajili na namna ya kupata brokers. Mwishoni mwa mwaka jana nilijisajili na nahisi nilitumiwa baadhi...
0 Reactions
5 Replies
419 Views
Habari zenu wandugu? Naomba kujua kuhusu ratiba za minada ya Lindi na Tunduru? With much thanks in advance.
0 Reactions
10 Replies
528 Views
Habari wa JF, Samahani nina swali kuhusu upatikanaji wa leseni ya biashara .Iwapo nina TIN number. Je, ni documents gani natakiwa kuwa nazo ili kukamikisha upatikanaji wa leseni na pia muongozo...
8 Reactions
29 Replies
4K Views
The Tanzania that i want in the next 25 years on my views openly, i want a Tanzania with less unemployment problem or decreased number of unemployed civilians of Tanzania in our country...
2 Reactions
3 Replies
461 Views
BUSINESS PLAN 01: FISH FARMING note source ni nyingi 👨‍⚕️. Kuanzisha biashara ya ufugaji samaki nchini Tanzania inaweza kuwa mradi wenye faida kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya samaki kama...
3 Reactions
0 Replies
503 Views
Nauza maharage ya njano kutoka Arusha Kwa bei ya jumla 2800,Nb: Delivery ipo
0 Reactions
0 Replies
442 Views
He also shared a speech below from President Museveni in order to substantiate his assertions
0 Reactions
4 Replies
260 Views
KATIKATI nguvu ya KIAPO. Muuguzi aliyesalia nami katika chumba kile cha matibabu, haraka sana alinikimbilia na kuniita jina langu. Alitabasamu na kuniambia "karibu" binafsi nilizidisha mshangao...
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Serikali ilete majibu ya pesa Tilioni 280 zimeibwa na nani? My Take Tukiwa na wabunge wadadisi kama Mpina Nchi itanyooka tuu. --- MBUNGE LUHAGA MPINA ALIA NA UHABA WA DOLA "Sekta ya fedha hapa...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Uhaba wa Dola nchini utaibua mabilionea wapya kupitia "black market" bado Kuna kijana analalamika ukosefu wa ajira?
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, hapa nilipo nina shida na 15k ya haraka. Kuna app nyingi za kutoa mikopo ila kuna sharti naona sijakidhi. Wanataka niwe na kitambulisho cha taifa (NIDA). Bahati mbaya...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Back
Top Bottom