Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana jf. Kwenye harakati za utaftaji kuna mapito mengi Sana mtu anapitia mpaka anatoboa,Kuna watu wamepitia msoto mkali,wamekutana na changamoto sio za nchi hii,Kuna wakati unajiona...
17 Reactions
45 Replies
2K Views
Nilikuwa naomba kuuliza, kuna hawa wanajiita UKG walikuja kwenye inbox yangu kuna kitu wanahitaji kunishirikisha ni kitu kizuri, lakini ninachotaka kujithibitishia wasije wakawa matapeli. Msaada...
2 Reactions
12 Replies
365 Views
Kwema wakuu nitapataje laini ya viettel? Au kama mtu anauza nicheki whatsapp namba +255750323415 nipo Kilimanjaro.
2 Reactions
22 Replies
924 Views
Wakuu, Nina miti kadhaa ya limao imezaa malimao ya kutosha, sasa ninaomba kufahamu kuhusu soko pamoja na bei ya malimao.
3 Reactions
14 Replies
973 Views
Jamaa ni kama wametumwa kutoka kuzimu kuondoa amani ya watu duniani. Ni kama mashetani, nahisi hata zilipo ofisi zao ni sehemu ya kificho. Wanajua kukera mno. Hawaelewi chochote zaidi ya fedha...
4 Reactions
3 Replies
468 Views
Wakuu wiki iliyopita nilienda TRA kufunga biashara yangu baada ya kuona makadirio niliyoandikiwa ni makubwa mno na hayaendani na biashara. Mwanzo Nilienda huko TRA kuomba kupunguziwa kodi tawi...
12 Reactions
32 Replies
1K Views
Hello JF Members, I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi. Mazingira ni Dar es salaam...
32 Reactions
203 Replies
11K Views
HABARI WANAJAMII, NAUZA LODGE YANGU IPO WAZO HILL,KISANGA ROAD INAVYUMBA 11 VYOTE SELF AC,HEATER NA TV. NJE KUNA KAUNTA,CHOO,JIKO NA PARKING UKUBWA WA ENEO 1600 SQM MATARAJIO YA MAUZO KWA SIKU...
3 Reactions
7 Replies
417 Views
Nifanyeje ili niweze kuanza biashara ya usafirishaji (cago) nikiwa sina gari kutoka Dar es Salaam kwenda mikoani.
1 Reactions
2 Replies
360 Views
Naomba mchango wenu , ushauri, mapendekezo, kuhusu biashara ya lori( Truck), Mimi nina gari langu SCANIA MENDE, nimefanya nalo biashara ya mchanga kwa miaka 3 , lakini biashara imekuwa ngumu...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Jaman wapwa msaada JINSI ya kufanya malipo ya bidhaa kwenye Alibaba, AliExpress na nyingine Kwa urahisi kama ilivo kwenye kiApplicaton Cha Kikuu Please [emoji3064]
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Hongera Kwa METL kwa kufanikiwa kupata mkopo huo, ama kweli mwenye nacho ataongezewa... mkopo huo ni kutanua wigo wa biashara yake Afrika Mashariki , kwa usaidizi kutoka benki ya RMB. Benki hiyo...
5 Reactions
10 Replies
926 Views
Wakuu kwema. Kwa niaba ya kaka yangu ambaye ni mmiliki wa car wash maeneo ya miti mirefu karibu na kabisa katoloki Geita napenda kuwatanganzia kuwa,car wash inauzwa kiasi cha million 5. Vitu...
0 Reactions
8 Replies
406 Views
Amani ya Mungu iwe juu yenu Najua hapa kuna waelewa wa mambo mengi katika biashara hivyo naomba kujua mambo yanayotakiwa ili kuanzisha ofisi ya betting. Miongoni mwa mambo ninayotaka kujua ni...
7 Reactions
34 Replies
3K Views
Nataka nifanye biashara ya microfinance nikiwa na leo ya kusupport biashara ndogo ndogo kukuza biashara zao, ila nataka nianze kwa mtaji mdogo na watu wachache nichunguze upepo wa biashara. Swali...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Leo, wafanyabiashara wa Kariakoo wamesitisha shughuli zao kwa pamoja kwa kugomea kodi na ukaguzi mkali, hatua ambayo imesababisha maduka kufungwa na kuathiri biashara kwa kiasi kikubwa. Mgomo huu...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) Kutoa Mafunzo Kusaidia Sekta ya Afya, Elimu na Uchumi Tarehe 27.6.2024 Mwanamke Initiatives Foundation chini ya Mkuregenzi wake Mhe. Sabra Mohammed. Imesaini...
0 Reactions
1 Replies
172 Views
WAZIRI MKUU MAJALIWA APONGEZA HATUA ZA UFUTAJI WA LESENI NA MAOMBI YA LESENI YASIYO NA SIFA -Aagiza maeneo hayo kupewa wachimbaji wadogo na wawekezaji walio tayari -Ampongeza Waziri Mavunde...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Ongezeko la Technology limefanya profiling ya mkopaji kuwa huru na kufanya mtu kuweza kukopa online kwa kutumia mitanda kumekuwa na mitandao au apllication nyingi sana ambazo zinatoa mkopo pindi...
3 Reactions
5 Replies
8K Views
Hizi Apps za online loan zimekuwa kero zinakopesha pesa ndogo Kwa riba kubwa ukichelewa kuwalipa unaongezewa penalty kubwa sana. Yaani imekuwa changamoto maoni yangu kwa serikali wazicontrol...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom