Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wanaJF, Ni mimi tena. Nimekaa nje siku nyingi sijapost, lakini nimerudi tena mchezoni. Changamoto za hapa na pale, lakini nothing that I couldn't handle, by God's grace (hakuna...
1 Reactions
0 Replies
227 Views
Habari, hii taarifa nilishawahi kuandika siku 3 au 4 zilizopita sasa baada ya watu wengi kutoelewa na kuhisi vibaya nimerudi kuweka KILA kitu wazi fursa zinazopatika kwenye msimu huu wa mavuno ya...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ninauza genge la mboga mboga na matunda.Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa biashara katika masoko ya jijini Dar es salaam kama Mabibo, Buguruni, Temeke, Stereo na Ilala. Katika...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni mzigo mkubwa wa bati ngumu za mageti (Sheets)... zina urefu na upana sawa wa futi nane kila upande,Zipo nne, lilikuwa banda hivi sasa nimelikata kata sasa nalihamisha kutoka huko mkoani mwanza...
0 Reactions
7 Replies
406 Views
Ni maamuzi gani "MAGUMU" ulishawahi yachukuwa kwenye SEKTA YA MADINI ambayo hadi leo hii YAMEKUSAIDIA na unakula MATUNDA yake..
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Wataalam wa maeneo hayo naomba ushirikiano wenu Kuna mgeni wangu anataka kufikia mitaa hiyo Sasa kama kuna mtu anajua hotel mzuri au lodge mzuuuuri ambayo kuna restaurants na vibia kidogo
3 Reactions
12 Replies
727 Views
Katika ulimwengu huu wa sasa teknolojia imekua kubwa, baadhi ya vijana wamejiajiri katika blogging, youtube, n.k. kwa hapa kwetu wapo a aina mbili Aina ya kwanza - kwa upande wa bloggers wengi...
11 Reactions
53 Replies
7K Views
Kwema wakuu, Kuna mtu kanifata anahitaji ushauri, anataka kujilipua kwenda kariakoo kufanya biashara.... Kwanini Kariakoo? Anaamini Kariakoo ndo hub ya biashara hapa Tanzania.... Mzunguko wa...
12 Reactions
54 Replies
3K Views
4 Reactions
20 Replies
577 Views
Habari wakuu nina mtaji wa milioni 3 biashara ipic nzuri kati ya home decor au vipodozi ?nipo kitunda Dar es salaam
5 Reactions
23 Replies
5K Views
Anaandika, Robert Heriel Ni Watu wajinga pekee watakaoamini mambo ya Pesa kupotea kimazingara, ati kupotea kichawi! Chuma Ulete! Yaani ati unaweka Pesa kwenye kibubu labda laki tatu za...
31 Reactions
62 Replies
7K Views
natafuta partner wa biashara ya samaki anayeweza kufanya biashara na Mimi ya Samaki kutoka ruvu upande was Simanjiro Manyara Sifa awe na uzoefu wa biashara ya Samaki ayajue masoko awe na...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nikilipa napeleka risiri TRA? Kuna cheti napewa kama ilivyo kwa tax clearance? Kuna namna ya kuipunguza? nini madhara ya kutolipa? Mwisho ni lini napaswa kulipa ?
0 Reactions
1 Replies
459 Views
Habari ya leo wanajf! Nina imani mko salama salimini! Ninaomba mnisaidie namna nzuri ya kuijua faida ya kwenye duka! Ninaomba mfikirie pia hali hii kuwa vitu ndani ya duka kila kimoja kina faida...
5 Reactions
24 Replies
814 Views
Mwishoni mwa mwaka jana, baadhi ya bidhaa, hasa zile zinazotumika kupika vitu mbalimbali, zilikuwa na bei ya chini. Hata hivyo, mwanzoni mwa mwaka huu hadi mwezi wa tatu, bei ya bidhaa hizi...
5 Reactions
11 Replies
522 Views
Ni hesabu nilizopiga katika duka langu dogo nililoweka binti wa kazi mwaka jana, Nimehitimisha biashara ilikuwa inapiga nondo / kujitekenya / BREAK EVEN. Biashara hii mzigo wa dukani sio wangu...
22 Reactions
121 Replies
7K Views
Rafiki yangu mpendwa, Watu wengi wanaposikia soko la hisa, huwa wanadhani ni kitu kikubwa na kigumu sana ambacho hakiwahusu wala hawawezi kukielewa. Lakini huo siyo ukweli, soko la hisa ni kitu...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Rafiki yangu mpendwa, Kuna watu huwa wanabana sana matumizi, wanakuwa na ubahili mkubwa kwenye fedha zao, lakini bado wanashindwa kujenga utajiri. Watu hao huwa wanajisifia mbele ya wengine...
0 Reactions
1 Replies
279 Views
Kuna mchele unauzwa na kampuni ya Korie wanaita mchele wa mbeya upo kwenye package ya 5kg, huu mchele ni utapeli mtupu wamepack mchele wa kitumbo halafu wanaubrand kama mchele wa mbeya ili wauze...
3 Reactions
18 Replies
973 Views
Nimetoka kulipa kodi ya kila miei 3 ghafla napewa kodi za ziada stamp duty na witholding tax.
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Back
Top Bottom