Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habarini wakuu Naomba tushirikishane kwa kutoa mawazo na maoni mbalimbali haswa kwa wenye ufahamu kuhusu hoteli za nyota tano, na pia wajenzi na wakandarasi ambao wana uzoefu wa kujenga majengo...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu Kwa wale watumiaji wa E-wallets haswa Skrill , ninaona wameongeza huduma ya kutoa pesa kwenda Mobile money! Nimejaribu kuangalia makato (Fee) yake kwa kupitia Airtel money naona...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ni mjasiriamali mdogo nipo kijiji ambacho Kuna shughuli za uuzaji pombe jina maarufu ubanda, naomba kupata mawazo ya biashara ambayo itaendana na mazingira hayo. Nipo tayari kupokea mawazo...
2 Reactions
18 Replies
553 Views
…Najua hadi hapo Ulipo utakuwa Umesikia, Umejifunza na Kusoma vitu vingi sana kuhusu Biashara. . Utakuwa Umesikia kuwa… . Biashara huwa ni kwaajili ya Wachanga na Wakinga Tu… Kwenye Biashara...
17 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wadau, nikiwa Kama kijana naepambana katika kizazi hiki Cha teknolojia, Mimi ni mdau mkubwa Sana wa mitandao ya kijamii, na ni miongoni mwa watumiaji wazuri wa mitandao ya kijamii kujipatia...
11 Reactions
14 Replies
779 Views
"Ifahamike mpaka sasa tunaposimama kama Wabunge wa Mkoa wa Kigoma bado mahitaji yetu hayajatekelezwa ndiyo maana tunasimama kukumbusha na kuieleza Serikali sikivu ili iweze kufahamu namna gani...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Nina mpango wa kufungua store ya mchele Dsm...sipo kwa muda wa miaka 3 ... Bahati nimefanikiwa kupata mashamba /mkoani Katavi, hivyo source kubwa ningetarajia kwanza iwe kutoka shambani, japo kwa...
0 Reactions
4 Replies
784 Views
Katoro mji uliopo ndani ya Geita, Mangi alikuja hapa miaka 6 iliyopita leo nimefika tena kwakweli mji unakua kwa kasi, kama unamtaji wako mzuri na ulitegemea kuinvest lakezone bila shaka Katoro...
9 Reactions
93 Replies
22K Views
Wakuu Poleni na majukumu, moja kwa moja Mimi Nina shida ya pesa. Lakini nimepata ushauri kwamba kama nahitaji kukopa basi nitafute Saccoss maana wanasema Saccoss ni nzuri zaidi kuliko bank au mtu...
1 Reactions
2 Replies
510 Views
Wasalaam wakuu, Easter Ndio hyo Inaisha. Back to the Basics. To The Point Ebana nina mtaji wangu flan nimekua nikidunduliza hela za change kwenye bata [emoji16]Lol zimefika kama Tsh 5M+...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Natafuta wazo la biashara ambalo lina almost Zero management. Kama mjuavyo biashara au uwekezaji unahitaji management la sivyo hasara utakula mchana. Katika fikiria fikiri nimeona BIASHARA YA...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Niliepo mbele yenu ni kijana mpambanaji, naombeni mnisaidie mawazo ya biashara ya mtaji kuanzia milioni moja hadi milioni tano. Kazi yangu ya awali ilikua ni dereva bajaj, nimeifanya kwa muda na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
WanaJF, nawasalimu nyote! Ninaomba anayeijua vizuri tofauti iliyoko kati ya mifuko hiyo miwili anijuze!Ninaomba ninapofafanuliwa hilo nijibiwe maswali haya: UPI ni bora kuliko mwingine?Upi...
0 Reactions
4 Replies
821 Views
Wafanyabishara wote, na wapambanaji wote walioweza kutoka chini, bila kitu na wakafanikiwa kuona Mwanga, aisee ukimpita mtu wa hivyo jaribu kumheshimu sana maana hustling zake sio za kitoto...
12 Reactions
50 Replies
4K Views
Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000. Aisee...
30 Reactions
152 Replies
5K Views
Habari zenu mimi nauza carton za karatasi size A4 gm 80 Bei sh.57,000 mawasiliano 0714954609 pia mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu.Nyote mnakaribishwa.
0 Reactions
8 Replies
296 Views
Hello ladies and gentlemen I guess all you are fine Dear m niko na kitu nauliza iv n biashara gani unaweza kuifanya kwenye Makambi ya wasabato ?? Thanks na karibuni kwenye Makambi
5 Reactions
24 Replies
557 Views
Yani wote tukashukie Stendi ya Magufuli, Mbezi wakati nakaa Kigamboni huyu ni bogas sana.
1 Reactions
13 Replies
551 Views
Nilikua nauliza vitabu gani vinavyopendelewa watu vyenye mafunzo mazuri katika maisha na hustling?
1 Reactions
8 Replies
502 Views
Back
Top Bottom