Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana JF, Mimi ni mkazi wa Kisarawe Pwani. Natafuta soko la mapasheni ninayo mengi, kama yupo mtu tayari naomba tuwasiliane kwa namba 0620593183.
4 Reactions
24 Replies
606 Views
Mugomo ulioanza Jana Dar es salaam sasa umefika jijini kwanza Leo maduka yote makubwa ya mefungwa. Jijini kwanza. Kusema kweli huu si utamaduni wetu.watanzania wafanya biashara wanadai haki...
1 Reactions
1 Replies
194 Views
Wasalaam Nimepanga kufika Arusha mjini kufuata manunuzi kadhaa lakini nimejulishwa na machinga mmoja ivi kua maduka yamefungwa kwasababu ya mgomo wa wafanyabiashara. Mlioko Arusha mjini tujuzeni...
2 Reactions
10 Replies
626 Views
Wakuu habarini za wakati huu... JF ni kisiwa cha maarifa. Naamini wamo wajuzi wa kuandaa 'maandiko ya biashara' au business proposal(s). Naomba maelekezo. Au mwenye 'template' ya andiko lolote...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwa wale wenyeji wa Zanzibar ambao wanamiliki mahoteli nilikua natafuta soko la ngisi Kwa sasa wapo ngisi kama kilo elfu nane Ngisi wanapatikana UNGUJA UKUU Kwa alie tayari naomba tuwasiliane PM
5 Reactions
10 Replies
593 Views
Habari za wakati huu wana jf , niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi huu ni kushare kilichonikuta leo. kuna mtu mmoja alinicheki anaitaji kilo 30 za mchele alikuwa mbali na sehemu ninapouzia...
7 Reactions
17 Replies
723 Views
Habar wadau, Poleni na majukumu km kichwa Cha habar kisemavyo hapo juu, nahitaji mtu wa kunidhamini bank statement kwaajili ya matumiz ya safari ya nje. Ambapo tutakubaliana atanitoza kiasi...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakazi wa Mwanza tumefikishika huduma ya ufundi wa vifaa vya umeme kama TV, Redio n.k. 0780527652 Tunafika ulipo
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Habari wakuu, naomba kujua bank gani, au taasisi gani inayokopesha kwa vigezo ambavyo sio vigumu sana, ikiwemo riba kubwa, usumbufu n.k NB: nina biashara tayari ya 18M
0 Reactions
3 Replies
308 Views
Leo napenda kujadili mradi mkubwa wa ufugaji wa kuku wa mayai 30,000. Kama ilivyo kwa biashara nyingi za uzalishaji uzalishaji mkubwa hupunguza gharama za uzalishaji kwa bidhaa moja ( Unit cost)...
5 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina mpango wa kufungua store ya mchele DSM, sipo kwa muda wa miaka 3. Bahati nimefanikiwa kupata mashamba /mkoani Katavi, hivyo source kubwa ningetarajia kwanza iwe kutoka shambani, japo kwa...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Tunahusika na uchomeleaji na uhunzi wa vyuma, tunatengeneza machine za kilimo, ujenzi, upakiaji, machine sector za madini, viwanda, tela za trekta n.k, tunabuni na kutengeneza mitambo kulingana na...
0 Reactions
8 Replies
276 Views
Kama kichwa Cha Uzi kinavyosema, ninatafuta rice cooker inayoweza kupika angalau kilo 4 za mchele Kwa wakati Mmoja. Naihitaji Kwa matumizi ya hotelini!. Hii itaniepusha na matumizi ya mkaa na...
2 Reactions
3 Replies
358 Views
Wanahitajika business partners wawili hadi watatu. Biashara ya kuuza Maziwa Fresh na Mtindi. Biashara itakuwa jumla na reja reja. Vyema ukiwa unaishi Dar es salaam. Mimi nitasimama upande wa...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Habarii za Muda, Nauza MAPARACHICHI kutoka moshi kwa gunia, noamba kama kuna mhitaji au dalali wa soko lolote Dar au popote tuwasiliane nikuuzie kwa bei nzuri kabisa, gunia ni 65,000 - 80,000...
9 Reactions
23 Replies
776 Views
SERIKALI KUTUNGA KANUNI KUONDOA MIGONGANO YA WENYE MADUARA NA WAMILIKI WA LESENI - Eneo la Uwekezaji wa msaada wa kiufundi(Technical Support) kutengenezewa Kanuni - Leseni za vikundi...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Wakuu habari yenu. Naamini wapo wajuzi na maafisa tofauti wenye uelewa wa haya mambo naomba kutambua mikopo kwa wakulima itolewayo pamoja na vigezo na masharti yake. Hapa nitaomba kujua...
4 Reactions
5 Replies
417 Views
Kwa mara nyingine tena meli kubwa ya Kontena ijulikanayo kama RHL CALLIDITAS yenye urefu wa mita 260 imeingia katika Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni mfululizo wa Bandari hiyo kuingiza meli kubwa...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
MELI KUBWA YENYE UREFU WA MITA 249 YATIA NANGA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM, IKIWA IMEBEBA MAKONTENA 4,500.... Meli ya Maersk Line. BIASHARA katika bandari ya Dar es Salaam imeanza kushika...
0 Reactions
24 Replies
14K Views
Back
Top Bottom