Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana Jamvi, nilikua nina mashaka sana na kuagiza mizigo Ali Express kwamba ntapokeaje mzigo wangu. Nikafanya majaribio nilinunua bidhaa mbili Moja ni flash ambayo ipo kama kadi ya master...
37 Reactions
217 Replies
30K Views
Hivi ni nini huwasumbua hawa wafanyabiashara wa bongo ambao pia wanajihusisha na kutuma mizigo kwa wateja wa mikoani? Kabla hujawatumia hela wanakuwa na customer care nzuri saana. Wanajibu...
2 Reactions
8 Replies
395 Views
Don’t be deceived na huyu jamaa ni TAPELI Kwa majina anaitwa Iddi Mtoro Kanyallu Aliwahi kuwa Diwani wa Kongowe, kupitia CCM (2015-2020) Na sasa anataka kugombea tena. Anawatapeli watu wengi...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanabodi kama kichwa cha habari kinavojieleza Badarini na Mipakani kuna taasisi nyingi zinazohusika katika ukaguzi wa mizigo matokeo yake ni usumbufu na kero kwa wanaoagiza mali toka nje. Taasisi...
3 Reactions
2 Replies
206 Views
Wadau, Ninataka kufungua biashara ya kusaga na kukoboa bagamoyo vijijini. Hapo kijijini kuna mashine moja tu na naona hii ni fursa. Naomba ushauri wapi naweza kununua mashine zenye ubora na pia...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Waziri Prof. Kitila Mkumbo Azindua Ofisi ya TIC Arusha na Awamu ya Pili ya Uhamasishaji Uwekezaji Kitaifa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amefungua rasmi...
0 Reactions
0 Replies
168 Views
Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) Yagawa Mitungi ya Gesi 2,000 (Kg 30) kwa Wanawake Wajasiriamali Mkoa wa Kusini, Zanzibar Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) chini ya...
1 Reactions
1 Replies
211 Views
Hua nafanya online business hasa ya electronics kama simu, computer,na laptops before nilikua nafanyia mwanza nikahamia mbeya tangu January Biashara mwanza ilikua ngumuh Sana wateja pasua...
10 Reactions
33 Replies
2K Views
Siku hizi bus zote ni 2 by 2 ukicheki gharama ya basi na abiria inayobeba inatia mashaka kuingia kwenye hii biashara. Let say bus inatoka Dar to Arusha 2#2 seat abiria 60 nauli 35,000 itachukua...
3 Reactions
26 Replies
980 Views
Fursa za Biashara zilizopo Moroni nchini Comoro Hivi karibuni nilifanya ziara ya kwenda nchini Comoro kufanya visual assessment ya fursa ziliopo kule lakini vile vile kuzungumza na...
30 Reactions
57 Replies
13K Views
1. VAT Kama robo mwaka turn over yako ni zaidi ya RMB 300,000 (TZS 100mil+) tax rate ni 1% otherwise no VAT 2. PROFIT TAX Kama profit yako ni zaidi ya RMB 3mil (TZS 1bil +) tax rate ni 25% chini...
10 Reactions
16 Replies
770 Views
Habari zenu wakuu. Hakuna sehemu zinaweza kuwa nzuri kwa wajasiriamali wanaoanza kujitafuta kama minada. Andika hapo jina la mkoa/ wilaya uliopo na siku ya mnada (minada ya wamachinga) Kama...
2 Reactions
18 Replies
610 Views
- Awaondoa raia wa kigeni kwenye Leseni ya Uchimbaji mdogo kwa kukosa mkataba wa msaada wa kiufundi - Aagiza maofisa madini nchini kufanya operesheni ya ukaguzi wa mikataba ya msaada wa kiufundi...
0 Reactions
1 Replies
201 Views
Habari wakuu; Naomba kufahamishwa kati ya wilaya Kahama na Mwanza mjini ni wapi pazuri kuwekeza Lodge ya kisasa na biashara ikasonga? Zingatia haya unaposhauri; 1. Upatikanaji wa kiwanja wenye...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana nimefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wapambanaji wenzangu! Samahani nilikuwa naomba kuuliza wapi nitapata soko la kuuza mahindi! Natoa mahindi Handeni Tanga! Nilikuwa nina mpango wa kukusanya na kuuza mara moja au mbili kwa...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu, yaani parachichi moja hapo Ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6 Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu #msaka_ajira
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Mzuka wanajamvi! Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua. Anajiona yeye ni mungumtu. Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba...
10 Reactions
46 Replies
4K Views
Bajaji mpya ya Tvs inayotumia gesi na mafuta inacost bei gani? Asante.
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Wewe kama una laki tano au milioni, na ukiona maisha ya mjini hayaeleweki, nenda shamba. Huko jifanye huna kitu. Watu wana mashamba huko hayapotei, unaweza kupewa hata bure ulisafishe na ulime...
12 Reactions
22 Replies
805 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…