Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari watu wa Dar. Kuna mgeni wangu anakuja kutokea Europe na alitaka kununa Malaria Pills zinazoitwa MALARONE. je Bei ya dawa hizi kwa Pharmacy za Dar city Center ni kiasi Gani? Mbarikiwe
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau nataka kwenda kukopa kwa hawa jamaa naomba anaowajua anijuze kuhusu riba zao, wanatoa maximum kiasi gani. pia kama wanakopesha mtu anaetaka kulima, nina kiwanja chenye hati na kipato cha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Happy Holidays Wakuu, Samsung Galaxy S3 is on sale, rangi yake ni nyeupe na ipo kwenye hali nzuri sana. The Price is 450,000 and it's not negotiable. If you want to talk business u can pm me...
1 Reactions
1 Replies
874 Views
Mimi niko Njombe kata ya Ramadhani.Naomba kujua gharama zote ninataka kuingiza umeme kwaenye nyumba ambapo nimeshafanya wiring na ipo umbali wa chini ya mita 30 toka ilipo nguzo
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Natafuta fremu maeneo ya Tabata, isiwe mbali na Tabata Relini au Tabata Mwanachi. Nina maana isiwe mbali na Barabara kuu ya Mandela. - Fremu iwe Kubwa kama zile zinazoitwa 2 in 1 - (Futi 20 kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zinapakana na Kaole Secondary na zipo mita 200 toka baharini; zina ukubwa wa sqm. 825 na bei ni Tshs 6.5 milion kila moja (unsurveyed). Pia lipo shamba Kiwangwa linafaa kwa kilimo cha nanasi bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari zenu wana JF, naamini mko vizuri na mnachakalika kikamilifu kuhakikisha mkono unaenda kinywani na kuhifadhi cha baadae. naomba kusaidiwa na wenye uzoefu/uelewa wa biashara za vitalu vya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama lilivyo tangazo. 0754734009
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wewe hebu weka kila kitu hapa hapa. Ni ngumu sana mtu kukupa hizo hela labda ni deci.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau nina 450000/= nahitaji laptop mpya TOSHIBA capacity CPU 1.70Ghz na RAM 2.0 GB system operating 32-bit. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Ipo wilayani Mufindi - Iringa. Barabara inafika mpaka kwenye miti. Ipo miti 400. Zipo size kuanzia 13 m. Kila mti ni Tsh 30,000/= Contact: 0769877495
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Natafuta mtaji wa biashara ili niweze kujiajiri.nafanya kazi ya kuuza duka na vocha za jumla pia natoa huduma za mpesa na tpesa.nimefanya kazi muda mrefu lkn sina cha maana nilichofanya kutokana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
CashFly is a unique URL shortening service that allows users to get paid whenever they share links and someone clicks. Think of it as a way to make money for doing what you normally do (sharing...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
tv toleo jipya mwaka huu inauzwa kwa Tsh.650,000/= tu. ina kingamuzi ndani yake ya kushika channel zaidi ya 100 including local channels za hapa. 0718268969
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za asubuhi.nataka nijue kitu gani kitafanyika kwenye kijiji cha 21 tanga? Je ni nyumba zinataka kujengwa?na kama ni hivyo zitakuwa zinauzwaje.naomba nielimishwe.Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear members/interprenuers, I badly need a Fan control for IST, i tried to check arround in our local markets, but unfortunatelly there was no where to be found. those who have an ideal where i...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Ndugu zangu nipo wilaya ya Mbeya vijijini,nimefungua duka dogo miezi miwili ilopita.Sasa wiki hii wamekuja watu wa Halimashauri wanakusanya pesa ya "taka ngumu" elfu ishirini,kwa kweli imeniumiza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mimi sijakataa huu mgandamizo wa haja kutoka Tanesco,lakini bado wanatukatia umeme 48 hrs hii sio fair kabisa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HABARI ZA MAJUKUMU WANAJF! Naomba kupatiwa mkopo wa kiasi tajwa hapo juu kwa ajili ya kuendeleza mradi wangu. Ningependa kuurejesha katika kila mwisho wa mwezi kwa muda wa mwaka mmoja. Tafadhali...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Back
Top Bottom