Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu napendaa kujua kama kuna mtu anayeweza kunisaidia . Je naweza kupata servises za crdb bank here in Nairobi?
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Nahitaji mashine ya kufunga mifuko ya sembe/nafaka size mbali mbali. Mwenye kujua anisaidie najua jf ntapata ufumbuzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hi
hi its my first time here.
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Kwa wazazi ambao wanao hitaji niingie nao mkataba Wa kuwachukua watoto wao anipigie tuongee kwa namna 0714064767
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mfanya biashara maarufu Mustafa Sabodo, amekua mwekezaji wa kwanza mzalendo aliyeamua kuwekeza jengo kubwa (parking)kuliko yote jijini Dar kwanza ajili ya parking pekee. Jengo hilo lipo katika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wakuu naomben mnisadie kuhusu haya maswal juu ya hiz redio za ulaya, lengo lao nin? wanapataje faida? kwa nin zipo nying afrika mashariki? nan yupo nyuma wa hizi taasis? je habar wanazotoa ni...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
SAMSUNG GALAXY PRO DOUS YOUNG(GT 5512) Bei ; 120,000 Ipo kwenye hali nzuri haina mkwaluzo..!! Kama utakuwa tayari ni PM tufanye biashara.. Text me and whatsapp.. 0785673240
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Natafuta mtaji wa biashara.natamani kufumgua biashara ili nijiajiri.aliyetayari tuwasiliane.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Just ingia kwenye hii link ambayo imebadirisha maisha ya wengi mpaka sasa na ujionee http://mediajobnet.com/?id=38148
0 Reactions
0 Replies
1K Views
P & D Twins Distributors is a company established in 2012 deals with; Designing Printing Distribution The company mission is to make your business known to...
0 Reactions
0 Replies
591 Views
Nauza mashine za stationery photocopy machine canon IR 1600,printer 2 moja canon nyingine ni HP.na Lamination machine. Kwa mawasiliano poga namba hii 0754258340
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nipo arusha natafta galaxy s3 ya kununua kwa m2 bei maelewano mradi 2 iwe kwen hali nzur km wew unauza au unaeza nielekeza pakuipata ncheki kuptia no.0752177217
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Natafuta hiace hardtop tutafutane hapa0689561347
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Wadau Heshima kwenu Mtaniwia radhi kama nitakuwa nimekosea jukwaa Kwa kuwa hapa ni JF basi tuko huru kuongea ukweli bila kumuonea mtu haya kwa lengo la kujenga ili Tanzania yetu isonge mbele...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninajitokeza kwenu wadau kutafuta mtaji wa biashara, sijaanza biashara ila ninao uzoefu wa kusimamia biashara ambapo najiamini iwapo nitapata mtaji. Nimebahatika kuwa na nyumba ya uwani jijini Dar...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
samsung led 46inch.model 46f5500 smart tv @ 2,100,000 brand new. 0718268969
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta mtaji wa biashara ili nijiajiri.mi ni msichana kwa sasa nafanya kazi ya kuuza duka,natoa huduma ya mpesa,tpesa ,vocha za jumla na pia napiga passport size.kinachonikatisha tamaa hela...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ndugu wadau,naomba ushauri wenu mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu nimejibana pesa ya mkopo na kufanikiwa kupata kiasi cha Tsh 500,000 lengo kubwa katika maisha yangu ni kujiajiri,,sitaki baada ya...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
jamani natafuta line ya tigopesa kwa anayeuza nicheki 0757222308 nisaidien
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Wandugu, upatikanaji wa spare parts za hivi vimeo ukoje hapa dsm, nimeagiza kagari kadogo kama hako cc 1500.
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Back
Top Bottom