Wadau
katika kupambana na maisha ili kupunguza msongo wa mawazo wa kutegemea mshahara mwisho wa mwezi, nilianza ufugaji wa mbuzi na sasa nina zaidi ya mbuzi 900 katika mabanda yangu hapa dar es...
gharama za kupanga chumba cha biashara ziko juu sana na zinachangi kuuwa biashara za wajasiriamali.
wenye vyumba hivo wanatake advantage ya upungufu wa vyumba kuweka kodi kubwa.
vyumba vingi...
Habari zenu wote?
Nauza nyumba yangu ambayo ipo magomeni mikumi. Nyumba ina vyumba kumi vya kulala, na sehemu kubwa ya kupumzikia, mie niliitumia kwaajili ya kupangisha watu. Bei ni shillingi mil...
Do you happen to shop anywhere where you got quality product/service? Recommend that business to a global member driven Business Directory and you will get valuable Deal Points that will enable...
Habari wadau mlio jukwaani!!
Naombeni msaada wenu kujua:
1. Aina ya sabuni zilizopo sokoni(miche,maji na dawa)
2. Sabuni zenye majina makubwa
3. Sabuni zilizo na kiwango cha TBS na BAR CODE?
wandugu naomba kuuliza bei ya mabati ya kawaida na yale magumu ya south na gharama ya kuezeka nyumba ya square meter 100 inaweza tumia mabati kiasi gani nawasilisha
Wakuu habari za leo?
Naomba kujuzwa taratibu za kufungua akaunti ya dola na kama kuna charges zozote nitakua ninakatwa. Nimejaribu kutembelea website za bank lakini sipati taarifa ninayotafuta.
samsung tv led UA46C8000XR :Only one stock is available.mill2.5
Cont: 0718268969
SOLD.
Series
Series 8
Display
Ultra Clear Panel Yes
Video
Screen Size 46" (116cm)
Resolution 1920 x 1080...
KWA WALE WATAALAM WA CLEARING AND FORWAD NAOMBA MNIAMBIE BEI YA USHURU NINAYOTAKIWA KULIPA KWA GARI YANGU HII INAWASILI WK IJAYO
PLZ NAOMBA MAJIBU YA UHAKIKA MAAN NMETOKA KWA AGENT AMENIPANIKISHA...
Bei ya gesi imepandishwa sana kiasi kwamba kwa mtumiaji inkua ngumu kununua. Maana ya kutumia gesi ni kuokoa nchi yetu Tanzania kwa kukata miti ovyo. Ili watu waweze kununua gesi badala ya mkaa.
Salam zenu wakuu.
Naitaji kupata usafiri kwa bajeti yangu ni 8m maximum.. nimepitia tradecarview nimeona Toyota paso $950,60000km 1200cc ya 2004, na Toyota IST $ 1350, 65000km. 1500cc ya 2003...
Hii tabia ya Tanesco kukata umeme na kurudisha watakavyo wao kama kwamba wanatugawia bure ni dharau sana na pia sio msingi wa kibiashara. Hivi hii tume ya ushindani na haki za mlaji haina mamlaka...
Wakuu mimi ni wakala wa azam tv, kwa atakaehitaji king'amuzi unaweza kunicontact kutumia namba 0713086602.
King'amuzi kinauzwa 147500 hapo ni dish, decoder pamoja na ufundi na malipo ya mwezi...
Is Amsterdams culture of tolerance being taken to far? First the Red light districts, next came cannabis dens and now alcoholics are being paid in beer for picking litter. News Headlines
Hi..wakubwa nauza simu ya samsung galaxy pocket bado mpya 1GB ram and internal 4GB.bei. Ni maelewano..
Kwa mawasiliano zaid 0752628466,facebook.com/youngclever,and email ni younggenius3@gmail.com...
xtreem fuel treatment ni bidhaa itengenezwayo na kampuni ya wa marekani iitwayo SYNTEK GLOBAL
Na bidhaa hii hutumika kusafisha mafuta kwenye vyombo vyote vitumiavyo petrol au diesel kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.