Heshima zenu wakubwa..
Amani ndiy jina langu,degree holdeq(Bachelor of Accounting)
Na busness plan nzuri and ipo kwa maneno japo bado sijaitype..inahítaji kiasi cha mil 2.5.Ndipo nilipokwamia...
kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina caustic soda kutoka china, ni nzuri na zinaubora .
na zimeifadhiwa kwenye ujazo wa kilo 25..
kwa anayehitaji call 0759-331-519..
karibuni sana...
Habari wanajf?
..karibuni tuendeleze gurudumu la ufugaji,
..kwa anaehitaji vifaranga vya kuku machotara wa nyama na mayai pia, wenye umri wa mwezi mmoja wakiwa tayari wamekwisha chanjwa...
Habari
Nimeamua kuuza shamba langu ,maelezo kuhusu shamba ni kama ifuatavyo.
ukubwa:hekari 30,linauzwa lote kwa pamoja na sio vipande
eneo:wami dakawa,karibu kabisa na ranch ya mzee mwinyi...
TANGAZO TANGAZO
Pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji) aina ya tvs king (rangi ya blue) inauzwa. Imetumika kwa mwaka 1, iko katika hali nzuri.
Bei ni Tsh 3,000,000.
Kwa maelezo...
Majuzi nimerudi toka south africa nikipita nchi za zambia na zimbabwe, kilichonishangaza ni thamani ya kwacha ya zambia kuwa juu kuliko rand ya south africa, je? Ni kweli zambia wana uchumi mzuri...
Kama kuna mtu anauza vifaa vya saloon ya kike nahitaji, lakini kama vina matatizo inabidi muuzaji agharamie matengenezo............mimi niko Mbeya wasiliana zaidi na no, 0712634486.Bei ni maelewano.
Natafuta tenda ya kuwapeleka watoto shule na kuwarudisha kwa WA wazazi ambao Wako busy na kazi Ni makubaliano Nina usafiri wangu Ada ya usafiri Ni makubaliano yangu na mzazi ILA WA...
As it seems our fate is doomed.
We will be joining the EA Monetary Union soon. However there is very little, if at all,information as to how the monetary union will perform.
My biggest worry is...
Nipatwa na msiba wa aunt yangu. Jana kutokana na pilika za ofisi nika amua kununua ticket online. Nikalipa kwa mpesa leo nadamka asubuhi kuelekea mwz nafika airport nikaona niprint ticket, kwenda...
Nipigie ktk 0717210880 & 0777210880
Shule ya Msingi, ipo Arusha, INA MADARASA, OFISI, FENCE na Piki piki ama boda boda T 122 CFL, ipo KIBAHA, ilinunuliwa mwezi June 2013! Maeleweno ktk bei yapo!
From NKWAME MARC in Arusha, 26th April 2011
DEPOSITS of tanzanite, a rare violet blue gemstone, only found at Mirerani in hills, Simanjiro District, Manyara Region, can last up to 100 years...
Wakuu habari zenu na poleni na miangaiko,Happy new year,wadau natafuta sehemu ya kukodisha kwa ajili ya Car wash na tyre fitting,naangaika mwezi wa pili sasa,na pia kuna sehemu zingine rent ni za...
Hi everybody,
Connect your distant premises, Have your bussines / resident places linked to one another. Share your electronic / digital data to distant places. All these get enhanced using point...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.