5 Reasons to File Your Taxes Early
You'll also likely get your money in a shorter amount of time if you file earlier than the person who files a month or two after you, according to Elaine...
Bei ni m12 imetembea km 51 elfu ni model ya Mwaka 2000 Rangi yake ni golden light Imeingia nchi mwaka 2013 ilikuja na km 45 elfu picha nitakuja weka mwenye hitaji aje PM....nitampa namba aje...
Naombeni ushauri,magari yaliyo tayari hapa nchini kwa kampuni tajwa hapo juu toka october mwaka jana na november yanaweza kuchajiwa kiasi gani port fee?
Ni na mpango wa kununua gari moja wapo...
Kwa heshima na taadhima wanajamvi naomba kuwakilisha ombi langu la kusaidiwa kupata hiyo spare (iwe Mpya au Used)
Nitashukuru zaidi kama nitapata makadirio ya bei na pakuipata.
Natanguliza shukrani
wakuu naomba mwenye kujua eneo wanalokodisha kwa kilimo cha kitunguu kwa umwagiliaji kwa kuwa nina pump ya inchi tatu na msimu utakuwa mwezi gani pia kama itawezekana nipeni gharama za kukodi na...
Nina miliki kuwanja maeneo ya kigamboni nilinunua mwaka jana sh milioni 6 ....
Kiwanja kimepimwa na kina hati ya serikali yaani ni kiwanja chenye sifa zote...
Sasa kuna mtu kajitokeza anakitaka...
Napenda kuutumia muda huu kimshukuru mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kimaliza masomo yangu katika chuo kikuu cha dar es salaam. Pia napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuendelea kunipa pumzi ya...
Kheri ya mwaka mpya kwa wana biashara wote.
Nimepata deal la second hand car tires kutoka moja ya wadau wangu wa muda mrefu. Mdau huyu anasema ana uwezo wa ku-supply haya magurudumu kwa kiasi cha...
Watu tumeamua kujiajiri katika kilimo lakini cha kuskitisha hakuna soko la uwakika. Huku songea kipindi cha mavuno serikali ilinunua mahindi kilo kwa tsh 500 kwa muda mfupi ikatangaza kuishiwa...
kichwa cha somo hapo juu chahusika.. kwa aina nyingine iwe ni toyota tu isipokuwa hizi aina ya mark II sijui na nyinginezo zinazotumika sana kama za tax (hizo hapana). bei taja bei, mwaka na...
Habari zenu wakuu,
Nategemea mnaendelea vizuri na pirikapirika za kujitafutia kipato.
Nashkuru kuifahamu jf, kwa kweli ni sehemu muafaka ya kuzidisha maarifa binafsi ya fani fulani na ya maisha...
Do you want your career or business to soar like the EAGLE in 2014?
Then join B.I.R.D.S- Business Information & Referral Development System
Ever wonder why you have worked very hard and yet very...
Not all of the travel companies do enough job to provide consumers with an inspiration to book holidays online. As online travel going more social, holidaymakers trust more their friends and...
Ndugu zangu naomba msaada tafadhari ninao kuku 180 wakisasa wa nyama wapo mjini Dar Mtaa wa Ukonga Moshi bar kwa anaehitaj bas ani PM tufanye kaz
NB: Kuku ni wazur wote na bei yake ni nzur...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.