Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana JF nimepata soko la kupeleka Frozen beef ,chicken na pork nje Naomba msaada wa yeyote anayeweaza kunisaidia picha zabidhaa hizo anitumie kwa pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wapenzi wa JamiiForum Salaam zenu! Mimi naprocess na kupaki unga safi wa sembe na dona kutoka jijini Mbeya kwa jina la MBEYA FOOD. Unga ni Mzuri sana wadau. Kwa sasa nahitaji maajent...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Tunachora ramani za majengo aina mbalimbali na kusimamia ujenzi wa nyumba yako. For more info plz call 0714155854
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari.Nafikiria kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha. Baadae nikipata pesa zaidi ntaongezea. Nafikiria pia baadae niipandishe iwe ghorofa. Ningependa kufahamu process nzima ya ujengaji wa...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
kiwanja kipo mbezi mwisho,mita 800 kutoka barabara ya zamani ya morogoro kinaukubwa wa mita 70 kwa 25,pia kuna nyumba ya vyumba viwili yaani bedroom na sittingroom na chumba kimoja cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza a/c ya nyumbani yenye nguvu ya Hp 1 kasoro aina ni super general mpya kabisa haijatumika bei ni 550000 kama unahitaji ni pm
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Habari, Samsung Galaxy S4 inauzwa iko katika hali nzuri, mpya kabisa, inauzwa kwa laki sita, 0713560 587 kwa maelezo zaidi
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Habari Viwanja vinauzwa Morogoro njia kuu ya kuelekea Dodoma, baada ya mita 100 kutoka mizani. Unaingia upende wa kulia kama mita 600. ~ Viwanja vimepimwa na ukinunua utakuwa mmliki wa...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Heshima zenu ndugu.. Kwa jina naitwa Amani.megraduate mwaka jana Bachelor of Accounting..Changamoto za maisha zimetanua mawazo yangu na kufikiria kufanya a small busness ambayo nauhakika...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi sisi watanzania lini tutajifunza ku value thamani ya mteja ? Hasa hizi bank hawa waajiriwa hua wanajisahau na kufikiri hizo pesa na kila kitu ni vya kwao na kua na nyodo,CRDB unaripoti tatizo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu wadau mimi ni mjasiriamali nifanyae shughuli za upasuaji mbao zilizo na ubora.na bei ni nafuu sana karibuni sana kwa mawasiliano zaid luwumba2013@gmail.com au utaliijackson@yahoo.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Africa means business. The past decade has seen an enormous number of mega-corporations emerge on the continent. However, a vast number of these companies are run by foreigners. For example...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Natafuta mtu wa kuniuzia maziwa ya makopo , kama vile NIDO, LACTOGEN ( No 1, 2) Nahitaji kwa bei ya jumla ambayo, nami nitauza kwa wauzaji , wenye maduka ambao watauza kwa walaji. Mwenye nayo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Nahitaji kuimport pikipiki moja toka china, mpya yenye cc150. Bei yake c&f ni Usd 800. Kwa mwenye kujua eti yaweza kuchukua ushuru kiasi gani? Naomba msaada.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi kwa wale wanaotumia gari za kimarekani aina ya ford exploler ya mwaka 1998 na hawana vipuli vyake..gari ipo haitembei lakin inakila kitu chake, unaweza kuinunua na ukaitumia kama spare...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Kampuni yetu inahusika na kufanya matangazo online. Kwa sasa LinkedIn inalipa sana because most professionals like managers, directors, MDs and CEOs ambao ndio wenye hela ya kununua bidhaa wapo...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Ndugu zangu kwa anaehitaji mahindi mimi nauza nina tani 30 nipo songea mjini. Nauza 500 kwa kilo moja. Tusaidiane kutafutiana soko.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni Script,Story writer na Actor! Nina story nyingi na nzuri ambazo zipo kwenye mfumo wa Script tayari, tatizo mtaji kama kuna mtu ana idea ya kuwekeza kwenye Film inderstry ani PM tafadhari...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Nauza samsung portable laptop , unaweza charge kwa umeme au jua(ina solar panel) , RAM 1 GB, internal hard disk 280GB, pentium M, 32 bit, imenunuliwa miezi michache quality centre , sasahivi...
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Ninahitaji mkopo wa kufanyia biashara , nina plot iliyoendelezwa msingi bweni beach na nina title deed ! Kama ni kutoka bank au watu binafsi tafadhali naomba ushauri jinsi ya kufanya !
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…