Tanzania Revenue Authority (TRA)
When government officials go to sleep at night, rogue exporters seriously embark on business ventures to escape export levy, The Guardian can report.
Most of...
Ndugu zangu wanajukwaa, kwanza nawapa pole sana kwa majukumu mengi na magumu ya kulijenga Taifa Letu, ambalo mpaka leo linaitwa Taifa changa.
Pamoja na hayo yote, tumezidi kushuhudia jinsi nchi...
Nina vifaa vya solar ambayo vinaweza kuzalisha umeme wa Watts 400 ambao unatosha kuanzisha kituo cha Biashara ya kuchaji simu, kuonyesha TV/Video, kinyozi nywele, kuchapa barua na kuingiza miziki...
Nimejaribu kufikiiri kwa hasa suala la hela kutokua na thamani
mfano sh 10000 ya sasa si ile ya enzi zake hii haina maana kua maisha yame'advance BIG noo!!!!!!
Nikiachana na hilo ntaipongeza...
Kwa kuwa tumeshajenga mazoea kwamba ikifikia xmass mnaita potential customers na kuwapa zawadi ya "madaftari" lakn mwaka huu naona kimya
My Take;
Bora tu mkaushe maana niligombana na customer...
UPDATE: 25/12/2013
Jamaa ana Nafasi mbili kwa option number 2 (500GBP), toka jana. Leo na kesho yuko mapumziko, ijumaa sjui kama bado atakuwa nazo. Kwa walioonesha interest inbox wanijulishe...
Sijui tatizo ni shule ama ni exposure ama ni kuchukulia mambo kirahisi rahisi.
Kwa mtu prideful of my race, dignity and country hili duka hata lingekuwa na nguo za watoto nzuri kiasi gani siwezi...
Wakuu mnaonaje biashara ya mterial za shule kwa hii january! Kama vile mashat ya shule madaftari,soksi na viatu, masweta? Inaweza kutoka na itahitaji kiasi gani cha majadirio ya haraka.
Msaada wakuu.
Mm nimegraduate mwaka huu nikapata pa kujishikiza,nimesave kile chochote nilichokua napata hadi nimefikia m1! Sasa nataka huu mwaka mpya nianze biashara! Nimewaza swala la pikpk naona zipo nyingi...
Ndugu zanguni naomba ushauri ninashida na tablets na nimeziona ebay bei yao nzuri sana,sasa naomba mtu anipe ushuhuda juu ya uhakika na security ya my money kama nikiwatumia, mzgo ntaupata coz...
Hi wanajamii, hope wazima!
Sasa nipeni usaidizi, mdogo wangu anataka kuanzisha bizines ya stationery ikiwemo yakutengeneza invitation cards,sasa nikamshauri kutafuta printer kubwa yenye uwezo...
Welcome to
TanzaniaPage
tradecarview is
One of the Largest Automobile Site in JAPAN.
The Import RegulationShipping Destination portsDar es salaam/ Mombasa
Age restriction10 years old from the...
The challenges of boosting Tanzania's rice productionBy Marie Keyworth Business reporter, BBC World Service, Tanzania Only commercial farmers can afford expensive equipment to help boost output...
habari wanajukwaa,ningependa kujua soko la alizeti linapatikana wapi na bei. Je, ni aina gani ya alizeti ambayo ni nzuri nyeupe ama nyeusi.
Nawasilisha.