Tanzania hii ufisadi unazidi kila kukicha,sipo hapa kupinga watu kulipa kodi,lahasha.bali jinsi mambo yanavyokwenda.mashine hizo hizo,kuna walionunua 2200000",1200000".mwaka huu wanauza 800000...
Wadau JF habari zenu.?
Napenda kutangaza kuwa kutakuwa na safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia tarehe 22 Desemba hadi 28 Desemba 2013,kupitia njia ya Machame (siku 7) hivyo kwa mtu yeyote...
Habari za muda wadau?
Nina rafiki yangu ni muajiriwa serekalini.
Kapewa 10m na babake ili ajiimarishe kiuchumi.
Hajajua mpaka sasa afanye nini kwani kapewa kwa masharti kuwa afanyi biashara au...
Ndugu wana JF,
Kwa wale wanaosoma/watakaosoma first degree au masters au PhD in Business administration/finance/marketing/accounting niauza kitabu cha research kwa bei poa ya 40,000/=...
Wakuu salamu zenu!
Mimi ni mteja wa siku nyingi CRDB natumia internet kukagua transaction za biashara zangu, mara kadhaa unaweza kuta transaction moja kwenye mtandao (online) labda...
kutokana na ripoti iliyotolewa na PricewaterhouseCoopers (PWC) hivi karibuni, waajiriwa chini Tanzania wanakatwa kodi kubwa sana ukilinganisha na nchi zote zilizomo kwenye EAC. kama hilo...
SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WAKAZI WA MWANZA
Napenda kuwafahamisha kwamba CPM Business Consultants, yenye makao makuu jijini Dar es salaam, ikishirikiana na Tuwafikie Tanzania tawi la Mwanza...
Serikali imekiri kiwango cha kodi ambacho imekuwa ikitoza kwa wafanyakazi ni kikubwa kuliko nchi zingine Afrika mashariki na hivyo imeanza kufanya mpango wa kubadilisha viwango hivyo ili viweze...
Hi wanajamii,
Kuna hawa watu wanaitwa nexus sijui commonwealth network sasa nimeshapata simu kama mara 3 hivi wananishawishi nilist kampuni yangu humo/yaani niadvertise kwao, ipo UK...eti...
kuna shamba la heka 9 lipo visiga, ni dakika 5 hadi 10 ukitembea kwa miguu kutoka barabara ya morogoro. Shamba lipo pembezoni mwa barabara inayounganisha visiga na bagamoyo. Anayetaka taarifa...
Wadau!
Kwa sasa nimerudi nyumbani TZ, baada ya kufanyakazi kwa muda mrefu nje ya nchi.....Na kwa bahati nzuri nimepata kazi katika kampuni ya utafiti wa madini kanda ya ziwa, maana mimi mwenyewe...
Ndugu wadau mimi niko mwanza wilaya ya nyamagana nina kama laki 8 nataka nianzishe miradi ya chipsi, sasa naomaba mnipe ushauri kwanza mimi nina wazo kua katika hizo laki nane nifungue vijiwe...
Habari zenu Wakuu.
Naomba kueleweshwa kama mfanyakazi wa TRA anaruhusiwa kuingia ndani ya duka la mfanyabiashara na kufanya ukaguzi wa mapato mpaka ndani ya droo ya pesa? Hii imemtokea kwa...
Habari toka ndani ya wizara ya maji zinasema hakuna ppesa za kutekeleza miradi ya maji waliyopanga kuitekeleza chini ya mpango wa BRN baadhi ya makandarasi tayari wanaonja hiyo joto ya jiwe...
ndugu zangu,mm nimuhitimu wa chuo kikuu mwaka hu nimepata kijikazi napata km lak4 hivi kwa mwezi,nataka kuongeza kipato kwa biashara ya chips,mishikaki na ugali nyama choma hapa arusha.naomba...
hellow mana JF i need a help on opening a web site, i have a busns and i want to advertise out side the country, who knows where i can get a such help if posible to whom, am an agent of hard and...
* GUIDE to running a BUSINESS like a PROFESSIONAL*
Hello,
We hereby present to you our book manual (available in English & Swahili) named above, which is a well written guide to running a business...
*CAREER SUPPORT SERVICES*
DEAR SUPER APPLICANTS,
HOW DO YOU GO ABOUT GETTING YOUR DREAM JOB?
In the last ten years in Tanzania we have been involved in staff
recruitment exercises and...
Wakuu nimestishwa sana na tozo ya tsh 12000 kwa mwezi kwa ajili ya current account gharama ambayo imepanda kwa asilimia 1200 awali ilikuwa tsh 1000 sasa nauliza haya mabenki hayana mdhibiti? Au...
Wadau,
nataka kununua moja kati ya simu hizo mbili,iphone 5s au blackberry q 10,ipi simu nzuri hasa ukizingatia utunzaji wa chaji,applications kama jf,twitter,instagram etc?
Mwenye uzoefu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.