Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naombeni ushauri wenu wapendwa, Mimi ni mama wa nyumbani nimepewa mkopo wa Tshs. 3mil nifanye biashara gani ambayo italipa fasta nirudishe hela ya watu, naombeni mawazo yenu ya kina. Nilitamani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf, mambo vp?. Jamani naomba msaada nataka kuwa wakala wa maxmalipo. Hapa nilipo jamii inahangaika namna ya kulipa huduma mbalimbali so nataka niwawekee huduma karibu.
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Msaada wanauchumi. Pamoja na rasilimali nyingi nchini, pato la wastani Rwanda ambayo ni landlocked na isiyokuwa na utajiri mkubwa wa madini linazidi pato la wastani la mtanzania kwa $200 kwa...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Habari zenu Wadau, Naomba ushirikiano wenu kwa alie teyari Tuna Kampuni yetu ya Marketing yenye Directors 2 inayojihusisha na Advertising,Marketing na Promotions iliopo Sinza Kumekucha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasikitisha, chini ya mikataba ya ki-mangungo, mgodi wa Buzwagi ulioko kahama ni mkubwa sana hapa Tanzania. Mgodi unazalisha dhahab na kila siku ya alhamisi ndege hubeba dhahabu kupeleka nje...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, kwa yeyote anayefahamu bei ya samsung galaxy pocket ya dukani anisaidie kunijuza.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
It’s dream come true as Precision Air lists on DSE Michael Ngaleku Shirima, founder of Precision Air. Picture: Leonard Magomba Michael Ngaleku Shirima will...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wadau.. Nina mtaji wangu wa kama 2milion. Na nina idea ya kufanya biashara ya Duka la Dvds za movie za kibongo na za nje pamoja na Audio cds za music both kwaya na kawaida plus max malipo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Gazeti la Pan-African linalipoti kuwa kwa sasa Afrika ina mabilionea wengi zaidi ya jinsi ilivyokuwa imeripotia. Kiasi cha 55 kati ya hao wana utajiri unaokisiwa kuwa zaidi ya dola bilioni 143...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tafadhalini wakuu naomba yeyote mwenye utaalamu wa biashara hii Tanzania anipe mwongozo.nataka niijaribu kwa ujasiriamali.Kule shinyanga inatikana vp na nani ni wanunuzi wakubwa na inachukuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina wazo zuri tu la mradi. Lengo ni kuliuza kwa halmashauri za miji au majiji. Wao ndio wanaweza kulitekeleza vizuri kwa faida ya wananchi na wao wenyewe. Tatizo ni nikiwadokeza bila kujiwekea...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nilibahatika kununua shamba ekari mbili bagamoyo eneo linaitwa Fukayosi, hali yangu ya kiuchumi imekuwa ngumu kidogo!! Naomba ushauri kutoka kwenu ni jinsi gani naweza kutumia eneo hili...
0 Reactions
2 Replies
895 Views
....soma hapa! m.bbc.co.uk/news/world-middle-east-24532793
0 Reactions
0 Replies
937 Views
WASANII wa Kenya, Rwanda, Uganda na Burundi waliofika kuzuru kaburi la aliyekuwa legendary wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’, wameibua simanzi upya na kumsababisha mama wa...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Miaka 10 au zaidi nyuma, pale mtaani kwetu Fundikira, Magomeni Makuti jijini Dar es Salaam, ninapoishi alihamia jamaa mmoja akiitwa Kimaro akitokea Moshi, mkoani Kilimanjaro. Wakati anahamia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu tujifunze kuchukua fursa zilizopo.Mfano mzuri ni Patrick Ngowi the under 30 Tanzanian billionare.Aliona fursa juu ya renewable energy,ambayo hata united nations na mataifa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
"Huwezi kusema kufanya kazi kila siku watahitaji kuongezewa fedha, hapana kwani wanalipwa fedha nyingi. Nitaendelea kufanya mawasiliano nao kuona ni jinsi gani suala hili tunaweza kulimaliza."...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi ktk uchumi wake kukuwa na kuwa nchi tajiri katika Afrika ,elezea tatizo kubwa linalotukabili tukawa hatuendelei?
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Oct 12th 2013 A busy street in Dar es Salaam. The Kigamboni city project is expected to decongest Dar. Photo/FILE By RAY NALUYAGA, The EastAfrican Posted Saturday, October 12 2013 at...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
The World Bank’s Board of Executive Directors today approved US$340 million for the Regional Rusumo Falls Hydroelectric Project which aims to benefit people in Tanzania, Burundi and Rwanda...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Back
Top Bottom