Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu hususa wale walio bahatika kuleta mafriji yaliotumika toka nje ushuru wake uko vipi.Najaka kujaribu kuleta 20 feet container .
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wandugu, me mwanamke mjasiriamali nipo dodoma huku na biashara zangu. Kuna jambo nimekwama kdgo ndugu zangu naomba mtu aniazme laki3 dhamana yangu cm ya galaxy Ace . Unanipa pesa hyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kupitia taarifa ya Habari ITV saa 2, taarifa imesema katika utafiti uliofanyika na benki ya dunia katika nchi 100 Rwanda imekuwa nchi ya 7 kati ya 100 ambayo uchumi wake unakuwa kwa kasi kila...
2 Reactions
133 Replies
12K Views
Wadau wanauliza kama kuna uwezekano wa kupata gari used ya kubebea mizigo ya kununua kwa njia ya instalment (malipo kidogo dogo) kwa hapa Tanzania Naitajia naombeni msaada wenu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale wadau ambao mmeshawahi kutumia hizi gari tafadhali naomba technical advice and approach between these 8 pieces hapa. Kindly advise tafadhali which one I should take. First image is Suzuku...
4 Reactions
68 Replies
16K Views
The Government is seeking separate consultants for two multi-billion shilling infrastructure projects to be implemented under Public Private Partnership framework. In newspaper notices yesterday...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maana ya huu msemo ni kuwa wakati unaposhindwa kumuamini mtu kuna taratibu za kufuata ili uweze kufanya biashara nae na mtu wa namna hiyo na si kumkimbia maana inawezekana Yule unamkwepa ndio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu naomba kuelimishwa hivi Zanzibar inaweza kuwa na waziri wake wa fedha? Source:Michuzi blog
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iwe na vyumba vitatu vya kulala na kimoja wapo kiwe ni masterbedroom, jiko + stoo, living & dinning room na choo/bafu la public. Naomba msaada wa kuchanganua gharama ya kuijenga nyumba kama...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Naomba msaada wa kufahamishwa jinsi ya kupata nyumba national house hatua gani zinahitajika kupita mpaka ukabiziwe? nipo dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu, Kila nikipita eneo la Mchikichini na kuona hali ya jengo la Machinga complex napata shida sana kuamini. Ukiondoa siasa, ni kweli lile jengo lina-generate pesa kufidia investment...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Nimepokea pesa toka kwa mdau mwenzangu aliyepo ughaibuni (CANADA). Tatizo ni jinsi ya kuitoa hiyo pesa maana haijapitia Mpesa, wala Western Union, na sms iliyoingia kunijurisha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, Hii Bank yetu tunayojivunia kuwa inafanyabkazi vizuri naona sasa imeanza kuwa na tabia za kizamani. Nimeingia Bank saa 7 mchana kwa nia ya kupata huduma ya fasta na kutoka lakini hivi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina biashara na leseni ya biashara.Pia ni mlipa kodi TRA.Nataka kutoa huduma kwa mashine za maxi malipo natakiwa kufanya nini? Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana Habari za asubuhi? Natumai wote hamjambo. Kuna kampuni ninataka kufanya nayo biashara. Wanaonekana kuwa "genuine" lakini nimefanya utafiti juu yao kwenye Google jana. Kampuni inaitwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kununua king'amuzi,mwenye ufahamu kuhusu kipi ni safi,,,,na bei ake anijuze. Onyo: Sio cha dstv,,,,ni kati ya startimes , zuku , continental na ................
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana jamii hii imekaaje ================= 2 Sep 2013 Africa's vast, under-exploited mineral wealth is attracting a surge in interest, with more than 2000 delegates attending the Africa Down...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii hasa jukwaa hili. Ninahitaji ushauri toka kwenu juu ya ujenzi hapa Dar es salaam. Nyumba ya vyumba vitatu seating rum, jiko, public toilet na katika vyumba vitatu kimoja kiwe...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hello JF members I salute! I,ve been seeing a lot of adverts here at JF platform from real properties to personal properties like cars e.t.c, e.t.c The recent one is from the New JF member...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
How “Development” Banks are Using PPP To Carve up the Arab Spring Countries A new report takes a critical look at the engagement of European development banks in Egypt after the popular...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…