Habari wana JF,
Tuna program tunayoifanya ambayo tungependa kutembelea na kuzungumza na SACCOS juu ya changamoto wanazopambana nazo kiteknolojia.
Naomba wadau mnisaidie list ya SACCOS ambazo...
Habari Wakuu,
Naomba msaada kwa mtu yoyote mwenye information za wapi naweza kupata mashine za kutengeneza toothpics, nahitaji kujua pia zipo za aina gani, ubora na bei pia.
Nafikiria kufanya...
Habari zenu wakuu. nimejitokeza kwenu kwa nia ya kutaka kujua jinsi gan ya kutambua aina ya biashara ya kuifanya ambayo itatoka kulingana na eneo, yan utajuaje kwamba biashara mfano ya vipodoz...
Symbion Power Agrees to Build 400MW Power Plant in Tanzania
2013-02-13 | By David Malingha Doy
Feb. 13 (Bloomberg) -- U.S.-based co. reached agreement with Tanzania Electric Supply Co. to...
Yeyote mwenye hitaji ya kuanzisha biashara ya saloon ya kike anitafute kwa # 0655042717 ama #0756597108 nimuuzie vifaa hivi,draya si za mchina,zimetumika lakin on good condition,bei nzuri kwa...
Wakuu heshima kwenu
Natumaini hamjambo.
Wakuu mimi ninauelewa na masuala ya kilimo, na mazingira, na pia kwenye kampuni ninayofanya kazi nimeweza kujijengea uwezo mkubwa wa kundika proposal za...
Some Dar es Salaam city house owners have expressed disappointment over the newly introduced property tax rates which have gone by over 100 per cent effective 2013/14 financial year, The Guardian...
​Nimeagiza gari aina ya PASSO ya mwaka 2004 kwa gharama ya $2170.
Je, nitalipa shipping line na port charges kiasi gani?
C&F agent anataka tsh 200000/= kulitoa
Naomba wazoefu mnijibu.
Kichwa kimeanza kuchoka, ebu niwaze Taifa...
1. Taifa ambalo binti zake wakimwona Mzungu wanadhani ana ela.
2. Taifa ambalo ukiongea kiingereza unaonekana umesoma.
3. Taifa ambalo bank...
Mambo zenu wadau?
Naombeni kufahamu kiundani jinsimradi wa zinduka malaria ulivyokuwa kwa upande wa Clouds.
Ni kampeni endelevu au iliisha ndani ya muda mfupi?
Kuna NGO au taasisi yoyote kubwa...
Napenda kutoa taarifa kwamba kama mtu unataka kusafiri sasaivi usitumie huu usafiri wa precicion maana toka saa tano asubui paka sasaivi saa 10 jioni wanatutangazia kuchelewa na hawatoi huduma...
Wakuu wana JF,
Nasikitika kuwataarifu kuwa TBL wamepandisha bei ya bia kwenye maeneo yetu kabla hata ya siku iliyopangwa kwa madai kuwa serikali imepandisha kodi.
Hivi sasa bei ya kreti ya bia...
Heshima kwenu GTs,
nahitaji mchango wa mawazo yenu hasa kwa wazoefu wa biashara na ujasiliamali.
ninayo tsh 20,000,000. sitaki kuajiliwa kwa sababu nimeshaajiliwa for 5 years toka nlipomaliza...
Habari za kazi ndugu wana JF.
Nimejaribu kufuga kuku wa kienyeji na machotara huko vijijini sehemu za tanga, kwa majaribio hayo nime anza na wachache sana kama 250 wa umri tofauti, sasa wamesha...
Tangu Juni 13, mwaka huu, Waziri wa Fedha, Dk. Willim Mgimwa, alipowasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2013/14 ambayo aliomba bunge kupitisha Sh. trilioni 18.249 kutoka kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.