Hizi ni miongoni mwa kero za TRA iringa.
unakwenda katika ofisi husika kwaajili ya huduma fulani.
unapewa account ukalipie bank, unarudi na risiti ya bank kuonyesha umeshalipia, lakini chaajabu...
FURSA KWA MTANZANIA TO MAKE EXTRA MONEY
I introduce to you
XFTXtreme fuel treatment:This is a Revolutionary Comprehensive fuel treatment which has been successfully used for over 20years in...
habari wakuu,naomba msaada wa kupata mtu raia wa UK anayeishi au kufanya kazi hapa dar,Tz..au mtu yeyote anayemjua raia wa UK aniunganishie.kwa yeyote atayenipa msaada naomba anipm tuwasiliane...
Wana JF mimi ni mwanafunzi natarajia kuhitimu elimu yangu ya sekondari mwaka huu.Ninaomba ushauri wenu wa kufanya biashara gani kipindi nikiwa nyumbani kuliko kukaa tu bila lolote....ninakamtaji...
Tunahitaji serious business partners kwa mkoa wa mwanza ambao tutafanya nao biashara (intellectual distridution). Kwa yule anayetaka anaweza kuwasiliana nasi na tukakutana kumuonesha marketing...
Umofia kwenu wana JF,
Leo ndio kilele cha siku ya maonyesho ya saba katika uwanja wa Mwalimu Nyerere Trade Fair bara bara ya kilwa
Tujumuikeni wote kwenda kusupport wafanyabiashara...
Nipo eneo la tukio hali ni mbaya sanaaa....
~Kuna msongamano mkubwa sanaa barabara ya tandale magari yote yanakimbilia huko na kigogo...
~barabara imefungwa kabisa ya manzese (morogoro road)...
Hi all,
Nataka kuanza kusindika nafaka, hasa Mahindi, pia ninunue na kuhifadhi nafaka mbali mbali.Mpunga sitashughulika nao.
Nimetafiti na kupeleleza nikaambiwa hata ghara la kuhifadhia lazima...
Mfumo wa Riba umekuwepo kwa miongo kadhaa sasa, mfumo huu ukiashiria kukamilisha kile kisemwacho kua mwenye nacho ataongezewa na asiye nacho, hata kile kidogo alicho nacho kitakwapuliwa.
Riba...
Nilihitaji kuingia ktk website ya CRDB internet banking, cha kushangaza vinafunguka vitu vingine kabisa na wala huduma za kibenki sikuweza kuzipata. Kuna usalama kweli, au wataalamu...
Tarehe 1 July 2011 TRA wanaplan kuintroduce system yao mpya kwa ajili ya valuation ya used motorvehicles...
Mfumo mpya utakuwa kama ifuatavyo...Used vehicles zitakuwa valued on either ex-factory...
Katika ziara ya Rais wa Marekani , Mh. OBAMA miongoni mwa ratiba zake ilikuwa ni kuonana na wafanyabiashara mbali mbali wa kiafrika. Na hakika alifanikiwa kuonana nao wakiwemo baadhi ya wafanya...
SERIKALI imeweka wazi miradi ya umeme ya kipaumbele, itakayotoa matokeo ya haraka ifikapo 2015/2016, na kunufaisha wananchi katika mikoa 13 nchini.
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter...
Habari zenu wanajmiiforum pole na pilika za maisha mimi niko Dar nina shamba la heka mbili chanika ninaomba mnishauri ni wapi naweza kupata mkopo wa sh 6m kwa ajili ya kufuga kuku wa kienyeji kwa...
Katika pitapita zangu nimekutana na mchezo mmoja wa kamari ya karata ambao huchezwa mtaani....lakini cha kushangaza ni kuwa pamoja na kupigwa marufuku mchezo huu unaendelea. Kitu kingine...
Wandugu narudi Tz, nije na Biashara ya bidhaa zipi zenye Soko la Uhakika Dar au Zanzibar
nina mtaji usiozidi Euro 100,000 (Tzs 200,000,000)
Je ni badhaa gani nitauza au zinahitajika toka nchi Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.