A gas bonanza brings hopes of wealth
THOUSANDS of tonnes of drill pipes are neatly stacked in a yard at Mtwara port in southern Tanzania, waiting to be loaded onto vessels supplying gas rigs...
Don't waste your time talking politics. See how a Tanzanian poor boy became a millionaire just by buying and selling accidented cars, Very interesting idea. Go to (ACCIDENTEDCARS.COM) to see...
Habari wakuu
Nataka kuagiza roofing tiles china kwa ajili ya roofing nimepata supplier ila ameniambia nimpe specifications zote ili aweze kuniuzia roofing tiles kutokana na quality ninayotaka...
Wadau, naamini wote tunaelewa jinsi nchi yetu ilivyogeuka kuwa dampo la bidhaa feki...kuanzia dawa, vyakula, bidhaa za kilimo, elektroniki, umeme, ujenzi n.k n.k. Kila mara bidhaa feki...
Habari wanajamii. Naomba kujuzwa bei ya nondo hapa Dar ni shilingi ngapi? Ninataka kutengeneza fremu za madirisha nyumba iko Bunju. Je, ni nondo za saizi gani zitanifaa na bei yake? Wapi nitapata...
Nina uza mbao aina ya pine ambazo ni untreated aina nilizonazo ni,2x6x12ft@9000/=,2x4x12ft@7000/=,pamoja na 1x8x12ft@9000/=,napatikana ubungo riverside,pia vipimo vyote vinafanyika kiuhalali kwa...
ICT is rural area poverty eradication venue, says Gharib Bilal
BY DAVID KISANGA
23rd May 2013
Vice President, Mohammed Gharib Bilal
The government has reaffirmed its...
Don't waste your time talking politics. See how a Tanzanian poor woman who became a millionaire just by buying and selling accidented cars, Very interesting idea. Go to (ACCIDENTEDCARS.COM)...
​serikali yetu inaruhusu kucha bandia, nywele bandia, tooth pick, midoli ya bunduki, magari kuukuu, kuingizwa nchini kwa kutumia pesa kidogo za kigeni zinazopatikana kwa kuuza pamba nje. Na...
Wadau naombeni msaada nafikiria kuanzisha agrovet amboni tanga kuna wakulima wa mboga na wafugaji wa ng'ombe naombeni mchanganuo wa mtaji na essential vibali ambavyo lazma niwe navyo mwenye idea...
Wanajamvi nategemea wazima!
Nina mdogo wangu kapata mil.15, kwa vile ni msichana mdogo ameniomba ushauri wa biashara ya kufanya, kwa kweli nimemshauri afix pesa yake kwa muda wa miezi sita wakati...
Habari zenu wakuu,
Kama ilivyo kwenye kichwa cha habari hapo juu. Mimi niko tayari kununua biashara yako/ ya mtu yeyote. Iwe yenye vigezo vifuatavyo.
1. Iwe na uwezo wa kutengeneza a net profit...
gari impya, imetoka japan
imetoka bandarini 21/5/13
1200cc,
imelipiwa kodi zote na usajili
bei 7.6m
inapatikana morogoro
call 0655 752814 or 0755 752814
kwamuda mrefu saana,
kuna magazeti ya kenya ambayo wanahisa nyingi saana kwenye mwnanchi Communication
yamekuwa na TABIA ya kutubeza kwa kija lambo tunalofanya.....na kikubwa zaidi kila jambo...
KWA UFUPI
Fedha hizo ni sawa na asilimia saba ya pato la taifa, kitu ambacho kinawaathiri wanunuzi, wafanyabiashara na wakala mbalimbali wa Serikali
Dar es Salaam. Bandari ya Dar es Salaam...
Wasiliana nami kwa inbox wanatakiwa wadada wawili.watakuwa wanafanya kazi kuanzia saa mbili mpaka kumi nambili jion.mshahara na huduma zingine zitegemeana na mapatano.
Sifa
1.uwezo wa kutumia...
Dar es Salaam. Bandari ya Dar es Salaam imekuwa ikilikosesha taifa Dola 1.8 bilioni za Marekani (Sh2.8 trilioni) kwa mwaka, kutokana na kukosa ubora wa biashara...
Mkuu wa Idara ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam Prof. Adolf Mkenda
Shirika la Fedha Duniani (IMF) limeishauri Tanzania kuongeza jitihada katika usimamizi mzuri wa kisera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.