Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu nina rafiki yangu anataka kununua toyota noah (family car). Amekuja kuniomba ushauri lakini na mimi ni mtupu kuhusu aina hii ya magari. Mwenye ufahamu jamani tunaomba ushauri kuhusu hizi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari yako mwana-JF? Nataka kujihusisha na ukopeshaji wa fedha kwa ngazi ya chini (yaani Tshs. 50.000-Tshs.200,000), ningependa kujua kwa ukopeshaji huu, ni utaratibu gani utumike ili nifanye...
0 Reactions
1 Replies
874 Views
TCRA YACHACHAMAA NA KUDAI KUWA ITAWASHITAKI WATANZANIA WOTE WANAOTUMIA LINE BILA KUSAJIRI Watumiaji, watoa huduma, wakala wa makampuni ya simu za mkononi na wananchi kwa ujumla wamekumbushwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KUNA msemo wa Kiingereza usemao, "Hakuna mtu mwenye tatizo la fedha, bali tatizo ni kukosa wazo litakalomuwezesha kupata fedha.." Hilo ndilo linaitwa wazo la biashara. Ni ukweli ulio bayana kuwa...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Ndugu zangu Watanzania Naomba msaada wa kujua vyama vya wachimbaji madini wadogo wadogo (Association of small scale mines), hata kama hujui vyama vyao ila kama kuna eneo lenye wachimbaji wadogo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, kwa yeyote anayemjua mtu yeyote anayeuza lani ya tigopesa tafadhali naomba mnijuze ili ninunue
0 Reactions
6 Replies
1K Views
karibuni sana Malaika Media Namanga- Tranic Plaza (behind Best Bites) same complex na nyumbani lounge 0714 021 078 for all you graphic and nimation works, Television and Radio Adverts...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Salaam Kwanza kabisa napenda kutanguliza pongezi kwa jukwaa hili kwani limekuwa likitoa chachu kwa wawekezaji, wajasiliamali, na wafanyabiashara leo nina mada ambayo nimeona sio haba...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu! Hivi ni wapi naweza kupata bodaboda nzuri na kwa bei rahisi hapa Dar? mwenye taarifa anijuze pls. nataka kununua wiki hii. nataka kuwekeza kidogo kwenye nyanja hiyo. asanten.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu wasalaam, Ktk majukwaa hapa JF yanayojenga na kufundisha hili ni moja wapo kama sio linaloongoza. Big up all Business & Economic forum members. Sasa nirudi ktk mada, mimi ni kijana wa miaka...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajamvii... Natafuta kampuni ya kununua, kampuni ya clearing and forwarding. Naomba mwenye msaada wowote ani PM Asante
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wakuu naomba kujulishwa income ya 1000000 kodi yake ni kiasi gani...?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hello! nahitaj kujua minimum salary scale for private companies especially in industries sector in Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tuliwahi kupost habari ya hii kampuni kuja mjini Arusha na kufanya kazi kama DESI. Chanzo cha habari toka maeneo ya Kijenge makao makuu ya hii kampuni ni kwamba inadaiwa na zaidi ya wateja wake...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The Most Successful Leaders Do 15 Things Automatically, Every Day -A +A By Glenn Llopis | Forbes – Sun, Apr 14, 2013 4:52 PM EDT Email Recommend 2.7k Tweet 442 Share...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
World Economic Forum Hits Tanzania on Corruption Corruption remains a major concern for foreign companies and investors in Tanzania, the now famous World Economic Forum Global...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Hapa Tanzania mnada umekua ukifanyika pale mtu anapo shindwa kulipa deni. Kawaida kila mtu anakitu ambacho angependa akiuze kwasababu moja au nyingine. Inaweza ikawa simu, laptop au kitu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta watoto wa nguruwe wakununua ila mbegu nzuri .
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi wanajamvi, mi kuna kitu huwa kinanisumbua kwenye huu ujarisiamali, yaani utakuta mtu anakuomba quotation lakini hakupi kazi, najua sometimez unaweza ukawa higher/yani bidder wa juu kibei nk...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JAMANI, HIVI bar-code ina faida gani kwenye products yako...if one can analyse them. wameanda kutoa pale SIDO, kwa tz.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…