Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu!Tangu tumeamka vodacom hawapo hewani.Mbaya zaidi nashindwa kumtumia mfanyibiashara mwenzangu M-Pesa.Inatokea sana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
poleni kwa kazi ninaomba kwa anaeweza kunichanganulia garama halisi za gari aina ya Toyota hilux double cabin sports,hadi lifike dar es salaam bandarini mapato ya TRA yatagarimu kiasi gani...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Baada ya kufanyiwa kazi fulani na kukamilika nilipatiwa namba na wafanyakazi hao ili nimtumie bosi wao malipo kwa njia ya M-pesa, kwa bahati mbali walinipatia namba ya mtu mwingine kwa makosa na...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Ndugu wadau, Mikopo yenye riba kubwa inawatesa watanzania hasa watumishiwa umma.Hapa singida kuna taasisi za fedha zinakopesha wafanyakazi unakopa tsh.1 milion,unalipa zaidi ya tsh.3.5...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu wangu. Wakuu naombeni maoni yenu. Kwa mfano mtu una pesa ambazo utahitaji kuzifanyia jambo fulani miaka mitano ijayo. Kwa kawaida watu huifadhi pesa bank ila nimefikiria...
3 Reactions
44 Replies
16K Views
Wakuu nilikwenda Tigo pesa mlimani ciy kuomba uwakala wakaniambia hawataki mawakala wapya. Waliopo wanatosha.Nikaenda Vada kuomba m pesa wakaniambia acha leseni na TIN tutakupigia kwa muda wetu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
As the government gets busier allaying public fears over the rising national debt, facts and the general situation on the ground may paint a different picture. It may be recalled that for the past...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
Nahitaji CivilCAD 2012 software. Yeyote anayeweza kuniuzia aniambie. Mimi ninayo ila ni Trial Version. Kama kuna software engineer anayeweza kuifanyia cracking ajitokeze ili tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Wadau naomba mnipe mawasiliano ya mtu anayeuza filter za kusafishia maji ya kisima yenye chumvi pamoja na wireless router za cmu ni mhm n nmeona jamiiforums ndo duka pekee ambalo najua...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani wadau, Naomba kuuliza biashara ya vinyago kwa wale wenye ufahamu. Jinsi inavyofanyika na faida yake ilivyo. Nitashukuru
1 Reactions
6 Replies
8K Views
TCRA Executive Director, Prof John Nkoma Addressing a news conference in Dar es Salaam, the Director General of Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA), Prof John Nkoma, said tax...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
wakuu salama??Nimefungua workshop yangu kwa ajili ya kutengeneza na kufitisha madirisha ya aluminium kwenye nyumba,ni mjasiriamali mdog,naomba sapoti yenu,tuko tayari kuja eneo lako la ujenzi na...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu huwa nasikia kuna kampuni ziko Bongo huwa zina import mzigo kwa niaba ya mtu/mteja, mwenye detail za hizo kampuni au Contact zao naomba anisadie ninazihitaji
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Source: U.S. Bureau of Labor Statistics December payroll employment rises (+155,000); unemployment rate unchanged (7.8%) .... Establishment Survey Data Total nonfarm payroll employment...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
nyumba nzuri na ya kisasa inakodishwa,ipo maeneo ya mbezi hapa goigi. ina ac mbili na security system na ni rahisi kufaki kwa gari.kwenda kwa gari hadi kwenye nyumba ni dk 3 kwenda kwa miguu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imepunguaza bei ya mafuta kuanzia leo katika mikoa yote nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ewura, bei ya petroli imepungua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Vipo vichache sana km upo tayari nione sasa.......ni vya star times utauziwa kwa bei ya kimtaa,cyo vya wizi vipo ktk hali nzuri
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF naomba ushauri kuhusu biashara. Nina mtaji kama milioni moja nahitaji kufanya biashara yoyote ambayo itaniongezea kipato zaidi. Je ni biashara gani naweza kufanya na ikanilipa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf, Napenda kuwatangazia kua nauza laptop aina ya Sony,model VPCEH1AFX Processor Intel Pentium B940 / 2.0 GHz ( Dual-Core ) Memory 4.0 GB Hard Drive 500.0 GB - Serial ATA-300...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
REHABILITATION OF ARUSHA – MINJINGU ROAD PROJECT TAKES OFF The contract of the Arusha – Minjingu Road Project (98 km) was signed between Tanzania National Roads Agency (TANROADS) on behalf of...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom