Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello, I would like to know if our musicians/artists are aware of sales of their work "Bongo flavour mp3" on Amazon. If yes, can they track the sales volume?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa TBC Mwakyembe amefanya ziara ya ghafla TRL na TAZaRA inaonekana kwa TRL wako on schedule ili treni ianze kazi effective october ila TAZARA kwanza vijana hata posho hawawapi alafu as...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji kuanza kufanya hiyo biashara ila kuna mtu kanipa story za juu juu kwamba voda wamesitisha kusajili mawakala wapya,mwenye taarifa zaidi naomba anijuze tafadhali
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Southern Agricultural Growth Corridor of TanzaniaThe Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania (SAGCOT) is an inclusive, multi-stakeholder partnership to rapidly develop the region’s...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Hii namba inaniibia fedha yangu katika acount ya simu ya Vodacom..sasa nimechoka voda wenyewe nahisi wanashiriki..nikiwapigia voda nawaeleza kuwa no.15556 inanitumia msg za Olimpiki wakati mi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kidato cha pili. Ninayamudu karibu masomo yote. Mwaka kesho nitalazimika kuyaacha masomo ya biashara au ya sayansi. Ninategemea kuhitimu chuo kikuu mwaka 2021, ninaomba ushauri...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
In recent days i have been following the trend of media regarding entrepreneurship, it seems we have changed the swahili name mfanyabiashara to Mjasiliamali. The way i think an entrepreneur is...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Hii benki kwenye mid 90s ilikuja kwa kasi sana. Baada ya muda si mrefu tukaanza kusikia imeanza kusambaratika. Hatima yake sijui iliishia vipi. Nani anaikumbuka hii benki? Au wengi wenu humu...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Raymond Kaminyoge RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa Wachina kuja nchini kuwekeza katika kilimo kwa kuwa Tanzania imebahatika kuwa na ardhi yenye rutuba.Alisema sekta binafsi ina mchango mkubwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tigo has engaged in a network expansion program to increase its coverage of the population and to enhance its customers’ experience of the Tigo service. As part of its strategy, Tigo is planning...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
wakuu habarini za kazi,,, naomba kama kuna mtu anaweza kunikopesha 3mil tuwasiliane nataka niazishe biashara ndogo dhamana nitaweka,,,,
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Soma hotuba ya kambi ya upinzani hapa ujionee maajabu ya Tanzania; kwa wanaojua mahesabu wanaweza kufanya na kuonyesha hizo ni sawa na kuku ngapi ili kupata tani 100. 4.0 Vibali vya Uagizaji wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimevutiwa na jinsi Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda ilivyojipanga kwa maonesho ya Nane nane hasa kwa kuwa na mfumo wenye kuwezesha mnyororo wa thamani (value chain) kwenye kilimo. Japo ipo mbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bado wanautapeli wa kizamani sana. El Hadi Karim Bill and Exchange Manager Foreign Remittance Dept Bank of Africa Attention I sourced your email from a human resource profile database in the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dhumuni kubwa la Maonesho ya nane nane kwa kadri miaka inavyozidi kusonga mbele ndivyo yanavyozidi kupoteza uhalisia wake. Maonesho haya kwa siku nyingi yamekuwa yakijulikana kama maonesho ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bahati mbaya sana, kwetu hakuna uwanja wa ndege; na hata kama ungekuwepo sijui kama ningeweza kumudu usafiri. Na ningemudu kusafiri naamini bado ningepata shida zilezile za Air Tanzania na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WAKUU HIVI MNAJUA SASA HIVI UKIENDA KU RENEW ROAD LICENCE NI LAZIMA ULIPIE NA FIRE STIKA? HATAKAMA HAIJAISHA NI LAZIMA, NA KAMA UMECHELEWA KULIPIA ROAD LICENCE UNACHAJIWA PENALT YA FIRE WAKATI...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuna mpangaji wangu wa nyumba nataka kutokuendelea nae na mkataba. Kwa mujibu wa mkataba wetu tunalipana kwa miezi sita sita na pia kuna room ya kuongeza kodi baada ya kujadiliana nae. Mwezi huu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ni zipi sababu za msingi zinazoifanya serikali iendelee kuwalea wachakachaji wa pembejeo za kilimo? Mchakachuaji wa pembejeo za kilimo kwangu mimi ni mhujumu uchumi namba moja na anastahili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yes...he turned a $26,000 worth business into a $3 billion empire in a matter of a few years... Read this and pick up the best piece of inspiration you can find for business starters and...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Back
Top Bottom