Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Pamela Chilongola BENKI ya Dunia (WB) imetoa mkopo wa Sh41 bilioni kwa ujenzi wa miundombinu Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam. Fedha hizo ni sehemu ya Sh150 bilioni ambazo ziliombwa na...
0 Reactions
2 Replies
39K Views
Wapi nitapta Exchange rate nzuri Tsh to Pound. Nadani ya Dar
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima zenu wakuu,,, Mimi nimeomba mkopo wa 3ML nikiwa serious na nia dhati kabisa (bado nauhitaji lakn), Pia nkasema kwa yeyote anayehitaji machine ya aina yeyote ile anitafute lakn watu hawako...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeajiriwa,take home yangu ni above 800,000.Mwajiri wangu hatoi barua ya mkopo na ameingia katika makubaliano maalum na Bank moja hapa nchini mishahara yote hulipwa kwa kutumia hiyo bank...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Florence Majani UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya kifedha ya Finscope, umebaini kuwa, asilimia 21 tu ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake ndiyo wenye elimu ya usimamizi wa fedha...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Batamzinga wakubwa kwa wadogo wanapatikana arusha kwa bei nafuu wakubwa kwa wadogo number yangu ni 0757662401
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sheria mpya iliyopitishwa wakati wa bajeti ya Wizara ya Fedha, serikali ilibadilisha mfumo wa ulipaji kodi kwa magari chakavu yanayoagizwa nje ya nchi. Ili kuwa sambamba na East Africa Community...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Mojawapo ya sababu inayofanya fedha kuwa bora ni pamoja na uthabiti wake (Durability). Kati ya vitu vinavyonikera sana ni uthabiti wa noti mpya wa fedha yetu. hata mtoto mdogo ukimuonyesha noti za...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta mkopo mdogo tu wa laki sita kuna kitu cha kufanya haraka haraka.Nani ataniazima ndugu zangu?Dhamana zipo za kutosha.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Salehe Mohamed LEO ninapenda kutoa ushauri wa bure kwa walimu wote hapa nchini hasa wale walioamua kugoma...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu Nimeona matangazo mengi (mfano makampuni ya simu au benki) katika tovuti na blogu nyingi. Ningependa mnijuze wana JF ninapaswa nitimize vigezo gani ili kuyavutia makampuni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu WADAU: WADAU kimsingi tunajifunza kutokana na kusikia hasa pale tunapouliza. Kuna hili jibu ambalo kila mfanyabiashara akiulizwa analitoa-Popote pale:-luninga,ktk biashara...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi ni mtumishi wa Wakala wa Serikali,Mshahara wangu kwa mwezi ni 2M ++ Mwajiri hakubaliani na dhana ya kuingia mkataba na Benki ili watumishi tukopeshwe.Sina colletaral zaidi ya...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
wakuu habarini za kazi,,, naomba kama kuna mtu anaweza kunikopesha 3mil tuwasiliane nataka niazishe biashara ndogo dhamana nitaweka,,,,
0 Reactions
0 Replies
859 Views
wakuu mimi naomba kwa yeyote mtu anayeweza kunikopesha 3mil tuwasiliane nataka niazishe biashara ndogo dhamana nitaweka,,,,
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Jamani naomba kuuliza kama gari kama Toyota corona Premior au Verossa yenye injini ya D4 kama ina matatizo katika uendeshaji. nataka nijue kama iko safi kwa matumizi.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
i think we need participative education rather than qualification education in order to sort present challenges.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallo wana jf mi nipo rock city ila tuna nyumba mitaa ya sinza na kuna apartment nataka kuimalizia itakuwa inajitegemea one bedroom,sitin rum toilet,full vigae chini na grill sasa nilitaka kujua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wana Jf mm ni dialer ninayejiusisha na kuuza magari. Kwa anaye itaji gari anaweza kunicheki kwenye 0716-369299
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Inakuwaje hii kampuni imetutoza hela then inashindwa kutoa huduma ya malipo tuliyowapa!? Sasaivi huduma hii haipo hewani na hakuna taarifa zozote inakuaje
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom