Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wanajamvi, Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku Chunya, Mbeya. Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40...
25 Reactions
334 Replies
16K Views
Mbunge wa Momba Condesster Sichalwe ameishauri Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na Wizara ya Uchukuzi waone namna ya kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ili kujenga barabara...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Naomba kujua bei kuu ya kilo moja ya samaki aina ya sato wa ziwa victoria, bei yake kwa Dar es Salaam na Dodoma ni shilingi ngapi kwa kilo moja?
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamii Forum : Biashara 📊 Fahamu Elimu ya Usimamizi wa Biashara Itakuwa ni course ya Mchongo darasa lake ni hapa hapa Jamii Forum..... Tutaiita MBA ya Mchongo. Masters of Business...
0 Reactions
0 Replies
477 Views
Habari ya wakati huu wakuu. Nimerudi tena ili tuweze kukumbushana baadhi ya mambo ambayo ni muhimu katika uendeshaji wa kampuni zetu Kufikia leo tarehe 4 mei tumebakiwa na takribani siku 57...
1 Reactions
6 Replies
515 Views
Habari zenu wanajamvi! Nahitaji msaada wa kuandika mpango wa biashara. Kwa sasa sina pesa ya kulipia. Nitakuwa vizuri kifedha mwezi July. Nimeandika kwa 90%, mpango mzima. Mpango wangu wa...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Naomba kujua utaratibu wa kuendesha ofisi ya welding na seremala kama boss si fundi wa hizo fani,jinsi ya kuwalipa welders na mafund wengne. (NB mashine na vifaa vingne vyote vya boss)
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Wakuu salaam, Hakika hii itabakia katika kumbukumbu zangu,nimejalibu kufupisha tiririka nayo. Katika harakati zangu za kazi nilifanikiwa kupata dili flani niliingiza pesa yakutosha nilimtembelea...
68 Reactions
180 Replies
36K Views
LEO BUNGENI - Wizara ya Viwanda na Biashara Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ameongelea bidhaa zinazozalishwa Mkoani Mara, na umuhimu wa ujenzi wa viwanda zaidi ya kumi...
0 Reactions
0 Replies
255 Views
Nayashauri haya makampuni makubwa ya simu kunzisha fixed account ambazo tutakua na uwezo wakuweka pesa tu bila kutoa hata iwe mvua liwake jua kwa kipindi cha mwaka na zaidi. Mteja apewe options...
12 Reactions
16 Replies
2K Views
1: UWAKALA WA MITANDAO YA CM M-pesa Tigopesa Airtel money Halopesa 2: Duka la maziwa fresh+mtindi + juice fresh 3: Banda la chipsi + vinywaji ANGALAU KWA MWEZI NIINGIZE 300,000 TU (300,000)
16 Reactions
102 Replies
5K Views
Mwaka 2023 kama unamalengo ya kufanya jambo lako na lengo lako ni kutumia kibubu kiwe cha bati au cha mbao, njia salama ya kuhifadhi pesa bila usumbufu ni kufungua accounts zifuatazo; Tigopesa...
10 Reactions
22 Replies
5K Views
Habar wana jamii forum polen na majukumu leo nimeona nije na hii mada ngumu naomba kwa wenye uzoefu mnipe mbinu na changamoto za hii biashara Nina mpango wa kufungua kiwanda cha PET BOTTLE...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini Wana JF, Nimepata wazo la kununua nazi Jumla na KUUZA DAR. Mwenye uzoefu au kujua bei za usafiri na masoko yapoje kwa Dar naomba mawazo YENU. Mtaji laki tano
3 Reactions
6 Replies
881 Views
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura. Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa...
7 Reactions
13 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Shipping line wamepandisha bei ya kusafirisha mizigo katika kile kinachoitwa sababu zisizozuilika. Taarifa zao hizi hapa Toa maoni yako
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Natafuta mlima Wenye hii miamba yenye mawe meusi ya kung'aa.0785500609
0 Reactions
13 Replies
573 Views
Wakuu mwenye uzoefu na hii biashara atupe nondo Faida yake,mtaji na changamoto zake Location nzuri hasa kwa jiji la Mwanza na viunga vyake. Asanteni
1 Reactions
4 Replies
3K Views
MHE JULIANA MASABURI AISHAURI SERIKALI IWASIMAMIE WASAFIRISHAJI WA MIZIGO ILI KUPATA KODI HALISI KWA WAFANYABIASHARA Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa Mhe. Juliana Didas Masaburi tarehe 23 Juni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Anzisha mgahawa weka wafanyakazi wawili tafuta eneo zuri deal na breakfast ya vyakula vya asili tu. Nunua sahani 20 za udongo na Uma 20 na vijiko 20 na sufuria 5. Mazingira yawe masafi yenye maji...
4 Reactions
9 Replies
803 Views
Back
Top Bottom