Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hey wakubwai, hivi karibuni nataka n'tiee maguu bongoland, sasa mimi nataka niwe mjasilia-hali-na mali,nataka nifungue kiota cha kuuza softwares za computers na zile za simu,yaani nitakuwa nafanya...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wwww.eastafriclaw.com learn business law online. type the link above and create an account to join us
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Wakuu kuna hii company inahusika na uuzaji na usafirishaji wa magari ambayo ni used from Japan to any country, bei zao nimeona cheap sana. Kwenye stoke yao unachagua gari kwa njia ya mtandao...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Calling All Entrepreneurs There is no formula or method for entrepreneurship. At least that is what I know. All you need is to be at the right place and the right time, to realize that an...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari zenu kwa wote!mimi newcomer kwenye blog hii ya jamii,lakini ni mpenzi wa blogu hii siku nyingi nisiongeee mengi,wajasilimali nilikuwa naomba ideas tofauti za kibiashara nilikuwa nafikiria...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Wazo hili limekuwa linajia kichwani mara kwa mara hasa baada ya kukutana na Mtanzania mwenzetu, ndg,Zacharia Zamokewakati anaanza kufanya utafiti wake juu ya namna ya kutengeneza Incubator...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Nilipoanza biashara nilikuwa na dreams nyingi???... First, Nilianza kufikiria biashara za "estates" that is najenga nyumba za kupanga na kuuza ...nikakutatana na challenges zifuatazo..a)mtaji, na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za kazi wanajamii. Naomba msaada wenu katika jambo hili. Nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa North Mara na sasa nimepunguzwa kazi, katika pesa nilizolipwa, na mafao yangu ya nssf pamoja...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Wadau naomba kuuliza. Hapa Dar kuna kampuni au mtu binafsi anafanya biashara ya kusafirisha maua nje ya nchi? Yaani florist. Au kuna biashara ya kusafirisha vipepeo hapa Dar? Mawazo yenu ni muhimu...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
WanaJF naomba mwenye mbinu yakinifu za kuniwezeksha niwe tajiri.Mbinu zozote zile za kibiashara,kinguvu au zozote zile almradi ziwe legal......In short nakataka niwe tajiri.......nahitaji msaada wenu
0 Reactions
60 Replies
11K Views
Habari za leo wana Jf Poleni na mhangaiko ya hapa na pale. Napenda kuuliza ni dukagani hap Dar linauza Digital Cameras na Camcoders KWA BEI NAFUU. Msaada wenu ni muhimu sana kwangu. Natanguliza...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kwa kweli naomba nisaidiwe au nitoe pole kwa wale wote ambao wameishaibiwa LAPTOPS zao pamoja na magari na vitu vingine vyenye thamani kubwa hapo Mlimani City. Swali la kuuliza je, wahusika au...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
The Medical Stores Department (MSD) has told the Parliamentary Parastatal Organisations Accounts Committee (POAC) that increased demand for drugs and other supplies has caused serious shortages in...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tukiweka siasa na udini pembeni hili ni wazo zuri sana ambalo linatekelezeka.viongozi kazi kwenu Leo asubuhi BBC katika dira ya dunia imetangaza kuwa serikali ya Kenya itaanza kutoa KSh. 2,000/=...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuanzia jana ilikuwa ni kilio kwa wafanyabiashara wadogowadogo na mamachinga wanaofanya biashara zao maeneo ya Ubungo(Dar) karibu na mitambo ya kuzalisha umemena kandokando ya barabara pale askari...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, ninao mtaji wa sh.milioni kumi. Nataka nianze biashara hapa Sinza. Naomba ushauri wenu tafadhali. Nimetafakari nifanye biashara gani nimeshindwa kujua ipi itanilipa kwa kiasi hicho kidogo...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu wa jukwaa la uchumi nawasalimu. JUkwaa hili la uchumi ndilo jukwaa ambalo kila siku lazima nilichungulie kwanza,katika pitapita zangu humu nimegundua kwamba wafanyabiashara wengi tumekua...
4 Reactions
36 Replies
14K Views
Wana jamvi Tsh 100,000,000 niwekeze vip nitoke kwa amaount hii regards kwa uchumi wetu wa Tanzania
0 Reactions
1 Replies
852 Views
wadau saidia hapa tafadhali, kwa anae jua wauzaji wengine wa pikipiki za miguu mitatu aina ya TVS ukiacha CAR & GENERAL.. kwa hapa Dar es Salaaam. Nahitaji kununua.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu wana Jamvi, Baada ya mda mrefu wa utafiti na kutafakari sana napenda kusema nilichogundua ni kwamba "Hakuna sababu ya mtu kuajiriwa" na kama kuna mtu anaweza kuleta vigezo tofauti nitapenda...
10 Reactions
37 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…