Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

wadau hivi kuwa wakala wa Star times na DSTV nn vnatakiwa au uwe na mtaji wa shngp? na je faida zake ni zipi? je maombi ya uwakala unayatuma wapi?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WANABODI niliahidi kuanza kuleta mada mbalimbali za kibiashara ili kuongeza ufahamu kwa wajasiliamali kwa leo naanza na hili. INTERNET FRAUD:AVOID BECOMING A VICTIM The advent of the...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naombeni kujua kwa wale wanaoelewa haya mabo. tulijikuta tukipiga story me na rafiki yangu mmoja na tuka peana changamoto ya nini cha kufanya kwa huu mji tuliopo ili tupige hela. jamaa akanipa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Bei tunaweza kuongea na kupunguza kidogo kwa mawasiliano piga namba 0716632593
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari na traler yake iko safarini na ina hali nzuri sana hadi taili, ukipenda vyote vinauzwa kwa mawasilino zaidi 0754-646827
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Estimations by analogue method show that the geothermal potential of Tanzania is about 650MW of which most of the prospects are located within the East African Rift System. Most of the geothermal...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari Si jambo rahisi kuanzisha kitu na kiweze kufanikiwa kwa urahisi urahisi tu bali unatumia nguvu za ziada kuanzisha na wakati mwingine usiweze kuona mafanikio ya papo kwa papo waweza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
HABARI WANAJAMII Napenda kuuomba ushauri wa kina kwenu namna ya kuwapata wafadhili wakuniwezesha ktk uzinduzi wa kitabu changu kwani nataka kukizindua mwezi May na sina jinisi ya kufanya ila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, Diana Chilolo Serikali inatarajia kufungua mgodi wa uranium wa Mkuju River (Mbamba Bay), katika wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma kwa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Mobile phone firms are losing $58bn (£36bn) a year worldwide to billing errors and fraud, a report says. Juniper Research found operators were "leaking" revenue because the complexity of networks...
0 Reactions
0 Replies
718 Views
for those who are having an interview appointment can hv pre-interview for the intended job by prof HRs.al u hv to do contact 0714759361 for more information
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Read Publications from KilimoKwanza's Library | YUDUfree
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Jengo liko katikati ya mji na limejengwa kisasa na ubora wa hali ya juu flour ya vigae, Suspended Ceiling Boards, kila mpangaji na meter yake ya umeme, Very Busy area 16 business hours, panafaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina computa 2(laptop), headfone 1, modem 3 (air tel, tigo na voda), flash 1 ya 4gb, simu 2 za mchina, mkoba wa kubebea cd. wadau kwa kutumia assets nilizozitaja hapo naweza kufanya biashara...
0 Reactions
20 Replies
14K Views
NMB walikusanya pesa nyingi sana ya wananchi kwa maelezo kwamba wananchi wanunue hisa. Hata mimi nilinunua hisa za haja katika uwezo wangu, nikashawishi na wengine wakaingia pia. Niliwaambia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu salam kwen naomba mwenyetaarifa haya mashudu ya alizet yanapatkana wapi anijuze nna shida nayo sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf, Heshima kwenu nyote. Mimi ni muajiriwa kwenye kampuni ya private. Ninajituma sana kwenye kazi, na huwa niko proactive kwenye kupanga mambo yangu ya kikazi. Huwa sipendi mambo yatokee kwa...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Nyie Airtel mnaofanya ni uhuni wa kitoto. Ninyi ni wezi wakubwa kabisa. Mmeweka huduma kwa wateja kwa malipo, sawa. Hii tabia ya kukata pesa ya mtu halafu katikati ya maongezi na wakati bado...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Another Famously Successful People Who Failed at First Not everyone who’s on top today got there with success after success. More often than not, those who history best remembers were faced with...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
habari wanajamvi,tafadhali mwenye maujuzi na hii business anaweza toa maujuzi hapa,mimi inanivutia.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom