Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jamani hawa wauza viatu hapa opposite na kituo cha mafuta cha mabibo ni wezi!? nini?! Mbona wamening'ang'ania sana ninunue kiatu, mpaka nilipowachimba mkwara ndipo wakaniruhu niende zangu. Eti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bila shaka wazima wote,nina milioni moja ambayo nataka kuanza kukopesha watu,mikopo hiyo na mpango wa kukopesha wanajamii wanaonizunguka,nataka kujua ni riba asilimia ngapi niweke,kiwango cha...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Ndugu zangu ni jumatatu nyingi tunakutana tena leo kwahiyo hatuna budi kumshukuru MUNGU kwa neema hii ya ajabu leo napendelea tuongeee kuhusu suala la kujiamini. Jiamini wewe mwenyewe na kamwe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakuu nilikua nahitaji kwa mwenye format ya uandisha wa barua za tenda anisaidie ninashida nayo sana thanx
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, mm ni mtumiaji wa Air Tell Tz na kwa sasa ninatumia sim card yangu ya airtell Tanzania huku Uganda, Mwanzoni Huduma hii wakati wa Zain ilikuwa iko Imara sana na ilikua inasaidia sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu watanzania plz mwenye maoni yoyote kuhusu hili plz naomba ufunguke hapa. Nipeni njia ya kuanzisha NGO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu nimeshtushwa na kuhudhunishwa na uteuzi wa Jenerali Mboma kuwa Mwenyekiti wa board Tanesco,pamoja na hizo Meremeta,n.k baado mkuu anamteu hivi kweli hakuna watu wengine ambao kweli wana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunakusanya pesa zetu kupitia NMB kwa sababu ndiyo inapatikana sehemu nyingi walipo wateja wetu; lakini mara utasikia network inasumbua na hivyo wateja wa biashara yangu wanashindwa kutuma pesa...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kuendelea kunipigania,namrudishia sifa na utukufu. Tukianza mada yetu ni hivi,kwa watu walioajiriwa wanatakiwa kujua nini waajiri wanataka kutoka kwako,jambo la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Viongozi wake wengi wakuu walikuwa na elimu ndogo tu. Mfano..Biti Titi, Mzee Kawawa, Kingunge nk. Isitoshe wale walioonekana wasomi jamaa aliwademolish...akina Tuntemeke Sanga, yule ticha wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nataka kutembelea zanzibar weekend moja, Je,ni Guest zp nzuri zenye bei ya kati ya Tshs. 20,000 - 30,000 kwa usiku mmoja? Iwe guest yenye usalama na safi. Asanteni sana.
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Wale ambao card zao za NBC zilishachoka wana advantage zaidi, kwani NBC Visa + MasterCard sasa zinatolewa bure bila malipo. Changamkieni muwe na uwezo wa kuchukua pesa kwenye ATM za mabenki...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Wadau natafuta nokia n79 kama kuna mtu anayo anitafute 0713014400.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau: Naomba msaada wenu maana niko njiapanda. Nataka kufungua account katika dollars lakini nimeshindwa kuamua nitumie sarafu ipi kati ya 2 tajwa hapo juu in...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wana wa J F miye ni mkulima wa alizeti wa muda mrefu,lakini kipato chake kwa eka hakilipi kabisa sijui nakosea wapi naombeni ushauri
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ajira ni ngumu mno,elimu yetu ipo katika nadharia na si vitendo.Je ujasiriamali wataka vigezo gani kwani ni muda nasikia ila sijui kwa mapana yake.NATAMANI KUWA MMOJA WAPO!Nafsi imeridhia na...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
http://youtu.be/NIesalr5Y6U
0 Reactions
1 Replies
903 Views
Thu Oct 27, 2011 3:12pm GMT * To pay $48 mln this year for its Geita mine * Other mining companies expected to follow suit DAR ES SALAAM Oct 27 (Reuters) - Africa's biggest gold miner AngloGold...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Je wewe ni mwajiriwa / mwajiri/mwanafunzi/mzazi/shule/chuo? UNATAKA AJIRA? Nununua DVD ikufundishe masomo yenye thamani sana tena kwa muda wako wakati ukiendelea na shughuli zako bila kwenda...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wadau nauliza ni hatua gani na taratibu zipi za kufuata katika kuanzisha kipindi, mfano wa kile cha dk 45 cha itv. Nahitaji nami kuanzisha kipindi japo mi sio mwanahabari.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom