top ten richest country
1. Qatar
Qatar is ranked first as the richest country in the world with a GDP per capita of U.S. $ 90,149 per year in 2010. Qatar is one of oil and gas rich country in...
Habari!
Naomba kuulizia nitapata vipi mawasiliano na watu wa magari ya utalii(kwenda mbugani). Safari nataka kutokea Arusha mjini kwenda Ngorongoro Crater.
Kama kuna makampuni wana websites...
Jamani, nataka kuanzisha kajikampuni kadogo ka VIDEO PRODUCTION. Itakuwa inadeal na kushoot video katika functions mbalimbali na pia ku-design graphics (business cards, logos, flyers, brochure...
WORLD fourth richest person Mukesh Ambani through his conglomerate, Reliance Industries, intends to invest heavily in Tanzania's air transport and hospitality industries.
Mr Ambani revealed...
Habari zenu wana JF...sikupata forum nyingine yeyote zaidi ya hii kuwasilisha hoja yangu...
Nataka kujua kama yupo yeyote aliyewahi kununua online kupitia kwa "e-bay" na akaipata hapa TZ mzigo...
Kada maarufu wa CCM aliye wahi kuwa mbunge na waziri wa viwanda na biashara Mh Iddi Simba pamoja na kada ambae pia ni Mayor wa jiji la DsM Mh Didas Masaburi CcM wamejikuta wakianguka kwenye tope...
Wakuu heshima mbele! Naomba mwenye utaalamu wa formula inayotumika kutoa magari bandarini tafadhali anijuvye hapa jamvini maana naambiwa kwa sasa umebadilika sio kama ule tuliouzoea zamani...
Kulitakiwa kuwe na kitengo cha risk and compliance mgt ambacho ni fully fledged, ambacho ni independent. Kisiwe part ya internal audit.<br />
Leo hii wasingepewa adhabu ya miezi mitatu, kwa kuwa...
The Tanzania Tourist Board (TTB) carried out a survey at the end of last year aimed at establishing the perceived image of Tanzania. The two strongest images that came out portrayed Tanzania as a...
Wanajamii nimekuwapo Dodoma kwa siku mbili na ni eons niwasilishe tetesi hii ambayo haina ubishi tena. Leo jioni baada ya bajeti ya Ngereja kupita Waziri Mkuu aliandamana na Wabunge wetu kuelekea...
Kwa wajasiriamali wenzangu salaam!
Kama ilivyoada ya kupashana habari, nimeona niwajulishe kuhusu hili shirika la Tatedo kwenye nishati mbadala.
Wanatengeneza majiko nafuu ambayo ni msaada kwa...
Naomba anayefahamu bei za jumla na rejareja za bales za mitumba za grades tofauti (grades A, B, C) tafadhali anifahamishe. Kama kuna namna mbadala ya ku-calculate bei, mfano Tshs per kg, ningeomba...
Asalaam wana jamii.
milikua na uliza recycling comapanys zipo Tanzania? na kama zipo ziko wapi. na vipi kuwa contact.
asanteni kwa wale watakao ni saidia kwenye hili
wakuu nasikia ukinunua gari unguja kujanalo tanganyika ya zamani kuna kodi ambazo hupaswa kulipia, ambazo ni tofauti ya tozo za kodi kati ya unguja na ex-tanganyika. <br />
<br />
Kwakuwa sheria...
Nachukua nafasi hii kuitambulisha kwenu tovuti mpya ya mavazi www.jsonstyle.com
Tovuti hii inakupa fursa wewe mwenye duka popote ulipo kuweka bidhaa kwenye tovuti hii na kuwapa fursa...
Nauza lap top yangu, ili ninunue nyingine more advance, kama unahitaji wasiliana nami ...takuachia kwa bei ya undugu wa kuwa wote hapa JF...haina tatizo lolote, uliza bei kwakunitumia Msg, betri...
Mambozz wakuu !
Am looking for someone who has experience in manufacturing of SOAPS.
Even if still working somewhere, get in touch with me via PM plz !
Bado ni mwajiriwa, lakini ana milioni 70 anataka kuziwekeza. Biashara nzuri aliyoiona inalipa ni kuiwekeza kwenye Ubunge kwa tikti ya CCM mwaka 2015. Unaweza kumshauri kivingine?
Wakuu,
Awali ya yote nawasalimu kwa jina la bwana!
Tafadhali naomba mawazo na uzoefu wenu katika biashara, ni ipi ya kufanya. Nina mtaji wa 4M tu nataka nifanye biashara nami nijikwamue kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.