Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Leo ndugu wanajamvi nimeonelea niwaletee maelezo kidogo kuhusu pesa tunazochangia kununua umeme, na hasa kwa wale tunaoishi katika nyumba za kupanga. Labda nianze na umeme tunaonunua toka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HABARI WANA GREAT THINKERS, HEBU TUCHAMBUE FAIDA NA HASARA ZA BIASHARA YA BAJAJ NA BODA BODA A:FAIDA I-MADEREVA WAMEPATA KAZI NA AMBAO HAWAKUWA MADEREVA WAMEJIFUNZA II-VYUO VYA MADEREVA VIMEPATA...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wengi wanao-advocate price control wanasema kwamba hii ni njia ya kuwa-protect watu wengi na wafanyabiashara ambao watapanga bei kubwa ili kupata faida kubwa ; Lakini Je hii ilishasaidia sehemu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakubwa, &lt;br /&gt;<br /> Nimeamua kuwekeza katika ufugaji wa kitaalamu. Ninahitaji mtaalamu wa mifugo. Nitampa mkataba wa kufanya: &lt;br /&gt;<br /> - upembuzi yakinifu&lt;br /&gt;<br /> -...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF nimekuwa na maono ya kuanzisha kampuni ya uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa zao la zabibi kwa mda mrefu ila sijui hatua za namna ya kuanzisha kampuni. Nipenda kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Emancipate yourselves from mental slavery; None but ourselves can free our minds
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa habari zaidi bonyeza hapa chini. MZEE RUKSA AFUNGUA AKAUNTI YA KIISLAMU NBC - Global Publishers
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu natanguliza heshima kwenu na poleni na shughuli za kila siku ndukuzangu nahitaji bwana shamba atakae simamia shamba langu kila inapohitajika kufika inategea na makubaliano nategemea kulima...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mambo vipi wadau???? Kana shamba zuri sana naliuza wakuu maeneo ya kibada-dar-es-salaam linafaa kwa mengi kama shule n.k.bei tsh 70 milioni. Naomba kwa wadau wenye uwezo au wanaweza nipatia...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hello wananijamii habari zenu,okay miminimjasiliamali mdogo(nimejiajri)sasa nilikuwa naomba advice ama mawazo ni kwamba ninao mradi ama biashara ya kutengeneza viatu vya kisasa kabisa vya kiume...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Naomba msaada wa bei ya gold per carat kwa masonara na madealer. Asante Wakuu!
0 Reactions
1 Replies
965 Views
HE fall in production for many a corporate institution in both industry, agriculture and other major sectors of the economy in Tanzania as caused by an assortment of problems is already...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Nadani huu ndio muda muafaka wa watanzania kufanya mgomo wa amani lakini effective na ni kama ifuatavyo. 1. Sisi wenye magari tupaki magari yetu kesho asubuhi kufunga njia zote za kuingia na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf nawasalimu. Hizi ni image (attachments) mbili tofauti na samahani kama nimeziweka kwenye jukwaa lisilo sahihi. Naomba msaada hasa kwa wale wataalamu wa uchumi juu ya athari ziazoweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Victron Energy, Inc., along with ExxonMobil would like to recognize some of the schools in the Midlothian Independent School District. These schools are Midlothian High School, Walnut Grove Middle...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Wdau nimefikiria biuashara ya kufanya kwa muda sana nikapata wazo la kuanzisha biashara ya Hiace Mwenge Bagamoyo, wenye uzoefu naomba tupeane ujuzi. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maonyesho ya Nanenane ni maonyesho ambayo wakulima huwa wanonyesha mzao yao. Wataalamu wa zana mbalimbali na wafanya biashara kuonyesha zana zitumikazo kurahisishia wakulima hao kupata mazao...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dow plunges 500 points By Annalyn CenskyAugust 4, 2011: 3:54 PM ET The Dow has now lost all of the ground it gained in 2011. Click the chart for more stock market data. NEW YORK (CNNMoney) --...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Unajua unaweza kuwa unalalamika kila siku kuhusu serikali! Lakini je wewe umefanyaje kuhusu kutengeneza ajira mpya mpaka sasa? Mimi binafsi nimetengeneza ajira za kudumu 5 mpaka sasa. Na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Tafadhali aliyewahi kufanya business hii aliwa Tanzania alifahamishe jukwaa mambo yafuatayo: aliwezaje, security, ni website ipi aliyoyumia, what are the challenges, na profit margin yake ikoje...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom