Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wewe juzi kati tu hapo umewavua watu magamba tena kwa kasi mpya. Sasa na wale waliovuliwa magamba ni mafisadi papa tena kama yule wa kanda ya kati pale anamiliki vituo kibao vya mafuta , sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Carlos Slim Lost About $6.7 Billion This Week as S&P 500 Index Fell 7.2%Q By Crayton Harrison - Aug 5, 2011 11:55 PM GMT+0300 The Mexican billionaire’s stock portfolio, measured in U.S...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Miners in Kikirwa coal mines. Tanzania is exploiting its coal for alternative power generation Photo/FILE By JOHN MBALAMWEZI Monday, April 18 2011 Tanzania is seeking international and local...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wataalmu wa uchumi na wenye data. je tanzania Tuna reservse au kiasi gani cha asset au akiba pale BOT kilicho katika USD Tuna reserve au kias gani cha aset na kiba pale BOT kilicho...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,... Ninataka kuanza biashara ya kuku mwakani,possibly mwezi wa pili. Location ni mkuranga (pwani) ila ni porini sana na upatikanaji wa maji kule ni sifuri,.... Ningependa kujua...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa kweli kama Hayati mwalimu alitabiri kwa uhakika kabisa kuwa serikali ikishikwa na wafanya biashara utoaji wa maamuzi utakua mgumu. Na akataka siasa itenganishwe na biashara. He was right...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii system ya benki za Tanzania kukupatia kadi mpya kwa gharama ya Tsh. 10,000 ati kwa sababu imekuwa blocked kwa kuingiza wrong PIN number ni wizi wa waziwazi kabisa. Card bado mpya kabisa, kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JF naomba wenye uzoefu na biashara ya poles kutoka Iringa wanijuze. Napenda hasa kujua soko lake hapa Dar likoje na kama kuna iwezekano wa kuuza mzigo kwa jumla. Ni maeneo yapi yanafaa kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, habari zenu? Naomba mnisaidie kunijulisha ni nani anaweza kunikopesha 35,000,000 nitamrudishia 1,500,000 kila mwezi kwa miezi 30. Sina gari, sina nyumba, sina kiwanja. Nina kazi kama...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Ndugu wana jamii,ni wapi naweza kupata mkopo kwa kuweka hati ya kiwanja changu kama security? Sina biashara yeyote na sija ajiriwa sehemu yeyote.Ila nina business idea ambayo nataka kuifanyia kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Fuatilia makala hii hapa chini, jinsi gari zinazoingia ulaya toka Japan zinavyowekewa uangalizi wa juu kuhakikisha hazina madhara ya mionzi, Nafiiri zinazokuja huku kwetu Africa watu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau kila petrol station ninayopita petrol hakuna, hii imekaaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kujua ni njia zipi mtu anaweza kupitia kufungua chama ambacho wanachama wake ni umoja wa watu ambao walikuwa shuleni pamoja oldschool timers lakini leo watu wazima lakini leo hii wanataka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo katika eneo ilinalolimwa mpunga sana na kuna mashine mpya za kichina mabazo sio zinakoboa mpunga ila zinamenya!! Pumba zinazotokana na kumenywa kwa mpunga zimelundikana sana na nia yangu ni...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
The Parliamentary Standing Committee on Public Organisations Accounts, (POAC) has declared all transactions entered into by Dar es Salaam Transport Company, (UDA) Board of directors illegal...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Members of Parliament yesterday pressed the government to take action against foreigners who get employed through illegal procedures and companies which disregarded local people, saying it was...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Greetings, The attached is for those interested.. BR
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati wa awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, wenye akili waliitaka Serikali iachane na biashara ya kuingiza mafuta nchini na kuyasafisha. Mwinyi alikuwa rais, Yona Kilaghane DG wa TPDC (ni mkuu wa TPDC...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa nini atm zenu hasa za knyama kila jmosi asubuhi mpaka mchana huwa hazifanyi kazi?hata muda huu hali ni hiyo hiyo..oybay na namanga the same
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Wana JF Kuna Jambo mmoja huwa nashidwa kabisa kuelewa shirika kubwa kama CRDB BANK kuwa na System iko down over hours siwalewi kabisa hawa ni kuwa system zao (softwares/Hardware) inashida au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom