Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

We would like to take this opportunity to introduce Mzalendo Credit Limited to your esteemed blog. Mzalendo Credit Limited, is a lending institution focusing on short term loans (i.e. spanning...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
EAC looks to Britain in starting monetary union Thursday, 20 January 2011 22:30...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kamati yaundwa kurekebisha STAMICO Na David John SERIKALI imeunda kamati ya watalaamu ya kurekebisha Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ambalo ufanisi wake umekuwa hafifu.Hatua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau poleni na majukumu ya kila siku ya ujenzi wa taifa sasa naomba kuleta mezani hoja ya kutafuta soko la asali mbichi ya nyuki wa dogo.naomba msaada wa masoko.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mwandosya: Maji ya Victoria kufika Tabora 2014 Tuesday, 18 January 2011 21:00 Mwandishi Wetu, Tabora WAZIRI wa Maji ,Profesa Mark Mwandosya, amesema...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tucta yashikia bango maandamano kupinga bei ya umeme Wednesday, 19 January 2011 21:42 Patricia Kimelemeta SHIRIKISHO la vyama vya Wafanyakazi nchini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau bandari wachachamaa kukatika umeme 'Long room' Na Mwandishi Wetu WADAU mbalimbali wa bandari nchini wameiomba serikali kuhakikisha Idara ya Ushuru wa Forodha inapewa kipaumbele...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
‘Tanzania ni bora duniani kwa umeme wa nguvu ya upepo’ Tuesday, 18 January 2011 21:40 Leon Bahati WATAALAMU wa nishati toka nchini Norway wamefanya...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
for more info on the book visit, Dambisa Moyo | Author and Economist listen to her interview on, BBC iPlayer - HARDtalk: Dambisa Moyo, Economist and author Embu msikilize kwa makini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tanzania Telecom in 3rd sale attempt Monday, 17 January 2011 07:07 James Mwakisyala...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wachumi hii imekaaje? ukinunua airtime recharge voucher unalipia VAT ukiitumia pia unalipia VAT per minute talktime hizi caculation zikoje jamani,wenye upeo zaidi watujulishe.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
NSN sasa kuendesha shughuli za Vodacom Send to a friend KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imekubaliana na kampuni ya Nokia Siemens Networks (NSN) ili NSN itoe huduma za mtandao...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
EAC wajadili mchakato sarafu moja Monday, 17 January 2011 20:13 Mussa Juma, Arusha NCHI za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC), jana zilianza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
By NATION CORRESPONDENTPosted Sunday, January 16 2011 at 18:11 Tanzanians spent a whopping TSh555 billion ($396 million) on phone calls and text messages in three months, according to a new...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inasemekana kama kuna mtu unamdai halafu hataki kukulipa na hasa kama ni mdosi basi mwone yule mtu mfupi mweusi anavaa suti oversize ambaye ni owner wa Easy Finance. Jamaa unaambiwa methods...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wapi naweza kupata mikataba kati ya serikali na Makampuni binafsi/taasisi za kimataifa.Je Wizara ya sheria au kwa mwanasheria mkuu wanayo hii mikataba ambayo tunaona Ministers and Makatibu Wakuu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wazo la biashara linanijia lakini sina mtaji ,ngoja niwauzie wanachama hapa watanipoza kidogo! Nchi sas hivi inazizima kwa masual ya katiba mpya na malipo ya dowans..ukitengeneza tshirt...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Takukuru wadaiwa kusababisha hasara Vodacom Send to a friend Phinias Bashaya, Bukoba MAOFISA wawili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru) Mkoa wa Kagera wanahusishwa na upotevu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, Nimetoka NSSF kuchukua kadi mpya sasa hivi pia nikapata kucheki salio langu, yaani wakinipa hizo pesa leo nina uhakika wa kuwa na nyumba ya kisasa. Ombi langu kwa mifuko hii wangebuni...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina elimu ya certificate katika mambo ya Hoteli hivyo uwelewa wangu ni mdogo katika maswala ya uchumi. Nasikiaga mara kwa mara viongozi wakiongea kwenye hotuba zao kwamba uchumi umekuwa/umeshuka...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom