A more hopeful continent Jan 6th 2011 | from PRINT EDITION
MUCH has been written about the rise of the BRICs (Brazil, Russia, India and China) and the shift in economic power eastward as Asia...
Tanzania's proven gas reserves more than double
Fri Jan 21, 2011 8:03am GMT
[-] Text [+]
DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania's proven natural gas reserves have more than doubled to now...
Recent discoveries of natural gas off the coast of Tanzania have taken the East African nations total reserves to 7.5 trillion cubic feet, sufficient to allow exports to the region, the East...
JE niemumizwa na wAChina,
nimewasialiana na kampuni ya kichinav(electronics manufacturer) ili wanitumie sample ya kitu,thamani ya dola 145 and DHL freight to tz dola 40 jumla nimetuma dola 185...
Waungwana, naomba anaeifahamu website ya wizara ya viwanda na biashara Tanzania anisaidie as ninahitaji info ambazo nadhani naweza kuzipata huko, nimegoogle sijaipata.
Please help.
Niliwahi kusikia ktk radio hotuba/interview ya Muheshimiwa mmoja. kuwa Manispaa ya kinondoni kuwa kuna ramani zinauzwa Elfu 50,000/- (2009).
nataka kujua ukinunua hii ramani unahitaji kuomba...
Taarifa ya Mh. Pinda Waziri Mkuu wa Tanzania kuhusu tatizo la mgawo wa umeme imenifanya niamini kuwa sensa ya watu Tanzania ni kupoteza tu rasilimali za nchi kwani matokeo yake hayatumiki kupanga...
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa wakiwa wanatengeneza noti bandia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Kisale iliyopo
mjini hapa.
Kamanda wa Polisi...
Wenye viwanda watishia kuvifunga Friday, 21 January 2011 19:53
Raymond Kaminyoge
Mwananchi
WAMILIKI wa viwanda nchini, wametishia kufunga viwanda vyao kutokana na gharama kubwa za uendeshaji...
Wakuu,
Nimetazama habari ITV, mabasi yote yaendayo mikoani kutokea Ubungo yanatakiwa yawe yamejiunga na CAR TRACKING SYSTEM hadi ifikapo 15.03.2011.
Je wakuu, hii CTS ina umuhimu upi kwa mabasi...
A University of Dar es Salaam (UDSM) economist said in an interview yesterday that Tanzanians should brace for tough life this year despite the latest prediction by the World Bank (WB) that Africa...
Taking into account of all the minerals deposits (i.e., Gold, Nickel, Uranium, Tanzanite, Rare Eath Metals, etc.) The vast natural gas deposits, Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro crater, Serengeti...
I am floating 7.5% shares (which is 50% of my 15% shares) in a brand new company, Tritan Limited. The shares are worth TZS 37,500,000! But I am floating them for only TZS 10,000,000! A TZS...
Wenye viwanda watishia kuvifunga Friday, 21 January 2011 19:53
Raymond Kaminyoge
WAMILIKI wa viwanda nchini, wametishia kufunga viwanda vyao kutokana...
Wana JF najua humu ndani kuna mchanganyiko wa kila mbongo wenye sifa tofauti.
Nimekaa kwa muda mrefu na imenikera sana suala la umeme. Sasa nimefikiria kwa vile serikali inaonekana haiko tayari...
Wadau naomba kuuliza kama kuna mtu anafahamu benki yoyote ambayo inatoa mikopo kwa wafanyakazi(personal loan)ambayo interest yake ni nafuu below 20.Sio lazima benk hata taasisi yenye masharti...
Kisiju ipo wapi?
Kutoka Dar mpaka kufika hapo kuna usafiri gani na gharama zikoje?
Nilipata taarifa kuwa kuna kuku wa kienyeji, katika mchakato wa kutaka kupunguza makali ya maisha nataka kuanza...
Modern oil refinery for Dar es Salaam
A FOUR-nation consortium will soon start construction a state-of-the-art oil refinery in Dar es Salaam and an oil pipeline from the city to Mwanza and...
Wana JF,Inahitajika nyumba kwa ajili ya ofisi yenye sifa zifuatazo/zinazokaribiana na hizi hapa chini:1. Iwe Dar es Salaam maeneo ya Kinondoni/Mikocheni/Mwenge au Sinza.2. Iwe na uwezo wa kutumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.