Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ndugu zangu wana JF, Kuna tetesi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Bw. Philemon Luhanjo amefikisha umri wa kustaafu. Kama ndivyo, mbona anaendelea na kazi tu? Au Rais ana madaraka ya kikatiba ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika utafiti uliofanyika unaonyesha katika population ya Tanzania only 10% ndio ina tumia huduma za kibenki. Hata hivyo asilimia hiyo kiduchu haijui au haina Elimu ya mikopo inayotakiwa. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Can Africa economic pundits invent acronyms like BRIC or VISTA which will foster investment and opportunity to our people? http://http://www.economist.com/node/17493468?story_id=17493468
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wachumi na wajuziwahii sekta naombwa kujuzwa kwa lugha nyepesi maana ya hili neno bailout Ireland nchi bayo ukisoma ni moja kati ya nchi zilizokuwa na uchumi mzuri zaidi ulaya kuliko hata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mshawahi kusikia hiyo b'ness? Kuna wadau wapo kwenye huo mtandao? Vipi mafanikio yao hadi sasa?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bharti Airtel launches new global brand to unify its African operations All customers will experience the same familiar brand and enjoy the same quality of service, reliability, innovation and...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Written by Egesa Bwire 22 November 2010 East African Business Week (Kampala) The general environment for doing business in Tanzania has slipped slightly in comparison with last year as...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu wana jamii hongereni kwa elimu bora. napenda kufahamu uhalisia wa hili swala la watz kuuza zaidi katika soko la jumuiya ya afrika mashariki. Je imeleta tija kwa kiasi gani kwa mtz? a.n...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Gazeti la Mwananchi la leo linaripoti ya kuwa kigogo mmoja wa Tanesco amesababisha hasara ya mamilioni ya fedha baada ya kupuuzilia mbali ushauri wa kitaalamu wa wadogo zake kazini ambao ni...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa watakaohitaji nauza Toyota GX 100 kwa sh7.5 Milioni. Ipo katika hali nzuri na imetembea kilometa 54,000 tu, ina Air condition, iko katika hali nzuri sana tena sana. Wasiliana nami kama unahitaji.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
VANCOUVER, Nov. 22 /CNW/ - Tanzania Minerals Corp. (the "Company") (TSX-V: TZM.V) (FRANKFURT: CA87600X1087) is pleased to announce that it has entered into an agreement with Primary Capital Inc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunaomba wahusika wa ticts wawe na mtazamo +(chanya),una myima mteja waiver ya storage ya mzigo mpaka unafikia kuuzwa mnadani na customs and excise,unakuta gharama za ticts storage ni kubwa mara...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jamvi. Jamani naombeni msaada kwa mwenye uelewa, nahitaji kufuga kuku wa mayai ila eneo ninalotaka kufugia umeme bado haujafika, je naweza kutumia nishati gani mbadala. Natanguliza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Baada ya kubadilisha jina kutoka Celtel kwenda Zain mwaka 2008, kampuni ya Zain inatarajiwa kuanza rasmi kutumia jina jingine jipya la Airtel kuanzia tarehe 22 November 2010 (jumatatu ijayo). Hii...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Ndugu wana jamii ninahitaji kuchimba kisima cha maji safi,ila sina uelewa wa makampuni yanayohusika kuchimba visima,ninaomba yeyote anayefahamu company yoyote inayochimba visima kwa bei nafuu
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wadau kuna ndugu yangu ana interview tarehe 30 TRA na anataka kujua customs zote za TRA. Msaada please anaeweza kum-mention please help!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The top ten brands in Tanzania, according to the research findings, were Azam, Nokia, Blue Band, Tigo, Vodacom Tanzania, Kilimanjaro Pure Drinking Water, Whitedent, University of Dar es Salaam...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Juzi nilikuwa Morogoro mjini na nilipita maduka kadhaa ya jumla nikitafuta battery aina ya Duracell size AA. Maduka mengi hazikuwepo ila kuna Bwana mmoja anauza TV na satelite dishes ambaye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gazeti la habari Leo linatuhabarisha ya kuwa Mkoani Rukwa noti za bandia za shilingi 10, 000/= zimezagaa...............................
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom