Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nauliza hili nikiwa na sababu. vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Natumai wote ni wazima wa afya, naomba mwenye kujua wapi ntapata maroba ya kuanzia debe sita kwa bei ya jumla, na kama kuna mtu anajua bei ya jumla yanauzwa shs ngapi.
3 Reactions
13 Replies
788 Views
Wakuu Naomba mnifahamishe machimbo ya pikipiki za Bei ndogo hapa town (below 700k ), nataka iwe inaniingizia side income per day.
0 Reactions
3 Replies
498 Views
Habari zenu Wana JF, Awali ya yote ningependa kumshukuru mwezi mungu Kwa kutujalia uzima na afya njema Kwa niaba ya wa JF wote. Andiko langu ni kutaka msaada Kwa waliotangulia katika tasnia ya...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Watu wengi tunaogopa kuanzisha biashara fulani kwa kuogopa kwamba ma giant wameshajaa hivyo hatutapata wateja. Soko la maji ya kunywa lilikuwa limetawaliwa na kilimanjaro, kila sherehe ya harusi...
25 Reactions
57 Replies
5K Views
Nini itakuwa nafasi ya kampuni za usafirishaji za Abood and Hood kwenda na kutoka Morogoro kufuatia ujio wa treni ya umeme Morogoro - Dar es Salaam?. Naona kama vile itabidi waanzishe routes za...
5 Reactions
51 Replies
7K Views
Habari Wana Jukwaa. Tunaposema Mama Samia aongezewe miaka mingine mitano ni mambo kama haya tunayatazama, Haya mambo hayakuwahi kufanyika tangu uhuru wa Taifa hili but why now? Sasa twende...
18 Reactions
94 Replies
3K Views
Wadau, ninahangaika muda mrefu leo kufanya miamala ya mpesa lakini sifanikiwi?? Ni mimi tu au na nyie wenzangu?? Kulikoni???
1 Reactions
4 Replies
562 Views
Hey naomba kuuliza wapi kuna matokeo positive baada ya kuboost post ya bidhaa yako?? Kwenye wateja namaaanisha Na je naweza kuweka pesa kiasi gani ili niweze kupata matokeo MAZURI ?
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Bwana mdogo anatafuta bajaji ya mkataba. Ni mkazi wa Dar. Nimefikisha hitaji lake Jamiiforums kama platform sahihi. Wasifu wake: Ameshawahi kuchukua bajaji za mkataba 2 na kufanikisha kumaliza...
2 Reactions
2 Replies
669 Views
Hii kazi ngumu sana....
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu? Kufungua kituo cha redio, ni vitu gani vinahitajika, na kinaweza kugharimu kiasi gani?
11 Reactions
78 Replies
4K Views
Bhandugu, Kama kichwa kinavyosema. Hivi ni kwanini kipindi cha mfungo biashara mbalimbali (isipokuwa zinazohusika kutengeneza futari) huwa zinakwenda vibaya? Yaani nenda bar mambo huwa sio...
1 Reactions
128 Replies
13K Views
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado. Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu habari ya asubuhi. Hongereni na majukumu na pia Poleni na changamoto za hapa na pale katika uwajibikaji, ni sehemu ya maisha tu. Kwa nia njema tu naomba nitangulize angalizo kwamba hili sio...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Tangu niingie kwenye kubet adi sasa sijapata faida yoyote Zaid ya hasara kila nikisomaga post xozote za kuhusu kuifaidi betting karbu wote wanasemaga usiweke timu nyigi odds 2 tu zinatosha Ayo...
7 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari za wakati huu; Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama na juhudi zenu za ujenzi wa taifa. Leo ninawaletea mjadala kuhusu model ya biashara inayoitwa Destination Marketing...
2 Reactions
1 Replies
440 Views
Huwa nafanya matangazo ya kulipia Instagram, Sasa nili boost post huwa inakua approved ndani ya masaa 24, Huwa wanakata pesa before post haijaenda hewan, Sasa niliset tangazo likae hewan siku 4...
7 Reactions
18 Replies
682 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…