Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello great thinkers! Hivi kwanini biashara zetu huwa zina decline????
2 Reactions
14 Replies
757 Views
Wasalam, Watanzania wengi tumekuwa na tabia ya kudharau pesa ndogo ndogo tuzipatazo. Chukulia mtu anaingiza ujira wa 10,000 kwa siku anakula na kutumia yote bila kusave chochote. Just imagine...
8 Reactions
8 Replies
1K Views
Je wewe ni mfanya biashara ambaye unatakamani kujishughulisha na zaidi ya aina moja ya shughuli za kiuchumi?Kama jibu ni ndio basi holding Company-Kampuni hodhi ndio suluhu yako. Kampuni hodhi...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu mwenye kujua dawa ya kuvuta wateja naomba connection maana kuna business yangu nimefanya kila niwezalo ili kuvuta wateja nimetoka kapa. Biashara kama haina wateja basi kifuatacho ni kifo...
13 Reactions
74 Replies
7K Views
NAOMBA KUJUA FAIDA NA HASARA ZA KUWA NA MASHINE HIZO KWENYE BIASHARA HII YA PRINTING. Vilevile naomba kujua ili nipate faida natakiwa niwe na raw material gani?
0 Reactions
0 Replies
496 Views
If you want to be successful in your life then Never Stop Reading. Never compromise with your goals for anyone. Never Judge anyone by seeing their Clothes. Never Bargain with Poor...
2 Reactions
3 Replies
353 Views
Hivi NMB wanahuduma ya kuongeza mwezi mmoja wa rejesho kama mtu unaona mwezi huo kuna uwezekano wa kuchelewa kurejesha mkopo?
1 Reactions
2 Replies
277 Views
Wakuu habari ya kushinda, samahani naomba kwa aliye na mwenyeji wa mfanyabiashara wa samaki ama dagaa wa ziwa victoria aniunganishe naye. Namba yangu ni 0623197340 naomba anitafute nina...
1 Reactions
6 Replies
619 Views
Wakuu kama post inavyo jieleza, mimi ni dereva wa Bajaj na Guta mkoa wa Njombe wilaya ya Makete na leseni ninayo. Ninauhitaji na guta la mkataba aina ya Sinoray Q7 kama hili nililoweka kwenye...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari za jioni, Aisee tangu jana laini yangu ya tigo lipa haikubali kuhamisha pesa zilizopo kwenye laini ya tigo ya wakala sasa kuna laki saba na ushee na pesa haitaki kuhama mara naambiwa...
1 Reactions
13 Replies
614 Views
Wakuu mwenye kujua sehemu vinapo patikana hivo vipimo anijulishe. Natanguliza shukrani
1 Reactions
4 Replies
327 Views
Belight Technology ni Wauzaji na Waagizaji wa vyombo vya Muziki ikiwemo vifaa vya studio na podcast. DUka letu lipo DOdoma Mjini, Kizota, Kituo cha daladala cha City. Bidhaa zetu tunatuma Mikoa...
0 Reactions
2 Replies
442 Views
Shalom watu wa Mungu, Asalaam waleykum. Ushauri wa bure; kama biashara yako haina miaka kumi usijichanganye kuchukua mkopo Bank, Dunia itageuka kuwa jehanamu yako. Chukulia mkopo biashara...
1 Reactions
1 Replies
553 Views
Nina mtaji wa kama 1m nimefikiria nianzishe biashara hasa ya dagaa hasa za nwanza zisizo na mchanga Nahitaji msaada wenu hasa *Bei ya ndoo na inakuwa kilo ngapi *Bei ya gunia na linakuwa na kilo...
4 Reactions
29 Replies
6K Views
Nimesoma mahali kwamba Airtel inasambaza bure Internet kule eneo la maafa, hiki ni kichekesho kikubwa sana. kwanza nani asie jua speed ya Internet ya Airtel? Pili je hizo ni moja ya Needs za watu...
8 Reactions
99 Replies
5K Views
Habari wana JF. Natumaini mu wazima wa afya. Kama kuna mtu anawafahama watu wanaouza nazi mikoa ya kusini, naomba aniunganishe nao tafadhali. Kuna mtu anahitaji kufanya biashara kwa kutoa nazi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana business! Leo nataka nitoa mwongozo kamili wa kuanzisha biashara ya matunda , ni biashara ambayo inadharaulika lakini ukikaa kitaalamu ni biashara nzuri yenye faida kubwa ingawa wengi...
3 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu habari naomba kujuzwa garama ya hii pochi kwa bei ya rejareja hapa Tanzania inatoka kwa shilingi ngapi maana kuagiza nje mpaka hiyo sample ifike bei imewaka sana .
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Jikumbushe kwanza huu uzi; https://www.jamiiforums.com/threads/ninajitolea-kutoa-namba-za-machimbo-ya-china-kwa-wapambanaji-wenzangu.2137915/ Nia yangu ilikuwa kusaidiana bila kujali kupata...
20 Reactions
20 Replies
1K Views
Wanabodi, Nahitaji kukodi Malori Matano ya Kichanja (not box body, preferably Scania 113) haraka iwezekanavyo. Terms & Conditions ni kama ifuatavyo:- Malipo kwa siku ni 500k (Laki 5). Hii ni net...
2 Reactions
6 Replies
910 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…