Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ndugu zanguni habari za wakati na muda kama huu. Matumaini unausoma ujumbe huu ukiwa mzima wa afya na kama kuna changamoto basi Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi. Nia na madhumuni ya jumbe hii ni...
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Hii inaonekana sana.kuna wizi mkubwa sana kwenye mafuta ya sheli apa mjini Adi inafikia mda mtu unatamani uichome sheli moto Na pia ni sheli gani hazina wizi huu na nini kifanyike Karibuni kwa...
2 Reactions
132 Replies
26K Views
Nguvu kazi nyingi ya taifa (work force) hufanya kazi za udalali mijini lakini kwanini? Kazi ambazo zimeshamiri na kila kijana kutoka mkoani na zina watu wengi ni za udaĺali wa viwanja nyumba...
6 Reactions
9 Replies
509 Views
Mfano ukiwa na nia ya kuanzisha biashara wapi pazuri kwenda kufanyia biashara? Naomba kwa wazoefu wanipe ufafanuzi maana dar nimegoma kwenda kabisa kule no.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
BASHUNGWA AWAPA NGUVU WAWEKEZAJI WA VIWANDA KARAGWE. Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa amewahakikishia Wawekezaji wa Viwanda katika Wilaya Karagwe mkoani Kagera...
0 Reactions
1 Replies
413 Views
Habari wandugu... Vigezo vya kuwa super dealer wa gas za kupikia ni zipi ...na mwenye abc ya hii biashara. Na je mtaj wa 50 ml unaweza tosha? Na changamoto zake? Natanguliza shukran
4 Reactions
2 Replies
756 Views
Nataka nifanye online business zile mishe kama za kalynda ila sio kampuni kama hiyo yenyewe ni Uhakika unanishauri nini?
0 Reactions
2 Replies
304 Views
Habari wadau, Nimuda sasa nimekua na wazo la kuanzisha biashara ya kuuza movies mbalimbali ambazo nitakua nimeserve kwenye server fulani. Tatizo mimi ni muajiliwa na sintokua na muda wa...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Tarehe 12 Siku ya Jumatano Asubuhi… Mida ya Saa 11:43 am …Nilienda mjini Maeneo ya Masika karibu na Benki ya CRDB Ilipo…(Morogoro)...Kwa pembeni Kidogo kuna Sehemu wana Choma Ndizi na kwa Pembeni...
37 Reactions
61 Replies
5K Views
Yaani hii kazi nilishawai ifanya hapo mwanzo na ilinilipa kiasi, lakini kwa sasa nipo mkoa mwingine baada ya miaka minne na ninatafakari kuanzisha tena. Lengo nifike level ya saluni kubwa lakini...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Niko na interest za kuanzisha chanel ya youtube!!siku nyingi sana. Kama mjuavyo chanel ya youtube ni investment ya muda mrefu na inachukua muda kuanza kuona matunda yake! Inaweza kuchukua hata...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari nahitaji display kama hii used naomba msaada mwenye kujua wapi zinapatikana au kma mtu anauza msaada 0747848885
1 Reactions
0 Replies
334 Views
Mdau Leo anauliza Kati ya biashara za kawaida na Bond za ma bank zinazotoa interest ya 10.5% kwa Mwaka je, kipi kina faida zaidi? Kwenye Bond -Hakuna Kodi ya TRA -Hakuna Kodi ya Pango sehem ya...
12 Reactions
46 Replies
3K Views
Mawazo yangu ya jinsi ya kutatua tatizo la dollar Tanzania 1. Serikali iongee na kampuni za utalii na kuwaomba walete pesa hapa utaratibu wa sasa watalii wanalipia hotel na karibu kila kitu kabla...
10 Reactions
28 Replies
3K Views
Wasaalam? Ipo hivi juzi asubuhi Jumapili niliingia nyumbani nilikuwa SA kwa mambo ya kikazi, kufika nyumbani nilimkuta binti yangu wa kwanza pamoja na dada wa kazi kumuuliza mama yako yuko wapi...
62 Reactions
238 Replies
10K Views
Habari, Je, unajua wapi naweza kupata msaada wa kupata uwezekano wa usajili wa Bolt na Uber. Nime download app ila shida ipo kwenye leseni na kazi ya gari. Vyote ninavyo ila vile vyenye vigezo...
2 Reactions
3 Replies
754 Views
Hati fungani ni biashara "kichaa" na watu pekee ambao wanawekeza kwenye hii biashara ni wale waoga wakupoteza thamani ya mitaji ya pesa zao. Mabenki, mashirika ya bima, mifuko ya mafao pamoja na...
10 Reactions
113 Replies
24K Views
Elimu ya bure kabisa hii; Ingia Mabibo sokoni ama Buguruni. Kapoint matikiti manne ya elfu nne nne. Kila tikitiki likate vipande 40 vya Tsh. 200 @1. Kwa kila tikiti itatoa gross amount ya 8,000...
12 Reactions
18 Replies
1K Views
Nataka nianze kufanya biashara ya viungo kwa kuvifunga kisasa kwenye chupa na kuvipqki kisasa. Maana nimekuwa nikiviuza kwa kuvifunga kwenyeji dukani kwangu. Wazoefu wanipe uzoefu biashara...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza camera canon 90d 4k ikiwa na lens yake, memory card yake ya 32gb 4k, stand, reflector na gimbal ya kawaida, vyote kwa tshs, 3.5m. Mawasiliano: 0716 002323, dar
0 Reactions
0 Replies
274 Views
Back
Top Bottom