Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Saturn Resources has capitalised on African gold miners trading at a discount. Saturn Resources has agreed to buy Shanta Gold, a mining company registered in Guernsey with a focus on East African...
0 Reactions
0 Replies
403 Views
habarini wanajukwaa natuamini wote ni wazima wa afya na mlio na changamoto mungu awe nanyi katika kila hatua AMEN. Naomba muongozo wa taratibu gani za kufuata ili kuweza kupunguza thamani ya hisa...
1 Reactions
6 Replies
534 Views
Naibu Waziri Kigahe Apiga Marufuku Wakulima Kuuza Mazao kwa Lumbesa. Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe(Mb) amepiga marufuku kwa wakulima kuuza mazao kwa kutumia...
0 Reactions
1 Replies
356 Views
Habarini wana jukwaa, leo nimejiskia kuandika kuhusu soko la hisa kwa hapa Tanzania. Nimeona baadhi ya watu walikua wakiuliza sasa si vibaya hata wakapata kufahamu ni kitu gani hichi. Huu utakuwa...
30 Reactions
123 Replies
48K Views
Waziri Dkt. Kijaji Awaasa Vijana Kufanya Kazi kwa Uadilifu na Kujituma Wanapopata Ajira Viwandani Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ametoa rai kwa vijana wa kitanzania kuwa...
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Habari ndugu zangu Nataka kuanza biashara ya kuchinja nyama ya nguruwe na kuuza kwa bei ya jumla nyama mbichi Wapi nitapata nguruwe kwa Dar au Pwani?
1 Reactions
5 Replies
821 Views
Yaani nimeona sendozi aina ya Teva inauzwa instagram 250,000! Nimepita huku mtaani nikazikuta kwa mmachinga, mpya kabisa. Nimempa elfu ishirini akapokea kiroho safi maisha yanaendelea!
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Argentina wamemchagua Javier Milei kuwa Rais wao mpya. Ni jamaa mwenye msimamo mkali wa kulia. Moja ya malengo yake ya kukabiliana na hali mbaya ya uchumi na mfumuko wa bei ni kuiua pesa ya...
0 Reactions
5 Replies
559 Views
Salamu. Nipo likizo huku Usangi Kilimanjaro milimani Huku. Nikiwa nyumbani hapa Ngujini nasikia tangazo la speaker. Nyumba ya Bwana Omari Iddi iliyopo Ngujini na Vudoi Mwanga mjini vitapigwa...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
Unamshauri aina gani ya biashara ambayo mtu mwenye mtaji ya 800K anaweza kuifanya?
3 Reactions
5 Replies
668 Views
💥SOKO LETU LEO ONLINE💥 🔥🔥MADA YA LEO🔥🔥 Fursa za kuanzisha biashara mbalimbali Habari wakuu kwa mujibu wa ratiba yetu leo kila Jumanne. Tunajadili Fursa mbalimbali za kiuchumi ambazo unaweza...
8 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari za mida wadau.... Kama kuna mtu mwenye kampuni, anaefanya kazi, anaejihusisha na mambo ya usafirishaji wa mizigo kuanzia bandarini mpaka kumfikia mteja ndani na nje ya nchi including...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi mteja mpya ameulizia bidhaa ukamtajia bei mkaja mkashindwana bei anakuuliza sehemu nyingine ni wapi? Wewe kama customer care unamjibuje!
17 Reactions
95 Replies
3K Views
Habari ndugu zang Mlio wahi kusafiri East Africa hasa Kenya Naomba kujua Mombasa na nairobi wapi pana mfaa mtafutaji?
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Of course sio biashara kubwa kiasi kiviile hapana, ni biashara ya kawaida tu. Vipi TRA watanisumbua? Au kukata leseni hadi biashara iwe kubwa kiasi gani?
0 Reactions
7 Replies
738 Views
Habari wakuu, Ningependa kujua machine ipi ni nzuri kwa matumizi ya stationery, Canon au Xerox Pia nahitaji kiasi gani kupata machine yenye ubora, ya wastani, yaani isiwe chini sana wala isiwe...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Jamani nilikuwa nauza vitafunio tu ,lakini nilijaribu kuweka maziwa mtindi naona napata wateja wa mtindi. Naomba msaada kwa nae fahamu sehemu mtindi unapatikan naweza kupata kuanzia Lita 10 hadi...
3 Reactions
8 Replies
645 Views
Habari za jioni wanajukwaa naomba nisogeze hoja mezani kuhusu ishu ya tozo za Kodi(pay as you earn) kwa mfanyakazi alieajiriwa na kampuni mbili binafsi 2 kwa wakati mmoja na mshahara...
0 Reactions
0 Replies
325 Views
KARIBU TUKUHUDUMIE 1. Usajili wa Kampuni 2. Usajili wa Majina ya Biashara 3. Kuhuisha Taarifa za Kampuni zilizosajiliwa kabla ya 2018. 4. Upatikanaji wa leseni na vibali mbalimbali. 5. Kufanya...
0 Reactions
2 Replies
472 Views
Wakuu Naomba mwenye uzoefu naomba anisaidie Nimefungua ofisi ya biashara ya miamala ila napata changomoto watu wakitoa pesa kwa wingi float inajaa, Changamoto inakuja namna ya kupunguza salio la...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom