Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu Samahani sana Mimi nina mtaji mdogo wa 5m Ila nahitaji ni fungue hardware itakayo kuwa na vifaa vidogo vidogo vitakavyo endana na bajeti yangu Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu kheri ya sikukuu ya kuzaliwa KWA Yesu? Assalam aleyko? Nilikuwa naomba kuuliza kama upo na asset unaweza kwenda kuomba mkopo KWA ajili ya biashara au ni lazima iwepo biashara ambayo ipo...
1 Reactions
3 Replies
335 Views
DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Nilifanya course iliyopita na kwakweli madini niliyoyapata yalikuwa yamesimama. huwa naattend sana forums nyingi za investments na personal...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Wafanyakazi tumenongwa sana tuache kutegemea single source, yaani hela za makazini tujiongeze kidogo na shughuli nyingine. Yaani kweli mtumishi inafika tarehe mshahara hujatoka unakosa hata 5000...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Kiujumla nahitaji ku-invest pesa kwa kuweka kidogo kidogo kwa muda wa miaka mitano bila ya kutoa kiasi chochote huku nikitegemea faida baada ya miaka hio mitano. Nahitaji msaada katika nyanja...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Nilikuja hapa kununua nyama leo sikukuu watoto wakale lakini nimekuta bei zimebadilika hadi elfu 11 kwa kilo, naomba serikali itusaidie udhibiti wa bei ambazo zinapanda mara kwa mara.”- Dickson...
1 Reactions
18 Replies
983 Views
Wakuu, pamoja na kuwa kila mtu na maisha yake na life style yake lakini ni vema kukumbushana kuwa na tahadhari kwenye matumizi ya Fedha. Bila hivyo kuna mambo yataparangana Januari au hata miezi...
1 Reactions
3 Replies
325 Views
Waziri Dkt. Kijaji: Serikali Kuendelea Kulinda Viwanda Nchini Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji Mb), amesema Dhamira ya Serikali ni kuhakikisha viwanda vya wawekezaji wa ndani na...
0 Reactions
1 Replies
432 Views
Welcome | Karibu Date Tours & Safaris! We provide tours and travels services, along with the best safari tours to all the top destinations in Africa. We can provide private tours and safaris for...
1 Reactions
2 Replies
534 Views
Kama Title inavyosomeka. Ninatafuta Lilipo chimbo la Mabati, Misumali, PVC na Chuma(square Pipe, metal sheets na round pipe) bei ya jumla(kiwandani). Mwenye Chimbo atakula 50k( kunipeleka/...
0 Reactions
6 Replies
949 Views
Habari wana-JF, naomba kujua bei elekezi kwa 4G router ya Vodacom inayoweza ku-connect devices 5. Nimeona vifurushi vyao bei iko juu kushinda Airtel ila wateja wengi wanalamikia mtandao wa...
1 Reactions
0 Replies
779 Views
Heri ya mwaka mpya? Kama wewe ni msafiri maeneo mengi sana nchini yanajengwa Vituo vya kujazia mafuta. Mfano ukitoka Dar es salaam kuelekea tunduma...Njiani ni mamia ya vituo yanajengwa hasa...
10 Reactions
42 Replies
5K Views
1. Uwe na kifua kikubwa cha kukabili mambo magumu, uwe mvumilivu , issue kama kodi, madereva, adhabu, matengenezo 2. Uwe na fundi mmoja unaye mwamini 3. Kosa moja lisimfukuze dereva, wekeza...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki leo baada ya Hati fungani ya NMB Jamii kukusanya Tsh Bilioni 400 ikiwa ni zaidi ya mara tatu ya lengo lililokusudiwa ambapo ni Tsh...
24 Reactions
70 Replies
6K Views
Kwanza kabisa nawasalimia kwa salamu ya pamoja, poleni na pilika za kutwa nzima, Karibuni unaweza kuondoka hapa na chochote, Leo nitawazungumzia watu wa makundi ya aina 3 1. WAMILIKI 2. WATEJA 3...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanaJamvi, Natumaini siku yenu inaendelea vizuri. Kama ilivyotajwa hapo juu, natafuta anayeshughulika na BioGas hapa Bongo. Nahitaji sana. Asanteni.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huku magari mengine kama katarama, allys star, isamilo, Abood, happy nation, dar lux (sijui kapotelea wapi) wakikimbizana kupandisha nauli ya Mwanza to dar kwa Sasa ni 78,000/= huyu jamaa zuberi...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Wakuu heshima yenu. Wakuu naomba kuwasilisha nia yangu katika harakati zangu za kuwa tajiri maana ndio ndoto yangu kubwa. Nina duka la ngo dodoma. Naiza nguo za kiume special kwa rejareja...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani habari za wakati huu, hivi naomba kuulizia kuhusu maeneo haya mawili, MKURANGA na KIBAHA vipi eneo zuri kwa kilimo, kuna uwepo wa maji kwa ajili ya umwagiliaji, and more accesible zaidi...
0 Reactions
2 Replies
574 Views
Back
Top Bottom